Watumishi wa Umma waombwa na Hazina kuorodhesha Dini na Kabila zao. Rais Samia na Wasaidizi wako, haya yanafanyika kwa lengo gani?

ila wachaga mnapata tabu sana, anyway logeni ccm itoke madarakani ndio itakua nafuu kwenu
 
Inawezekana ikaileweka vibaya kwasababu tayar Kuna mitizamo tofauti juu ya Kiongozi mkuu.
Ila hili jambo lipo na lilikuwepo kwa watumishi. Kuna muda watu walihoji na majibu yalionyesha ni kwa nia njema, Mfano mtumishi anapofariki zipo taratibu za kumhifadhi kiimani kabla ndugu zake hawajapatikana au kufika eneo husika, lakini pia kulikuwepo na mgongano wa nyakat za ibada hasa kwa Wasabato na Waislam.
Kuna maeneo ijumaa hawana break kabisa kwakuwa idadi kubwa ya wakaazi ni Wakristo kwahiyo hili la kuwatambua inaeezekana halina sura ya udini au ukabila.
 
Ni muhimu serikali imtambue mtumishi wake Kwa taarifa Kama hizo incase of emergency Kama vifo na nyingine. Hata hospital japo sijaenda MDA lakin last time nimeona vipengele hivyo.
 
Ni muhimu serikali imtambue mtumishi wake Kwa taarifa Kama hizo incase of emergency Kama vifo na nyingine. Hata hospital japo sijaenda MDA lakin last time nimeona vipengele hivyo.
Kwani serikali inafanya matambiko? Serikali inaswalisha? Kuna kitu gani cha kiimani au kikabila serikali inafanya kwenye hizo dharula?
 
Du aisee Lakini, kabla ya mama ukabila na udini bado ulikuwepo , ila kimya kimya , hasa Hawa wachaga na wasukuma na ndugu Yao jiwe ameleta sana udini, Kuna siku nasoma CV ya msukuma mmoja, nakuta kaweka kabila lake kwenye CV, ila nilikuwa kuona matokeo yake baada ya yeye kupata kazi na Mimi kukosa.
 
Anamkosha Mohamed Said katika hili atakuja na zile ratio zake za 80:20
Inside 10,
Napenda kwanza kukufahamisha kuwa hii ratio ya 20:80 kuonyesha uwiano baina ya Waislam na Wakristo katika kuhodhi nafasi katika serikali ya Tanzania si zangu mimi kama ulivyoandika.

Hii ratio ipo katika Waraka wa Uchaguzi wa Shura ya Maimamu wa Tanzania uliotolewa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2020.

Umesema kuwa mimi nimekoshwa na hatua ya serikali ya kutaka kujua dini na kabila.

Kwa kauli yako hii nachukulia kuwa jambo hili limekuudhi na ningependa kufahamu kwa nini hulipendi?

Unaweza kusoma waraka wa Shura ya Maimamu hapo chini:
 
Taarifa za hivi sio mpya kuombwa hapa Tanzania ila ni ukweli usiopingika HAZINA MAANA YOYOTE. Hata lile swali la kabila lako linalopendwa Guest na Wazee wa kuua kwa sindano ya sumu linapaswa liondolewe. I won't support this shit.
 
Kipolisi nadhani kuulizwa kuhusu kabila kuna justification.

Kisheria, kwenye defences to criminal liability kuna defence moja inaitwa 'PROVOCATION' au KUGAFIRISHWA kwa tafsiri ya Kiswahili isiyo rsmi sana. Huu ni utetezi unaoweza kumsaidia mtuhumiwa kupewa adhabu ndogo Mahakamani au kuachiwa huru kabisa kutokana na kabila lake TU.

Ngoja nikupe mfano wa defence hii, ukimfumania mkeo/mumeo kitandani kwenu (matrimonial bed) anachakatana na mwanamke/mwanaume mwingine ukapandwa na hasira ukamjeruhi, hapa utakua umekuwa provoked Kisheria kwasababu ya kupandwa na hasira (heat of passion); hasira ambayo inatofautiana kati ya kabila na kabila au mtu na mtu.

Inaaminika Wakurya wana hasira kali na za haraka tofauti na wasukuma labda, ingawa wakati mwingine unaweza kukuta ni kinyume chake kwa kumkuta mkurya mpole lakini pia unaweza kukutana na msukuma mtata, hii itategemea na jinsi Mahakama itakavyopima.

Ninachotaka kusema ni kwamba kabila tu linaweza kukusaidia ukaachiwa huru kwa kuaminika kwamba watu wa kabila flani wana hasira za karibu.

Lakini hata kwenye kesi za ndoa kama talaka, kwa mfano kwenye ishu ya custody of children, kabla Mahakama haijaamua mtoto/watoto wakaishi na baba au mama, moja ya criteria ni kuangalia MILA NA DESTURI ZA KABILA HUSIKA, kwamba kwa kawaida wanandoa wanapoachana ni nani (baba au mama) anayestahili kubakia na watoto.

Naomba kubakia.
 
Lengo ni kuwapunguza wakristo hazina hapo
 
Tanzania tumeingia kwenye mfumo wa uchifu na machifu hufanya matambiko, hivyo ni vyema mkajulikana makabila na dini zenu kwa ajili ya kufanikisha matambiko.
 
Huyu rais ni mdini na makabila (Uzanzibari) wa kupindukia. Nyerere alituonya mapema juu ya kuongozwa na watu waliofilisika kisiasa
 
Boss sio kweli mm wakati naanza ajira kuna kipengele kwenye mkataba wangu ajira za serikali kinauliza dini.Hili jambo sio jipya nashangaa kuona mleta mada analikuza kana kwamba limekuja leo.Au kwakuwa kwenye ajira za serikali ni mgeni.
 
Mama Samoa Luna watu wanamwangusha technically

Hizo fomu hicho kipengele cha dini na kabila kiondolewe

In hatari sababu kitawapa watu mianya ya kuoendeleana mfano bosi was Shirika au wizara akijua huyu dini yangu au kabila langu ataibua upendeleo hata kwenye ajira MTU anayeajiri aweza kitumia kuonea wengine kuwa ah huyu anayeomba kazi in kabila language akampendelea

Hayo yalikuwa yameondolewa naona yanarudishwa lengo nini?

Hata kwenye sensa yaliondolewa kuwa MTU asihojiwe kabila au dini yake .Waislamu siasa Kali walitaka kiwemo ili serikali iwasaidie kujua wako wangapi .Wakajibiwa nendeni mkajihesabu huko misikitini
Sasa naona serikali imeanza sensa ya kuhesabu waislamu wako wangapi

Hiyo mifomu yenye dini na kabila ilishaondolewa hiyo sehemu za ajira huyu mama anataka kuturudisha nyuma


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…