Watumishi wengi wa serikali mnatia huruma mno, ni katikati ya mwezi ila nimepokea zaidi ya simu 10 mkiomba msaada wa pesa

Mkiwa na msururu wa madeni ya nguo na mapochi bila kusahau viatu aka skuna.Mnaongoza kwa mikopo kwenye Taasisi ndogo za fedha kuanzia saccos mpaka vicoba
Af kwenye vijiwe vya kahawa ni wajuaji hao.
 
Sawa Comred Nyboma nadhani wamekusikia na
Wengine wesema acha sifa
Kama kina Nshomile
tatizo la watumishi wengi
Bia tamu🎶🎵
Bia tamu🎵🎶
 
Uneamua kututangaza sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…