Hii TAKUKURU ni heri isiwepo kwani uwepo wake hauna tija ni upuuzi kuwa na hao TAKUKURU halafu maafisa wake wanalipwa mishahara kila mwezi halafu ubadhirifu wa fedha za umma uendelee kutamalaki mpaka Mh Rais wanamsababishia dhambi ya kuitukana hiyo mijizi stupid halafu wenyewe huko maofisini wapo tu wanamchora mama.Kama kirefu cha TAKUKURU ni taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa je wamewahi zuia lini kila mwaka report ya CAG inakuja na mafekenye ya upigaji wa kutisha