Watumishi wa umma wamkumbuka Rais Magufuli kuwa na hofu juu ya mishahara kucheleweshwa

Tarehe 22 ilikuwa jmos,23 ilikuwa j2, Leo ndo j3. Sasa ulitaka bank zifunguliwe J2 kufanya transaction? Acha ujuha wewe. Kama umemmiss baba yako Magu kafagie kaburi huko chato
 
Fundi madirisha kawa msemaji wa watumishi! Yaani mataga hamtaki kabisa kuamini kuwa hii ni serikali ya awamu nyingine. Bado mnahisi jiwe bado yupo
 
Hizi chuki mnazojaribu kupandikiza na chochezi za kitoto mtashindwa tu. Mnachelewa sana kujua Tanzania ina rais wa kwanza jinsia ambayo hamkuizoea. Kazi zitaenda na kwa taarifa zenu hizi zama ni bora kuliko zote zilizowahi kuwepo. Mnajipitisha sana kwenye mitandao mkitafuta wafuasi mtajiju wenyewe..
 
Fundi madirisha kawa msemaji wa watumishi! Yaani mataga hamtaki kabisa kuamini kuwa hii ni serikali ya awamu nyingine. Bado mnahisi jiwe bado yupo
Wamuache Mwenda zake apumzike...
 
Kama umeajiriwa na Serikali na kila inapofika tarehe 20 mwezi unaofuata unaanza kuchungulia NMB kama kunasomeka (huna savings na ni mtu wa hand-to-mouth), then unahitaji either kujitafutia chanzo kingine cha mapato haraka sana au kubadilisha spending habits zako.
 
Usipoteze muda na huyo mwana propaganda ndugu yangu,anadhani bila Magu nchi haiendi kama vipi naye amfuate huko huko aliko
 
Mama Samia Hoyee. CCM Hoyee, huyu mama ana akili nyingi! Amewanunua CHADEMA wote bila kutumia hela! Wapinzani wote wa Magufuli, sasa ni CCM wapya! CHADEMA wanademkana na CCM kujipendekeza kwa mama. Rais Samia hoyee
Ujinga pia ni mtaji!
 
Watanzania hatujijui tunataka nini muda wote tunalalamika,
Sisi huku sekta binafsi mshahara tunapata tar 3-7 na wala hatulalamiki, hiyo fedha ni yako lazima upate malalamiko yanatoka wapi?
Kingine mkuu jifunze kusave kidgo kuepuka masononeko kama haya...

Mama piga kazi mwendo mdundo
 
We nawe looh!!hata km humpendi maza sio kwa Kongo huu kaahh!!!acha unaafiki baasi
 
Yaani hata mshahara utoke tarehe 55, suluba za jiwe sitakaa nizikumbuke hata siku moja ndani ya awamu ya huyu mama. Amani iliyopo tu kwa sasa ni chanzo tosha cha furaha.

Lakini hata kwa jiwe mara nyingi tu zimeingia tarehe 24-25. Mara nyingi tarehe 22/23 ikiwa jumamosi basi salary ni tarehe 24/25. Acha kutulisha maneno, mama tunamkubali sana, hasa baada ya kuondoa ugaidi serikalini.

Ukiona mtumishi wa umma anammiss jiwe ujue ni unafiki tu, hizo tabia zipo sana mkoa wa Geita kwa sasa, watu bado wanaogopa kivuli cha marehemu. Kwingine sijui.
 
Mishahara ilikuwa inatoka tarehe 25 siyo chini ya hapo. 25 ikiangukia weekend ndiyo ilikuwa inawahi. Alifanya hivi kutulaghai kwa vile aligoma kutupa increment zetu ambazo zipo kisheria. Sijui kama mama atatoa arrears. Ilikuwa danganya toto ile.
 
Hivi walinda kaburi la mwendazake nao ni watumishi wa umma?
 
Ww jamaa ni mpumbavu sana
 



Mshahara unatakiwa kutoka baada ya kazi ilikuwa makosa kutoa mshahara tarehe 22 zaidi ya wiki moja kabla !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…