Watumishi wa umma, wanasiasa na wafanyabiashara wanaiba na wataendelea kuiba kwa sababu tajiri Tanzania hafungwi

Watumishi wa umma, wanasiasa na wafanyabiashara wanaiba na wataendelea kuiba kwa sababu tajiri Tanzania hafungwi

Hii TAKUKURU ni heri isiwepo kwani uwepo wake hauna tija ni upuuzi kuwa na hao TAKUKURU halafu maafisa wake wanalipwa mishahara kila mwezi halafu ubadhirifu wa fedha za umma uendelee kutamalaki mpaka Mh Rais wanamsababishia dhambi ya kuitukana hiyo mijizi stupid halafu wenyewe huko maofisini wapo tu wanamchora mama.Kama kirefu cha TAKUKURU ni taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa je wamewahi zuia lini kila mwaka report ya CAG inakuja na mafekenye ya upigaji wa kutisha
Katiba mpya ni muhimu ili kuwepo na Strong institutions !! Sasa hivi nadhani siasa inatawala kila mahali !!
 
Na wataendelea kuiba sana kufidia muda wa wizi waliyopoteza awamu ya 5. Mama katoa kila ishara yeye kupiga hela ya umma ruksa. Eti uibe utosheke au ushibe. Yeye anasubiri watu watosheke kuiba😂😎
Huwa hawatosheki kwa sababu huwa wanakosa peace of mind kwa sababu ya uhalifu walioufanya. !
 
Ukiisoma hiyo Report utagundua nae CAG anapoteza Mali ya Umma bure maana anafanyia kazi kitu kisichofanyiwa kazi kinabaki kama mapambo tuu...
IMG-20230406-WA0286.jpg
 
Back
Top Bottom