Watumishi wa umma wamkumbuka Rais Magufuli kuwa na hofu juu ya mishahara kucheleweshwa

Watumishi wa umma wamkumbuka Rais Magufuli kuwa na hofu juu ya mishahara kucheleweshwa

Ila fundi wewe miyeyusho sana yani leo tarehe 24 umerusha na uzi chap!!!! Mbona bado ni mapema sana na izi ndo tarehe za watumishi kulipwa.... Relax
Imeelezwa kwa watumishi wa umma toka maeneo mbali mbali wameanza kumkumbuka Hayati Magufuli kuhusu mishahara yao kucheleweshwa na utawala wa sasa. Wanadai kua enzo za hayati Magufuli walikua wakipokea mishahara yao kuanzia tarehe 21,22 au 23 ikichelewa sana. Lakini kwa mfano mwezi huu hadi leo tarehe 24/5/2021 bado hawajapokea chochote.

Wanachodai ni kwamba pamoja na kidogo alichowapa Magufuli lakini kilikua kinatoka kwa wakati. Wanahoji kua ikiwa mtu ulimpatia mshahara wake tarehe 23 mwezi uliopita halafu leo unampa tarehe 24 maana yake umezidisha mwezi na ni kwanini?
Wanaingizwa na hofu kwa mifumo ya serikali kuanza kuchezewa na watu wachache ambao hawamuogopi Mama yetu hali ya hofu itakayopelekea kucheleweshwa kwa mishahara yao zaidi huko mbeleni.

Katika hili ninamshauri Rais wetu msikivu Mama Samia na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu wawe wakali sana kuepusha madhara huko mbeleni.
 
Wewe ndo umekuwa msemaji wa watumishi, pambafu!!!!!. Nani amkumbuke mbaguzi mkubwa yule. Raisi wa Chato. Umemsikia GENERALI alivyoongea juzi UDSM. Raisi hatakiwi kuelekeza kila kitu kwao. raisi wa namna hiyo hafai. no wonder yametokea yaliyotokea. Watumishi ni waelewa sana wanajua mwisho wa mwezi haujafika!!!!
Imeelezwa kwa watumishi wa umma toka maeneo mbali mbali wameanza kumkumbuka Hayati Magufuli kuhusu mishahara yao kucheleweshwa na utawala wa sasa. Wanadai kua enzo za hayati Magufuli walikua wakipokea mishahara yao kuanzia tarehe 21,22 au 23 ikichelewa sana. Lakini kwa mfano mwezi huu hadi leo tarehe 24/5/2021 bado hawajapokea chochote.

Wanachodai ni kwamba pamoja na kidogo alichowapa Magufuli lakini kilikua kinatoka kwa wakati. Wanahoji kua ikiwa mtu ulimpatia mshahara wake tarehe 23 mwezi uliopita halafu leo unampa tarehe 24 maana yake umezidisha mwezi na ni kwanini?
Wanaingizwa na hofu kwa mifumo ya serikali kuanza kuchezewa na watu wachache ambao hawamuogopi Mama yetu hali ya hofu itakayopelekea kucheleweshwa kwa mishahara yao zaidi huko mbeleni.

Katika hili ninamshauri Rais wetu msikivu Mama Samia na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu wawe wakali sana kuepusha madhara huko mbeleni.
 
Mwambie aliyekutuma kwamba watumishi wote nchini kwa mama hatuna wasiwasi tena tulifurahishwa sana na kifo cha mpumbavu meko aliyepoka haki zetu za kiutumishi kwa miaka sita mfululizo....
 
Imeelezwa kwa watumishi wa umma toka maeneo mbali mbali wameanza kumkumbuka Hayati Magufuli kuhusu mishahara yao kucheleweshwa na utawala wa sasa. Wanadai kua enzo za hayati Magufuli walikua wakipokea mishahara yao kuanzia tarehe 21,22 au 23 ikichelewa sana. Lakini kwa mfano mwezi huu hadi leo tarehe 24/5/2021 bado hawajapokea chochote.

Wanachodai ni kwamba pamoja na kidogo alichowapa Magufuli lakini kilikua kinatoka kwa wakati. Wanahoji kua ikiwa mtu ulimpatia mshahara wake tarehe 23 mwezi uliopita halafu leo unampa tarehe 24 maana yake umezidisha mwezi na ni kwanini?
Wanaingizwa na hofu kwa mifumo ya serikali kuanza kuchezewa na watu wachache ambao hawamuogopi Mama yetu hali ya hofu itakayopelekea kucheleweshwa kwa mishahara yao zaidi huko mbeleni.

Katika hili ninamshauri Rais wetu msikivu Mama Samia na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu wawe wakali sana kuepusha madhara huko mbeleni.
acha kutuwekea maneno mdomoni
 
Imeelezwa kwa watumishi wa umma toka maeneo mbali mbali wameanza kumkumbuka Hayati Magufuli kuhusu mishahara yao kucheleweshwa na utawala wa sasa. Wanadai kua enzo za hayati Magufuli walikua wakipokea mishahara yao kuanzia tarehe 21,22 au 23 ikichelewa sana. Lakini kwa mfano mwezi huu hadi leo tarehe 24/5/2021 bado hawajapokea chochote.

Wanachodai ni kwamba pamoja na kidogo alichowapa Magufuli lakini kilikua kinatoka kwa wakati. Wanahoji kua ikiwa mtu ulimpatia mshahara wake tarehe 23 mwezi uliopita halafu leo unampa tarehe 24 maana yake umezidisha mwezi na ni kwanini?
Wanaingizwa na hofu kwa mifumo ya serikali kuanza kuchezewa na watu wachache ambao hawamuogopi Mama yetu hali ya hofu itakayopelekea kucheleweshwa kwa mishahara yao zaidi huko mbeleni.

Katika hili ninamshauri Rais wetu msikivu Mama Samia na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu wawe wakali sana kuepusha madhara huko mbeleni.
Aisee usitukumbushe tena habari za hilo Nyangumi muuwaji na mtekaji..
Nchi nzima ina furaha hivi sasa toka limeondoka..
Na jambo zuri zaidi hatarudi tena..hahahaha.
 
Imeelezwa kwa watumishi wa umma toka maeneo mbali mbali wameanza kumkumbuka Hayati Magufuli kuhusu mishahara yao kucheleweshwa na utawala wa sasa. Wanadai kua enzo za hayati Magufuli walikua wakipokea mishahara yao kuanzia tarehe 21,22 au 23 ikichelewa sana. Lakini kwa mfano mwezi huu hadi leo tarehe 24/5/2021 bado hawajapokea chochote.

Wanachodai ni kwamba pamoja na kidogo alichowapa Magufuli lakini kilikua kinatoka kwa wakati. Wanahoji kua ikiwa mtu ulimpatia mshahara wake tarehe 23 mwezi uliopita halafu leo unampa tarehe 24 maana yake umezidisha mwezi na ni kwanini?
Wanaingizwa na hofu kwa mifumo ya serikali kuanza kuchezewa na watu wachache ambao hawamuogopi Mama yetu hali ya hofu itakayopelekea kucheleweshwa kwa mishahara yao zaidi huko mbeleni.

Katika hili ninamshauri Rais wetu msikivu Mama Samia na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu wawe wakali sana kuepusha madhara huko mbeleni.
Mataga a.k.a SUKUMA GANG.
 
Imeelezwa kwa watumishi wa umma toka maeneo mbali mbali wameanza kumkumbuka Hayati Magufuli kuhusu mishahara yao kucheleweshwa na utawala wa sasa. Wanadai kua enzo za hayati Magufuli walikua wakipokea mishahara yao kuanzia tarehe 21,22 au 23 ikichelewa sana. Lakini kwa mfano mwezi huu hadi leo tarehe 24/5/2021 bado hawajapokea chochote.

Mleta maada una jambo lako binafsi ila unawasingizia watumishi wengine kwa manufaa yako, huu uzi ulivyoandikwa hauakisi kabisaaaaaaaaaaa uyasemayo😵
 
Mtumishi wa umma ni mtu asiyeridhika hata umpe nini hata ukimuongeza mshahara hautamtosha kulinganisha na mtumishi sekta binafsi.
 
Imeelezwa kwa watumishi wa umma toka maeneo mbali mbali wameanza kumkumbuka Hayati Magufuli kuhusu mishahara yao kucheleweshwa na utawala wa sasa. Wanadai kua enzo za hayati Magufuli walikua wakipokea mishahara yao kuanzia tarehe 21,22 au 23 ikichelewa sana. Lakini kwa mfano mwezi huu hadi leo tarehe 24/5/2021 bado hawajapokea chochote.

Wanachodai ni kwamba pamoja na kidogo alichowapa Magufuli lakini kilikua kinatoka kwa wakati. Wanahoji kua ikiwa mtu ulimpatia mshahara wake tarehe 23 mwezi uliopita halafu leo unampa tarehe 24 maana yake umezidisha mwezi na ni kwanini?
Wanaingizwa na hofu kwa mifumo ya serikali kuanza kuchezewa na watu wachache ambao hawamuogopi Mama yetu hali ya hofu itakayopelekea kucheleweshwa kwa mishahara yao zaidi huko mbeleni.

Katika hili ninamshauri Rais wetu msikivu Mama Samia na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu wawe wakali sana kuepusha madhara huko mbeleni.
Hakuna mtumishi wa umma anayekumbuka mateso na dhuluma, acha uongo, Mama piga kazi iendelee, hata huo mshahara uchelewe maadam stahiki za mtumishi zimeanza kuangaziwa sawa tu. kuliko ukawahi halafu mtumishi kadhulumiwa stahiki zake.
 
Imeelezwa kwa watumishi wa umma toka maeneo mbali mbali wameanza kumkumbuka Hayati Magufuli kuhusu mishahara yao kucheleweshwa na utawala wa sasa. Wanadai kua enzo za hayati Magufuli walikua wakipokea mishahara yao kuanzia tarehe 21,22 au 23 ikichelewa sana. Lakini kwa mfano mwezi huu hadi leo tarehe 24/5/2021 bado hawajapokea chochote.

Wanachodai ni kwamba pamoja na kidogo alichowapa Magufuli lakini kilikua kinatoka kwa wakati. Wanahoji kua ikiwa mtu ulimpatia mshahara wake tarehe 23 mwezi uliopita halafu leo unampa tarehe 24 maana yake umezidisha mwezi na ni kwanini?
Wanaingizwa na hofu kwa mifumo ya serikali kuanza kuchezewa na watu wachache ambao hawamuogopi Mama yetu hali ya hofu itakayopelekea kucheleweshwa kwa mishahara yao zaidi huko mbeleni.

Katika hili ninamshauri Rais wetu msikivu Mama Samia na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu wawe wakali sana kuepusha madhara huko mbeleni.
Muacha(ge) hekaya za kipuuzi hizi.
 
Back
Top Bottom