Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu kwa mambo ya serikalini hapo sio next month hata wakijaza unaweza kushangaa ikakata miezi 5 ndio mapate mshahara tenaAlloohh!! Yaani unategemea salary iingie Pasaka iwe njema mara paap kibubu kinakauka hadi next month.
Mkuu uko serious au unatania?Mimi niko Masomoni ,ni miongoni mwa waliokosa mshahara kabisa.Very painfully
Very serious mkuu!!Mshahara nimekosaMkuu uko serious au unatania?
Ulijaza au hukujaza?Mimi niko Masomoni ,ni miongoni mwa waliokosa mshahara kabisa.Very painfully
Kingereza kibovu hicho, andika Kiswahili tu.Mimi niko Masomoni ,ni miongoni mwa waliokosa mshahara kabisa.Very painfully
Halafu ni vijana tu. Ila dharau zimewaponza. Eti serikali inajua niko masomoni. Kumbe alitakiwa kuplan halafu aweke barua ya ruhusa, amemaliza.Wengi watakuwa na miaka 50+
Kwani kiingereza ndiyo nini kwako? Ndiyo akili? Ama maarifa ya kutatua changamoto za maisha? Unamshangaa mtanzania kukosea kuandika kwa lugha ya kiingereza kweli? Hebu makinika mkuu.Kingereza kibovu hicho, andika Kiswahili tu.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Muulize aliyeandika Kingereza kibovu.Kwani kiingereza ndiyo nini kwako? Ndiyo akili? Ama maarifa ya kutatua changamoto za maisha? Unamshangaa mtanzania kukosea kuandika kwa lugha ya kiingereza kweli? Hebu makinika mkuu.
Pole mkuu, hawa jamaa sijui wanafikiria nnVery serious mkuu!!Mshahara nimekosa