YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Gharama za fremu za biashara haziko rafiki kwa mfanyabishara na TRA pia Kodi sio rafiki kabisa Ni pepo ibilisi.
TRA na Wenye fremu na wapangisha majengo ya maduka ndio chanzo kikuu Cha kufungwa biashara nyingi na kuzuia biashara mpya na viwanda vipya kuanza.
Hawa wawili ndio mashetani wakubwa wa kuua biashara na kuzuia biashara mpya kuanza.
Serikali iangalie hayo maeneo mawili
TRA na Wenye fremu na wapangisha majengo ya maduka ndio chanzo kikuu Cha kufungwa biashara nyingi na kuzuia biashara mpya na viwanda vipya kuanza.
Hawa wawili ndio mashetani wakubwa wa kuua biashara na kuzuia biashara mpya kuanza.
Serikali iangalie hayo maeneo mawili