Daah ajabu unaweza kuta et na wewe ni degree holder kabisa Tena toka Udsm.
Swali dogo tu ,msukumu ni la Saba lakin anakula mshahara wa Bei gani?
Jahpeople Ana elimu gani had alambe 12m per month?
Elimu gani unayoisema wewe chawa wa ccm ? Ukipangua safu ya viongozi wengi wa serikali hii ya ccm elimu zao ni za hapa na pale lakin wanamiliki misinagogi ya kufa mtu.
Muda mwingine upunguzage upumbavu na najua mmetumwa kupima upepo wa watumishi wa umma kwa kutaka kuzima uhuni wenu kwa mbinu za kishamba.
Mwbieni mama yenu kuwa amelikoroga tayari ,wafanyabiashara hasa machinga hawamtaki kabisa ,kaja kuharibu na kwa watumishi wa umma balaa lake atakuja liona huko mbeleni .
Magu nae alikua kibri Kama huyu alivyoanza lakin raia wakalia kimya kimya machoz yao yakasikilizwa na mungu saiz anatafunwa na funza pale chato.
Hata huyu mama yenu 2025 hatoboi na Kama anategemea kuiba Ila mungu atamjibu km mwenzie ,tushachezewa Sana na wanasiasa wa nchi hii soon kila kitu kinaenda kujibiwa mbwa nyie