Watumishi wa Umma kucheka au kulia

Watumishi wa Umma kucheka au kulia

Jambo lao kama jambo lao, hahaaaaa yaani mtu anaongezewa Tsh 3,500/= mwingine buku mbili , kwenye mshahara anashangiliiiia kweli wajinga ndio waliwao, siku zote nawaambiaga utumishi wa umma wa watanzania ni UTUMWA.
Siyo kweli!! Mtu anaweza kuwa mtumishi wea umma na akafanya biashara pia!! Mtumishi wa umma ana nafasi ya kufanya miradi mingine kwa urahisi maana anapata mikopo mikubwa kwa urahisi kwa dhamana ya ajira yake!!
 
Walimu wana mishahara mizuri kuliko kada zingine wanazidiwa tu na kwa madaktari, wafamasia na wahandisi!!
Kuna mtu namfahamu mpaka anastaafu akiwa kama mwalimu wa kawaida alikuwa anapata mshahara wa zaidi ya milioni mbili na laki tano!! Lakini mitaani watu wanamwona kama ticha asiyekuwa na mshahara mzuri wakati wao hata milioni moja hawajafikia na wanakaribia kustaafu!!
 
Mpaka sasa hatujasomewa barua ya maelekezo [emoji24] ukiona manyoya?........!
Hakuna maelekezo tutawawekea kimyakimya kila mtumishi ataona kwenye acc yake tarehe 23 asbh akina baba msisahau Rasket na akina mama msihahau vikapu [emoji120]
 
Hakuna maelekezo tutawawekea kimyakimya kila mtumishi ataona kwenye acc yake tarehe 23 asbh akina baba msisahau Rasket na akina mama msihahau vikapu [emoji120]
Tarehe 25 tulia hivyohivyo
 
Hongereni watumishi,
Mama yenu anaupiga mwingi[emoji4]View attachment 2295097
Nimekumbuka kwetu namanyere
JamiiForums-12101169.jpg
 
Hakuna Kitu kama hicho.nyongeza haiwez Kuwa kubwa hivyo. Tatizo watu 23 wanapiga flat rate
Reserve my comment.
Yes Dodoma Leo hakuna kitu kama hicho but siku za nyuma enzi za Kikwete ilikuwa ikisemwa nyongeza wewe nenda tu Kwenye basic Kisha zidisha na hiyo % ndo basic yako mpya.
 
Back
Top Bottom