View: https://www.instagram.com/p/DFScSN8C6Ko/?igsh=dmNjZ21lb2tscnJj
Wangesema tu kusiwe na kazi kwa siku 2 kuepusha purukushani. Maana kiuhalisia itakuwa ni mateso tu katika swala zima la usafiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoe tamko rasmi la kiserikali. Muhindi na mchina atataka vibarua wake waende mzigoni kama kawaida halafu mabarabarani hakuna usafiri.Kwa Mujibu wa Mwenyekiti msaidizi wa CCM...... kesho tutafanyia KAZI nyumbani
View: https://www.instagram.com/p/DFScSN8C6Ko/?igsh=dmNjZ21lb2tscnJj
Wangesema tu kusiwe na kazi kwa siku 2 kuepusha purukushani. Maana kiuhalisia itakuwa ni mateso tu katika swala zima la usafiri.
😂 na hawachelewagi leo watu wangelala shekilango na mbeziWangesema mapema watu wangeenda Moshi toka Ijumaa..!!