kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
namjua na mimi nimesoma hapo kamaliza mwaka gani nimkumbukeIringa, shule ya msingi Wilolesi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
namjua na mimi nimesoma hapo kamaliza mwaka gani nimkumbukeIringa, shule ya msingi Wilolesi
mkuu usikute tunajuana nilikuwepo kipindi cha mapundaIringa, shule ya msingi Wilolesi
Darasa la 7 la mwaka 2000namjua na mimi nimesoma hapo kamaliza mwaka gani nimkumbuke
namjua kamaliza na wakina mamudu tall,na damas mwalongoDarasa la 7 la mwaka 2000
Upo sahihi kabisa, Damas Mwalongo kaka mkuu😄😄namjua kamaliza na wakina mamudu tall,na damas mwalongo
dada mkuu husna mwanziku[emoji3][emoji3][emoji3]Upo sahihi kabisa, Damas Mwalongo kaka mkuu[emoji1][emoji1]
Rungwe kumbe ana mashine za kwenda,
Kwanini hafungi mkanda wa usalamaHuyu jamaa ndio mwamba wa GOLDEN DEER [emoji1662][emoji1662][emoji1662] T 712 DPK anayezisumbua SCANIA za SAULI [emoji1631][emoji1631] za DAR - MBEYA - TUNDUMA
Ametrend sana wiki hii akiwa na memes mbali mbali
View attachment 1851887View attachment 1851888View attachment 1851889
Scania na Benz ndiyo mwisho wa maneno, hizi za kichina uzushi tupuRungwe kumbe ana mashine za kwenda,
Hatimae imetua bongoAkasukume vitu kamba hivyo!View attachment 1860902