Watumishi zaidi ya 200 Wasimamishiwa mshahara kisa ESS (PEPMIS)

Watumishi zaidi ya 200 Wasimamishiwa mshahara kisa ESS (PEPMIS)

Mr Mjs

Member
Joined
Mar 22, 2024
Posts
29
Reaction score
20
Watumishi wa kada mbalimbali Halmashauri ya wilaya ya Rorya wamesimamishiwa mishahara yao kwa mwezi huu kwa kushindwa kufanya planning ya kazi zao kupitia mfumo wa ESS(PEPMIS). Baadhi ya watumishi hao ni pamoja na wale ambao wapo Shuleni wakijiendeleza kielimu.
 
Back
Top Bottom