Watumwa walikuwa wanaamini wazungu wanawanunua ili kwenda kuwala

Watumwa walikuwa wanaamini wazungu wanawanunua ili kwenda kuwala

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Enzi za utumwa hali ilikuwa ni mbaya sana. Mtumwa alikuwa ni mtu wa hofu kwenye safari yake yote. Nafikiri alipofika anapokwenda alipumua kwa ahueni baada ya kujua kuwa ameenda kulima.

Inasemwa kuwa mara tu walipofika pwani na kuona meli huzuni kuu iliwaingia. Macho yao yalionyesha kukata tamaa kabisa. Walijua safari ya kwenda kuliwa imefika. Mara meli ilipotingishika kuondoka, vilio vikubwa sana vilisikika.

Hii hadithi ilitumiwa pia na wafanyabiashara ya watumwa wa kiarabu. Wazungu walipopiga marufuku utumwa, na kuanza kuvamia misafara ya waarabu. Waarabu waliwambia waafrika kuwa wazungu wanawakomboa ili kwenda kuwala.
 
Enzi za utumwa hali ilikuwa ni mbaya sana. Mtumwa alikuwa ni mtu wa hogu kwenye safari yake yote. Nafikiri alipofika anapokwenda alipumua kwa ahueni baada ya kujua kuwa ameenda kulima.

Inasemwa kuwa mara tu walipofika pwani na kuona meli huzuni kuu iliwaingia. Macho yao yalionyesha kukata tamaa kabisa. Walijua safari ya kwenda kuliwa imefika. Mara meli ilipotingishika kuondoka, vilio vikubwa sana vilisikika.

Hii hadithi ilitumiwa pia na wafanyabiashara ya watumwa wa kiarabu. Wazungu walipopiga marufuku utumwa, na kuanza kuvamia misafara ya waarabu. Waarabu waliwambia waafrika kuwa wazungu wanawakomboa ili kwenda kuwala.
Kama ndivyo hivyo mbona inasemekana WAKO VIONGOZI NA MACHIFU walioshirikiana na wageni hao kuwapatia WATUMWA....

Kwa hiyo hao machifu wasaliti walikuwa wanawapeleka watu wao kuwa VITOWEO?!!! Khaaa 😳😳😳

Na hao waliochukuliwa hawakupambana mpaka kufa huku wakijua wanakwenda kufanywa KITOWEO?!!!😳😳

Jamaa waliochukua watumwa wazee wetu WALITUDHALILISHA na KUTUFANYIA UKATILI SANA...daah inauma mno......
 
Me nadhani ilikuwa Ni kama ajira tu Seema posho yake kiduchu..waliochukuliwa burebure wachache ila wengi walidanganyika na kaposho maana pesa SI tayari ilishakuwepogi?
 
Pumbavu zao waliokuwa wanafanya biashara ya utumwa kwa waafrika, wajaribu tena watakiona cha mtema kuni
😥 Boss hi kitu tunafanyiana sisi waafrika wenyew Wala hawahitaji kuja, even worse wao hawaipendi hata kidogo na Ni kosa lenye adhabu Kali wakikulamba unapiga izo mbanga,
 
Kama ndivyo hivyo mbona inasemekana WAKO VIONGOZI NA MACHIFU walioshirikiana na wageni hao kuwapatia WATUMWA....

Kwa hiyo hao machifu wasaliti walikuwa wanawapeleka watu wao kuwa VITOWEO?!!! Khaaa 😳😳😳

Na hao waliochukuliwa hawakupambana mpaka kufa huku wakijua wanakwenda kufanywa KITOWEO?!!!😳😳

Jamaa waliochukua watumwa wazee wetu WALITUDHALILISHA na KUTUFANYIA UKATILI SANA...daah inauma mno......
Walipenda wenyewe walishindwa vipi kujikomboa
 
Me nadhani ilikuwa Ni kama ajira tu Seema posho yake kiduchu..waliochukuliwa burebure wachache ila wengi walidanganyika na kaposho maana pesa SI tayari ilishakuwepogi?
Kinachoshangaza wako MACHIFU waliohusika kuwauza wenzao....je waliwatoa BURE?!!

Je hakuna familia zilizopewa fedha kutoa vijana wao waende wakafanye kazi huko "mbinguni kwa watu weupe"?!!!
 
Kinachoshangaza wako MACHIFU waliohusika kuwauza wenzao....je waliwatoa BURE?!!

Je hakuna familia zilizopewa fedha kutoa vijana wao waende wakafanye kazi huko "mbinguni kwa watu weupe"?!!!
Hakuna binadamu utamchukua bure awe tu anafanya kazi asijaribu kutoroka..me nadhani walikuwa wanapatana vzr tu Seema hili neno utumwa limesimama badala ya malipo kidogo.
 
Najaribu kutafakari hapa kuwa unajua kuwa adui anakuchukua ili akakufanye KITOWEO...unakubali kutokufa nyumbani kwenu?!!!

Hizi simulizi za UTUMWA na UKOLONI zina mengi HAYAJAELEZWA VYEMA.....
Kaka kwa wakati ule walikua hawana namna..walikua kwenye giza hasa! Japo ni kweli kuna mengi hayako sawa.
 
Hakuna binadamu utamchukua bure awe tu anafanya kazi asijaribu kutoroka..me nadhani walikuwa wanapatana vzr tu Seema hili neno utumwa limesimama badala ya malipo kidogo.
Naam mkuu wangu mengi hayajaelezwa vyema......

Kuna "miss linking" nyingi mno

Na haina maana kuwa hakukuwa na UKATILI wa hapa na pale....
 
Kinachoshangaza wako MACHIFU waliohusika kuwauza wenzao....je waliwatoa BURE?!!

Je hakuna familia zilizopewa fedha kutoa vijana wao waende wakafanye kazi huko "mbinguni kwa watu weupe"?!!!
Leo wakija Hakuna kijana atabaki Afrika.
Zamani walichukuliwa kwa nguvu siku hizi wanajazana ubalozini kugombea viza
 
Kaka kwa wakati ule walikua hawana namna..walikua kwenye giza hasa! Japo ni kweli kuna mengi hayako sawa.
Mkuu wangu.....

Tukisema walikuwa katika "GIZA" ndipo kihoja TUNAPOTEA/KUJIPOTEZA/KUPOTEZWA....lugha hizo ndizo ZIMEENDELEA kutumiwa na watesi wetu kuhalalisha unyama kwetu.....

Mwanadamu amekamilika baada ya kuzaliwa.....toka dunia kuumbwa mwanadamu hakuwahi kukubali KUONEWA/KUDHALILISHWA/KUVUNJIWA UTU WAKE YEYE NA FAMILIA YAKE.....
 
Kama ndivyo hivyo mbona inasemekana WAKO VIONGOZI NA MACHIFU walioshirikiana na wageni hao kuwapatia WATUMWA....

Kwa hiyo hao machifu wasaliti walikuwa wanawapeleka watu wao kuwa VITOWEO?!!! Khaaa 😳😳😳

Na hao waliochukuliwa hawakupambana mpaka kufa huku wakijua wanakwenda kufanywa KITOWEO?!!!😳😳

Jamaa waliochukua watumwa wazee wetu WALITUDHALILISHA na KUTUFANYIA UKATILI SANA...daah inauma mno......
Ila machifu wa kiafrika walishiriki sana kwenye hii biashara. Wakulaumiwa si wazungu pekee. Chifu fulani analipwa bunduki, nguo, kipande cha chuma kisha anenda kuvamia kabila lingine na kuwapa wazungu. Ilikuwa ni biashara ya pesa nyingi sana.

Hata kuna falme za kiafrika zilimiliki watumwa. Mfano Ghana, waakan walijenga ufalme wao kwa kutumia watumwa migodini na mashambani.
 
Ila machifu wa kiafrika walishiriki sana kwenye hii biashara. Wakulaumiwa si wazungu pekee. Chifu fulani analipwa bunduki, nguo, kipande cha chuma kisha anenda kuvamia kabila lingine na kuwapa wazungu. Ilikuwa ni biashara ya pesa nyingi sana.

Hata kuna falme za kiafrika zilimiliki watumwa. Mfano Ghana, waakan walijenga ufalme wao kwa kutumia watumwa migodini na mashambani.
Ni kweli mkuu.....

Halafu hao watumwa walikuwa na "grade" kitafsiri.....

Inasemekana JAMII zilizokuwa katika VITA...wale washindwao walichukuliwa mateka na kwenda KUTUMIKISHWA vyovyote iwavyo....wako waliokaa majumbani kuwatumikia mabwana zao wapya....wako walioishi na kujikomboa kwa KUNUNUA Uhuru wao/kutolewa fedha kupatiwa Uhuru wao/kuolewa/kuzaa na mabwana zao....

Wako waliopewa heshima ya kuwa RAIA wapya.....

Ninamkumbuka "UNCLE TOM" mnyapara wa wenzake kule mashamba ya watumwa Marekani 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom