Jambo lao kama jambo lao, hahaaaaa yaani mtu anaongezewa Tsh 3,500/= mwingine buku mbili , kwenye mshahara anashangiliiiia kweli wajinga ndio waliwao, siku zote nawaambiaga utumishi wa umma wa watanzania ni UTUMWA.
B.O.D.M.A.Sndio kitu gani hiki
wa HKL ulituacha mzee wanguB.O.D.M.A.S
Kuna watu hawataki kuvujisha siriupdates wadau vipi ? za uhakika
Chenga, watumishi wapigwa na kitu kizitoKuna watu hawataki kuvujisha siri
Yupo sana ila kiburi tuHivi yule jamaa aliyekuwa anavujisha siri za serikali alienda wapi?
Kuna siri gani alivujisha? Wengi nimewauliza hili swali lakini sikuwahi kupata jibuHivi yule jamaa aliyekuwa anavujisha siri za serikali alienda wapi?
52 elfu nasikia hukoONGEZEKO litakuwa kubwa sana hata kwa asilimia 10 tu kwa wanaopata zaidi ya milioni moja ongezeko la 10% ni sh 100,000/=. Kusema ukweli katika hili mama ameupiga mwingi sana!!
Elf hamsini na kitu zipokee hivyohivyoWadau wenzangu mambo yameivaa mtafurahi sana achaneni na mapoyoyo wanaowakatisha tamaa
Elf hamsini na kitu zipokee hivyohivyo
Kwa Kila DARAJA au Ikoje52 elfu nasikia huko
Ni orodha ya majina ya watumishi wanaotakiwa kulipwa mshahara,Ndio nini ?
Asiyejua maana haambiwi maana.Kula kwanza usije lala njaa. Hapo umemaliza kuandika?
TGTS D Gross ni ngapi kwani?Ni orodha ya majina ya watumishi wanaotakiwa kulipwa mshahara,
ukiuliza halmashauri yoyote kwa sasa wanajua TGTS/TGS na pesa wanayotarajiwa kulipwa mfano WALE TGTS D ni 55 ndo nyongeza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni orodha ya majina ya watumishi wanaotakiwa kulipwa mshahara,
ukiuliza halmashauri yoyote kwa sasa wanajua TGTS/TGS na pesa wanayotarajiwa kulipwa mfano WALE TGTS D ni 55 ndo nyongeza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hapo hata mm nashangaa!Oya 55K?
Yaani nyongeza ya 1.6 Trillion (2022/2023) Kwa ajili ya mishahara ya watumishi
Ndo iwe 55K? Kwa daraja D?
Basi kama ni ivo mtu WA daraja D hajaifikia hata 10% ya nyongeza ya mshahara wake
This is totally robbery.
Uhuni.Oya 55K?
Yaani nyongeza ya 1.6 Trillion (2022/2023) Kwa ajili ya mishahara ya watumishi
Ndo iwe 55K? Kwa daraja D?
Basi kama ni ivo mtu WA daraja D hajaifikia hata 10% ya nyongeza ya mshahara wake
This is totally robbery.