SI KWELI Watumishi wa Umma waliofukuzwa kazi kimakosa 2018-2023 kurudishwa

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Mtindo anaoutumia Samia ni kama tu wa JK yaani wqnajifanya wanawahurumia sana wafanyakazi huku wakipora rasilimali za taifa kwa kiwango cha kutisha, na ni kwasababu wapiga kelele wengi ni wasomi so wakipozwa kidogo tu wanawaona watawala wa namna hii wana huruma kumbe nchi inatafunwa vibaya sana mnachopewa ni punje ya mchanga katika mchanga wa bahari. Usalama wa taifa fanyeni kazi yenu ya kulinda rasilimali za nchi nyinyi ndiyo mmeapa kwa hilo haya maswala la watu wachache kujilimbikizia kulikopotoliza ni kulinyonya taifa hili ambalo litakuwepo kwa muda mrefu kuliko sisi ambao hata kama utaiba namna gani au utauza rasilimali za nchi namna gani na kupata mihela ya kutosha bado huna uwezo wa kuishi hata miaka 100 ila utakuwa umevigharimu kwa kiwango kikubwa vizazi vijavyo.
 
Utumishi😀
 

Attachments

  • C5D74CE6-2AD6-4FD5-A944-F6297B14EDC2.png
    1.5 MB · Views: 4
Watapata watu wa kuwatapeli maana wajinga bado ni wengi.
 
Wakuu kuna hii taarifa kuwa watumishi wa umma waliofukuzwa kazini kimakosa 2018-2023 watarudishwa kazini, tafadhali naomba msaada wa kupata uhalisia wake
 
Hapo kuna.watu wanatafutwa kupigwa,,,,ukishaona tangazo lina namba za simu ujue ni UTAPELI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…