TUKIMALIZA KUHESABU VIDOLE TUTAANZA KUHESABU MENO.Tunamalizia namba za tarakimu next tunaanza namba za kirumi.
TUKIMALIZA KUHESABU VIDOLE TUTAANZA KUHESABU MENO.
ule wimbo wa wacha waisome namba siku hizi hata sisiemu wakereketwa wamediliti kwenye ring tone zao.
Ni kujiweka sawa kisaikolojia, serikali hii haiaminiki! ON YOUR MARKS, GET READY, GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOSIO KWELI Mkuu! Wanaoondolewa ni wale darasa la Saba walioajiriwa baada ya 2004 na HAWAJAJIENDELEZA kupata Elimu ya Sekondari. Hawa walioajiriwa kabla ya 2004 ambao ni darasa la Saba HAWAGUSWI!!
Sent using Jamii Forums mobile app
SIO KWELI Mkuu! Wanaoondolewa ni wale darasa la Saba walioajiriwa baada ya 2004 na HAWAJAJIENDELEZA kupata Elimu ya Sekondari. Hawa walioajiriwa kabla ya 2004 ambao ni darasa la Saba HAWAGUSWI!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bashite anauhakikaKama hajamuondoa Bashite tu bado hajafanya lolote.
Acha ujinga wewe tena uyo ni ndugu yangu nimeficha tu namba ama nikutumie yote we bwegestAcheni upuuzi. Hii SMS ya kutengeneza.
Hapa kazi tu
Mbona ata hauelewek mzee wanguHawa lengo lao kutemesha kazi walimu wa art 7000+ waliozidi.
amini nawaambieni walimu Hawa
wana
cheti cha std7
cheti cha f4 DVS III- I
cheti cha six I-III
degree GPA 2.7 and above!
Acha tu mkuu rudi nyuma miaka iyo ya 2004Kuna maswali machache.
1. Hao watumishi walikuwa wameajiriwa wakijulikana kwamba hiyondiyo elimu yao au ni watu ambao walijifanya kuwa na elimu zaidi? Kama walijulikana, mkataba wao na serikali ulitambua elimu yao hiyo kwamba inafaa kwa kazizao.
2.Elimu ni muhimu. Kujiendeleza kielimuni muhimu. Walipewa taarifa na nafasi za kujiendeleza?
3. Ni watumishiwa kazi gani? Kuna kazi nyingine hazihitaji kisomo sana zaidi ya kujua kusoma na kuandika.Je, kuwaondoa watu wenye kisomo cha chini kunaangalia vigezo gani? Mfagizi wa ofisi hahitajikujua calculus kuweza kufagia.
4. Inakuwaje mtumishi halali aondolewe kazini bila kulipwa mshahara?
5. Wamelipwa mafao yao?
.Acha ujinga wewe tena uyo ni ndugu yangu nimeficha tu namba ama nikutumie yote we bwegest