TangataUnyakeWasu
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 1,268
- 1,611
Hali ni tete kwa watumishi wote darasa la saba ambao waliajiriwa kuanzia 2004.
Watumishi ambao walikuwa bado awajajiendeleza na elimu ya kidato cha nne mwezi huu wameondolewa rasmi kwenye payroll ya serikali na inasemekana hata mshahara wa mwezi huu wa saba hawajalamba.
Kuna kituo X cha kazi jumla ya wafanyakazi 17 wameliwa vichwa.
Watumishi ambao walikuwa bado awajajiendeleza na elimu ya kidato cha nne mwezi huu wameondolewa rasmi kwenye payroll ya serikali na inasemekana hata mshahara wa mwezi huu wa saba hawajalamba.
Kuna kituo X cha kazi jumla ya wafanyakazi 17 wameliwa vichwa.