Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
poapoa mkuu mambo ya makanikia yalisababisha nikachanganya mafaili!SIO KWELI Mkuu! Wanaoondolewa ni wale darasa la Saba walioajiriwa baada ya 2004 na HAWAJAJIENDELEZA kupata Elimu ya Sekondari. Hawa walioajiriwa kabla ya 2004 ambao ni darasa la Saba HAWAGUSWI!!
Sent using Jamii Forums mobile app