Watumishi wa Umma waombwa na Hazina kuorodhesha Dini na Kabila zao. Rais Samia na Wasaidizi wako, haya yanafanyika kwa lengo gani?

Boss sio kweli mm wakati naanza ajira kuna kipengele kwenye mkataba wangu ajira za serikali kinauliza dini.Hili jambo sio jipya nashangaa kuona mleta mada analikuza kana kwamba limekuja leo.Au kwakuwa kwenye ajira za serikali ni mgeni.
Unashindwa kuelewa hawa either ni wapinzani au ile kitchencabinet iliyoachwa na huwa wanatafuta kila upenyo kui discredit serikali ili Rais aonekane hafai,,
Ndo full time kazi yao siku hizi
 
Wanaoenda kufanya ibada ijuma inabidi wafidie huo muda Jumamosi au Jumapili.
 
Dini ya mtu na kabila la mtu ndio zilizofanya bei za bidhaa kupanda maradufu? Dini na kabila ndizo zinafanya umeme ukatike hovyo hovyo na upande kutoka 27 mpaka laki 3?Mambo ya ajabu na hovyo kabisa.
 
Ndio hali imefikia hapo

Nakushauri andika wewe unatokea Zanzibar na dini yako ni mkojani

Hapo sisi wahindi itakuaje sasa na ni watanzania
Kama uliwahi kumsikiliza Nyerere (1960 - Marekani), tulipo pata uhuru 1961 yaliongezeka makabila mapya! Wahindi, waarabu na wazungu. Hivyo kama wewe ni Mhindi, usihofu wewe ni mtanzania kama Mjita alivyo.
 
Sio lazima kujaza dini, huwezi kulazimishwa kujaza ukiweka deshi.
Kelele hizi za dini sio bure lazima zinagusa maisha ya watu direct ndio maana mayowe mengi. Hizo taarifa hazina effects zozote kwa anayetoa kwani hataachishwa kazi kwa kuwa dini au kabila fulani. Uzuri wake serikali inapotoa ajira CV yake haina kipengele hicho ila ukishapata kazi ndipo utatakiwa kutoa taarifa hizo.

Mnajifanya dini na kabila sio msingi wa maisha kwako na wakati leo hii ukitaka kuoa au kuolewa lazima familia kwabza watake kujua dini then kabila. Udini na Ukabila ndio vitu vya kila siku katika maisha yetu ba hadi tunataniana humo humo. Serikali inapofanya kazi yake tena kwa umakini kama hii usiingiliwe lazivyo hata JF hii itafungwa permanently kwa kuwa inakiuka masharti na malengo ya kuanzishwa kwake.

Kama humu wakenya mmezidi kwa mgongo wa CHADEMA semeni tujuwe moja, inakera na kusikitisha kwa namna mnavyomshambulia mama utadhani ni hambazi au mpiga dili fulani. Kama hamuuoni usafi wake basi mpotezeeni tu
 
Serikali haina dini wala kabila, ila watu wake wana dini na makabila...


Kasome tena katiba inatamka wazi kuwa mambo ya dini yatakuwa ya kibinafsi nje ya serikali hilo lifomu linaimgiza udini kwenye ofisi za serikali

Dini katiba inasema ni private affair sio public affair
 
 
ila wachaga mnapata tabu sana, anyway logeni ccm itoke madarakani ndio itakua nafuu kwenu
Kwanza nashangaa, kwani mtu anapoajiriwa si details zote hizi anatoa kwa mwajiri wake. Ina maana MOF walikuwa wanafanya kazi na watu ambao hawajui siku zote hizi. Unamwuliza mwajiri wako jina lako, wewe ulikuwa unamlipa nani mshahara?
 
Kinacho nisikitisha ni kwamba, wale wale mlioshangilia wakati wa Magufuli akiyafanya haya, ndio na leo mnayapinga.
Magufuli alitumbua waislamu na wachaga akajiwekea Wasukuma serikalini na bungeni.

Mnasahau kuwa Chui jike kajifunza na kurithi Udini, Ukabila na roho mbaya kwa Jiwe?!

#Katiba mpya ni lazima na ni sasa
 
Kwenye kumbukumbu za ajira,kabila,dini ni viyu vya kawaida tu hata enzi za nyerere sharti hili lilikuwepo

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kwa watumishi hlo kawaida sana,mtu anapoajiruwa tu lazma ainishe hayo
 
Sio lazima kujaza dini kwenye hiyo CV, hauwezi kufanywa chochote kwa kutokua na dini. Pia watu wengi tu wanaishi pamoja na wakiwa na familia bila kuoana na zipo ndoa za kiserikali ambazo sio lazima kuwa na dini.
 
Hii haiko sawa mfano kuna kasi kubwa vijana wengi kuoa au kuolea na makabila mengine. Ni vema tutengeneze kabila liitwalo mtanzania.
Na hii dini ya nini bora wailize magrupu ya damu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…