Tetesi: Watumishi wenye Elimu ya Darasa la Saba walioajiriwa kuanzia 2004 waondolewa kazini

Tetesi: Watumishi wenye Elimu ya Darasa la Saba walioajiriwa kuanzia 2004 waondolewa kazini

Tunamalizia namba za tarakimu next tunaanza namba za kirumi.
TUKIMALIZA KUHESABU VIDOLE TUTAANZA KUHESABU MENO.

ule wimbo wa wacha waisome namba siku hizi hata sisiemu wakereketwa wamediliti kwenye ring tone zao.
 
TUKIMALIZA KUHESABU VIDOLE TUTAANZA KUHESABU MENO.

ule wimbo wa wacha waisome namba siku hizi hata sisiemu wakereketwa wamediliti kwenye ring tone zao.

Ndiyo hivyo mkuu
 
SIO KWELI Mkuu! Wanaoondolewa ni wale darasa la Saba walioajiriwa baada ya 2004 na HAWAJAJIENDELEZA kupata Elimu ya Sekondari. Hawa walioajiriwa kabla ya 2004 ambao ni darasa la Saba HAWAGUSWI!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kujiweka sawa kisaikolojia, serikali hii haiaminiki! ON YOUR MARKS, GET READY, GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
 
Mie naomba awaondoe na wabunge wa darasa la saba akina Msukuma na Profesa Maji marefu na wengineo.
 
Kuna mama mmoja namfahamu kaondoka na maji naye
 
SIO KWELI Mkuu! Wanaoondolewa ni wale darasa la Saba walioajiriwa baada ya 2004 na HAWAJAJIENDELEZA kupata Elimu ya Sekondari. Hawa walioajiriwa kabla ya 2004 ambao ni darasa la Saba HAWAGUSWI!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Serikali ifikirie sana , mtu anaweza akawa ana elimu ya sekondari Lakini asiwe na uwezo katika utendaji wa kazi, kwani wapo wenye elimu ya msingi walijiendeleza katika taaluma zao na kuweza kufikia kiwango cha stashahada hadi shahada, je mtu huyo ataambiwa hajasoma? kwa kuwa tu hana cheti cha sekondari? tukumbuke wakati wa vita vya uganda asilimia 99 walikuwa ni wale waliohitimu elimu ya msingi.
 
Safi sana acha wajajiajiri kama wanavyowaambiaga majobless.KAZI TU.

Tombatomba idevice Model TH 45
 
Hawa lengo lao kutemesha kazi walimu wa art 7000+ waliozidi.

amini nawaambieni walimu Hawa


wana
cheti cha std7
cheti cha f4 DVS III- I
cheti cha six I-III
degree GPA 2.7 and above!
Mbona ata hauelewek mzee wangu
 
Kuna maswali machache.

1. Hao watumishi walikuwa wameajiriwa wakijulikana kwamba hiyondiyo elimu yao au ni watu ambao walijifanya kuwa na elimu zaidi? Kama walijulikana, mkataba wao na serikali ulitambua elimu yao hiyo kwamba inafaa kwa kazizao.

2.Elimu ni muhimu. Kujiendeleza kielimuni muhimu. Walipewa taarifa na nafasi za kujiendeleza?

3. Ni watumishiwa kazi gani? Kuna kazi nyingine hazihitaji kisomo sana zaidi ya kujua kusoma na kuandika.Je, kuwaondoa watu wenye kisomo cha chini kunaangalia vigezo gani? Mfagizi wa ofisi hahitajikujua calculus kuweza kufagia.

4. Inakuwaje mtumishi halali aondolewe kazini bila kulipwa mshahara?

5. Wamelipwa mafao yao?
Acha tu mkuu rudi nyuma miaka iyo ya 2004

Mtu ukimaliza std 7 unaweza kwenda veta ukapiga ata udereva uselemara ufundi wa magar ama ata computer Na unakua competint kabisa Na unaajira afu unakuja toka kwa style Kama hii mkuu ni hatar sana
 
Back
Top Bottom