Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Pengine upo sahihi!Huku kwenye taaluma yetu hiyo ni criteria ingawa it is qualified not absolute. Na imeisaidia sana Mahakama kufikia maamuzi ya haki mara kadhaa.
Nikuongezee mfano mwingine wa kwenye kesi za udhalilishaji (defamation). Kuna kabila mtu akikutamkia neno flani linakuwa ni udhalilishaji kwa kabila hilo, lakini kwa kabila lingine ni utani. Kwahiyo wafanya maamuzi wa Mahakama wanapaswa kulizingatia hili kabla ya kufanya maamuzi, vinginevyo watu watawajibishwa/kutowajibishwa kimakosa halafu mrudi humu kulalamika.
Hivyo ni lazima uelewe kwamba kwenye baadhi ya maeneo ni lazima ubainishe kabila lako kwa dhumuni jema kabisa ambalo huenda likakusaidia wewe mwenyewe.
Mzee hii ni simple sana kung'amua.Habari wana JF ..
Mimi niliahidi sitamkosoa Rais Samia, kwa sababu nilishawakosoa sana ma Rais wa nchi hii hadi nachoka; lakini Kuna mambo ni mazito huwezi hata kufikiri yanaweza kufanyika kwa karne hii.
Mimi niwaombe Serikali, niwaombe CCM, niwaombe washauri wa Rais, kama mmechoka, mtuachie hili Taifa.
Wengine bado tunataka kuliona Taifa letu likiwa moja.
Vyombo vya usalama, basi mshaurini mheshimiwa Rais vizuri, msijisahau sana mkaiacha nchi kwenye auto-pilot.
Niwakumbusheni Taifa hili halikujengwa kwa matofali, la hasha!
Mpitisheni Mh. Rais katika historia ndogo ndogo zile njema, zilizotufanya Watanzania japo tukawa wamoja, potelea pote na umaskini wetu.
Sasa hamuwezi amini, leo hii Hazina inaomba taarifa za watumishi (CV), na miongoni mwa taarifa wanazotakiwa kujaza hao watumishi ni:-
1. Kabila lako .....
2. Dini yako .......
Zipo taarifa zingine, za kipuuzi zinazoombwa, ila haina haja sana kuzitaja, kwani hazina athari sana kama hizi mbili.
Hivi kweli, leo mnataka DINI ya mtumishi, iwasaidie nini?
Hii taarifa mnaitumia kuboresha nini?
Udini wa nini katika Tz ya leo.
Tuna ajenda gani na Dini za watu, (watumishi). DINI, DINI.....DINI...!!!!?....,leo tunauliza DINI yako ni ipi? Kweli mh. Rais Samia.
Halafu mnataka na KABILA, kabila la mtumishi litumike kuboresha nini?
Mna ajenda gani huko?
KABILA, leo mnamuuliza mtu KABILA. Kweli mh Rais Samia , ulisema wewe huna kabila, sijui ni Mzanzibar, sasa hawa watumishi, karne ya 21, mwaka 2022, wawajazie makabila yao, muyajue, myafanyie nini?!
Mh Rais Samia, hebu kataa mambo mengine.
Siku Taifa hili likiparaganyika mikononi mwako, hao unaowaona, watakukataa.
Mfumo wa CV (format) na taarifa zinazotakiwa nimeambatanisha hapa.
denooJ , MTAZAMO , barafu , Tindo , Chige , shige2 , Malcolm X5 , MALCOM LUMUMBA ,
Ni makosa sana... Ni sawa na wale wanaochukua taarifa za jinsia ya mtu... Unaweza kuta mtu mwenyewe hana uhakika na jinsia yake!!Polisi wanachukua taarifa za dini ya mtu na kabila lake, sijawahi kuona watu wakihoji hili
Usawa wa kidini ni ushenzi tu.Mama anataka kufanya usawa wa kidini kwenye uteuzi.
Huoni leo akiteua mkirito lazima ateue na musilamu, akiondoa mkiristo anaweka muislamu.
Angalia baraza la mawaziri toka ameingia, ameondoa wakristo 7 akateua waislamu 7 ila akawawekea wasaidizi wakristo.
Yeye mama akiteua boss muislamu basi msaidizi wake ni mkiristo.
Kwa sasa anataka dini zenu ili anapofanya uteuzi ajue wewe ni dini gani akupe ama ampe mwingine.
Wanasema wanataka kuvunja mfumo kristo.
Kwa leo zinahitajikaje?Kwa uzoefu wangu hizi taarifa sio mpya kwenye utumishi wa umma, unapoajiriwa kwa mara ya kwanza taarifa hizo huwa zinachukuliwa kupitia fomu flani ambayo mtumishi huwa anajaza. Pia, kama upo Wizarani na umefanyiwa vetting, taarifa za ajabu ajabu kama hizo huhitajika ikiwemo hadi details za wakwe zako na dada na kaka wa mkeo. Mimi kwangu cha kushangaza, kwanini wanazitaka hivi sasa wakati tayari taarifa hizo zote wanazo? Ni uvivu wa kupekua nyaraka au?
bora wewe uko fair.Ni makosa sana... Ni sawa na wale wanaochukua taarifa za jinsia ya mtu... Unaweza kuta mtu mwenyewe hana uhakika na jinsia yake!!
Tupinge dalili za ubaguzi pindi tuzionapo!!
Ni jambo la kawaida, sio jambo geni labda kama wewe ni mgeni kwenye utumishi wa umma. Hizo takwimu, ni muhimu sana kujua, kwasasa Serikalini waislamu ni wa kumulika na tochi, binafsi sijui ni kwa nini.Kwa leo zinahitajikaje?
Twende kwenye hizo facts;kwa hiyo wako sahihi ila tu kwa nini wahoji leo? weka facts acha kulialia. Logic ya kutaka dini na kabila ni ipi,weka facts
Tunapinga udini na ukabila
Hapa sasa nimeanza kukuelewa. Napata point.kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilikuja ili akwepe Tumsifu Yesu kristo na Bwana Asifiwe
Nyerere mdini namba moja,wakala wa kanisaMungu aliipenda Sana Tz kwa kutupa Nyerere kua baba wa Taifa maana bila hivyo nchi hii ingekua imegawanyika kikabila/kidini mbaya kabisa.
Asante Sana Mungu.
Ni mengi ya kushangaza. Hawakusaidii kulea mke au hawara, ila wanataka mtumishi uwaambie.Tanzania ni nchi ya kijinga sana.
Sasa kwa mfano hali ya ndoa ya mtu inahusu nini? Inahusiana nini na kazi aifanyayo mtu?
Mbona jinsia imewekwa hapo na huoni Kama tatizo!?..kinachokutisha kujua dini za watz ni nini!?Waandishi wa habari nchi hii hopeless kabisa zingekuwa nchi zingine zilizoendelea wangekuwa wangemshukia kama mwewe kuhoji waziri wa fedha au Raisi
Naomba BBC wamhoji raisi ukabila na udini wa mini na motive ya hii kitu ni nini?
BBC hojini Rais hilo
Unajua kuna mtu ukisoma comment yake unajua kabisa ana akili na anaitumia ipasavyo, wewe ni mmoja wao mkuu, hongera! Umeeleza vizuri sana. Na kama kuna wadau wa mamlaka zinazohusika na hili basi hawanabudi kuufanyia kazi ushauri wako.Pengine upo sahihi!
Sasa hilo dhumuni linasomewa kozi gani ili lieleweke??
Mimi nadhani ifike mahali tukubaliane kuwa tuna vitambulisho rasmi vinavyopaswa kututambulisha kokote pale. Na hivyo vitambulisho vimebeba taarifa nyingi na nyeti sana! Kwanini zisiwe synchronized??
Mbona mitandao ya simu imefanikiwa?? Kwamba namba ya NIDA au kivuli cha kitambulisho husika kinatosha kutumika kutafuta taarifa nyingine pindi zinapohitajika.
Huko maofisini na kwingineko watu wasiombwe ombwe tena hizo taarifa sensitive!
NB: Kwa kuwa mnawaomba omba hizo taarifa wakiwatuhumu kwa udini na ukabila msikatae...!
Ili tupromoti makabila ambayo hayamo serikalini...wamang'ati nk,tujue kwa nini hawamo,tutatue tusiachane nyumaNa Kabila?? Mnapanga nini, kuongea kikabila, au kutambika maofisini!
Ni kweli, unataka kufanya utafiti, utalazimika kutouliza Dini, Kabila. Na hii ni sahihi kabisa.Du hata kwenye sensa kipengele cha dini na kabila halipo,kwa kuamini Tanzania haina udini na ukabila, hata ukitaka kufanya tafiti mojawapo ya masharti ya kupitishwa kwa dodoso la utafiti ni kutokuweka kipengele cha dini na kabila.
Jp Omuga pia kaweka ushauri mzuri sana. AsanteUnajua kuna mtu ukisoma comment yake unajua kabisa ana akili na anaitumia ipasavyo, wewe ni mmoja wao mkuu, hongera! Umeeleza vizuri sana. Na kama kuna wadau wa mamlaka zinazohusika na hili basi hawanabudi kuufanyia kazi ushauri wako.
Ni jambo la kawaida, sio jambo geni labda kama wewe ni mgeni kwenye utumishi wa umma. Hizo takwimu, ni muhimu sana kujua, kwasasa Serikalini waislamu ni wa kumulika na tochi, binafsi sijui ni kwa nini.
Basi tufufue na matamasha ya kikabila na kidini, na yafanyike Kila mkoa, na serikali isimamie.Data na information yoyote ya mambo ya kijamii ni muhimu kwa serikali. Inasaidia serikali kwenye mambo mengi ikiwemo affirmative action ikibidi au kwenye kuzuia udini na ukabila kwenye ajira.
Mkuu mbona hiyo form Ina mambo mengi mkuu, umeona dini na kabila tuHabari wana JF ..
Mimi niliahidi sitamkosoa Rais Samia, kwa sababu nilishawakosoa sana ma Rais wa nchi hii hadi nachoka; lakini Kuna mambo ni mazito huwezi hata kufikiri yanaweza kufanyika kwa karne hii.
Mimi niwaombe Serikali, niwaombe CCM, niwaombe washauri wa Rais, kama mmechoka, mtuachie hili Taifa.
Wengine bado tunataka kuliona Taifa letu likiwa moja.
Vyombo vya usalama, basi mshaurini mheshimiwa Rais vizuri, msijisahau sana mkaiacha nchi kwenye auto-pilot.
Niwakumbusheni Taifa hili halikujengwa kwa matofali, la hasha!
Mpitisheni Mh. Rais katika historia ndogo ndogo zile njema, zilizotufanya Watanzania japo tukawa wamoja, potelea pote na umaskini wetu.
Sasa hamuwezi amini, leo hii Hazina inaomba taarifa za watumishi (CV), na miongoni mwa taarifa wanazotakiwa kujaza hao watumishi ni:-
1. Kabila lako .....
2. Dini yako .......
Zipo taarifa zingine, za kipuuzi zinazoombwa, ila haina haja sana kuzitaja, kwani hazina athari sana kama hizi mbili.
Hivi kweli, leo mnataka DINI ya mtumishi, iwasaidie nini?
Hii taarifa mnaitumia kuboresha nini?
Udini wa nini katika Tz ya leo.
Tuna ajenda gani na Dini za watu, (watumishi). DINI, DINI.....DINI...!!!!?....,leo tunauliza DINI yako ni ipi? Kweli mh. Rais Samia.
Halafu mnataka na KABILA, kabila la mtumishi litumike kuboresha nini?
Mna ajenda gani huko?
KABILA, leo mnamuuliza mtu KABILA. Kweli mh Rais Samia , ulisema wewe huna kabila, sijui ni Mzanzibar, sasa hawa watumishi, karne ya 21, mwaka 2022, wawajazie makabila yao, muyajue, myafanyie nini?!
Mh Rais Samia, hebu kataa mambo mengine.
Siku Taifa hili likiparaganyika mikononi mwako, hao unaowaona, watakukataa.
Mfumo wa CV (format) na taarifa zinazotakiwa nimeambatanisha hapa.
denooJ , MTAZAMO , barafu , Tindo , Chige , shige2 , Malcolm X5 , MALCOM LUMUMBA ,