Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
poapoa mkuu mambo ya makanikia yalisababisha nikachanganya mafaili!SIO KWELI Mkuu! Wanaoondolewa ni wale darasa la Saba walioajiriwa baada ya 2004 na HAWAJAJIENDELEZA kupata Elimu ya Sekondari. Hawa walioajiriwa kabla ya 2004 ambao ni darasa la Saba HAWAGUSWI!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Usihofu mkuupoapoa mkuu mambo ya makanikia yalisababisha nikachanganya mafaili!
Mkuu sio TETESI ni kweli tupuHali ni tete kwa watumishi wote darasa la saba ambao waliajiriwa kuanzia 2004.
Watumishi ambao walikuwa bado awajajiendeleza na elimu ya kidato cha nne mwezi huu wameondolewa rasmi kwenye payroll ya serikali na inasemekana hata mshahara wa mwezi huu wa saba hawajalamba.
Kuna kituo X cha kazi jumla ya wafanyakazi 17 wameliwa vichwa.
Nomaaa sanaaaaMkuu sio TETESI ni kweli tupu
Mkuu sio TETESI ni kweli tupu
Watu tumekosa kazi na mishahara wewe unaimba kazi tu... huo ujuhaAcheni upuuzi. Hii SMS ya kutengeneza.
Hapa kazi tu
Ushauri wa manufaa... waende gamboshi kama bashite....Bashite waelekeze wenzako ambao haawana vyeti wafanye nini ili wasitumbuliwe[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
Samael