Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Habari za wakati huu wapendwa

Katika dini zote au madhehebu yote au makanisa yote hakuna kanisa au waumini ambao wanaongoza kupigwa vita na kusemwa vibaya kama wakatoliki.

Ukienda kwenye mikusanyiko ya waislamu wanaopondwa ni wakatoliki ukienda kwenye mikutano ya injili ya walokole wanaopondwa na kusimangwa ni wakatoliki lakini huwezi kusikia wakijibizana na mtu.

Tangu nizaliwe hadi sasa sijawahi kusikia wala kuona wakatoliki wameandaa mkutano wa injili kuponda au kusimanga dini kinzani au dhehebu kinzani.

Isipokuwa wao mafundisho yao kwa watoto wa kimunio ya kwanza na kipaimara yamejikita katika kuufahamu ukatoliki na kuuelewa vizuri ndio maana ukikuta mkatoliki ameiva kabisa kwenye mafundisho huwezi ukamkuta anatetereshwa kwa mambo ya kijinga.

Wakatoliki wengi wao wamepewa mioyo ya uvumilivu ndio maana wanasimangwa sana kuhusu ubaya madhaifu yao lakini bado wapo imara na wameendelea kushikilia imani yao.

Huwezi ukakuta wakatoliki wanashawishi watu wahamie dini yao kwa kuwaambia madhaifu ya dini kinzani huwezi kukuta wakatoliki wapo mtaani wanahubiri au kwenye mabasi kisha kuwaambia watu watoe sadaka huwezi kukuta hiyo.

Ushauri wangu kwa dini na madhehebu mengine ni bora katika mafundisho yenu mjikite katika kuwaambia watu mazuri ya dini na madhehebu yenu ili kama mtu akivutiwa na mafundisho yenu awafate bila kuchafua dini za wenzenu.

Maana unaweza ukachafua dini/dhehebu la mwenzio siku na lako likija kuchafuliwa usianze kupaniki na kuanza kuleta maandamano ya kufunga barabara kwa kusema dini /dhehebu lako limechafuliwa.

Najua yapo mengi sana yanaongelewa huko mtaani kila dhehebu likisema ubaya wa dhehebu kinzani na wote ni mashahidi.
Kama wote lengo letu kufinga mbinguni muache afike kwa njia anayotaka yeye usimpangie njia ya kupita afike mbinguni.

Nilichogundua asilimia kubwa wanaohubiri kwa kuwachafua wenzao anataka wapate waumini tu ili SADAKA ziongezeke hakuna kingine.

Ungewaondoa wa islam ukawata hao wakristo wenzio tu
 
Nimetaja hekalu kama kiwakilishi Cha sehemu rasmi ya ibada.
Pale mtini alipotundikwa Nyoka hapakuwa sehemu rasmi ya ibada wala makuhani hawakuwa wanapatumia kuondolea watu dhambi.

Yesu ni kuhani mkuu anayefanya kwa mfano wa makuhani wa enzi za kale Kwa kuwaondolea watu dhambi.

Kusema Mungu aliruhusu ibada ya Sanamu ndio maana akatoa nyoka wa Shaba enzi za Musa ni uthibitisho wa wazi Kabisa kwamba maandiko yamewapiga chenga.
Narudia Tena.
Mungu hajawahi kuushirikisha utukufu wake na Sanamu.
Acheni mihemuko.
Umejua vipi kama pale mtini hapakua sehemu rasmi ya ibada.
 
Wewe ungekuwa nchi za kiislam wangesha kuchinja

Unampinga mpaka Allah , Alie watuma majini ni nani?

Koran 64:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, na madeste makubwa kama mahodhi, na masufuria makubwa yasiyo ondolewa mahala pake. Enyi watu wa Daudi! Fanyeni kazi kwa kushukuru. Ni wachache katika waja wangu wanao shukuru
Mi huwa siendi kwa kubishana. Naenda kwa fact. Hiyo walitumwa sijui umetoa kwenye biblia. Maana biblia kuna story za kusisimua kama hizi. Hiyo niliyoweka bold ifiche Kwanza. Inaonesha uongo wako.

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema:Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.
 
Umejua vipi kama pale mtini hapakua sehemu rasmi ya ibada.
ACHA kushupaza shingo.
Vile ni vipimo vya Imani TU.
Vipo vingi kwenye Biblia.
Unaambia Fanya hivi utakuwa hivi.
Ile sio ibada.
Hata Nabii Elisha alimwambia Naamani akaoge Yordani apate kupona.
Huwezi kusema eti kuoga Yordani ilikuwa ni ibada ya Sanamu.
 
2 Wafalme 5:10 :
Elisha akamtuma mtumishi wake amwambie, “Nenda ukaoge mara saba mtoni Yordani, nawe utapona kabisa.”
 
Mi huwa siendi kwa kubishana. Naenda kwa fact. Hiyo walitumwa sijui umetoa kwenye biblia. Maana biblia kuna story za kusisimua kama hizi. Hiyo niliyoweka bold ifiche Kwanza. Inaonesha uongo wako.

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema:Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.
Acha kuruka ruka jibu
Kwa nini Allah alitengeneza masanamu

Koran 64:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, na madeste makubwa kama mahodhi, na masufuria makubwa yasiyo ondolewa mahala pake. Enyi watu wa Daudi! Fanyeni kazi kwa kushukuru. Ni wachache katika waja wangu wanao shukuru
 
Ukitaka kujua sehemu ulipo ni feki,
Huna ujasiri wa kutamka hadharani dhehebu lako.
Sina dhehebu mkuu. Nimeruhusu ufahamu wangu uwe huru. Wacha nidanganywe kwenye vitu vingine, Ila sio kwa hawa jamaa.
Hawa hawa waliotuambia kuoa wake zaidi ya wawili ni dhambi, lakini leo wanatulazimisha tena kukubali kuwa ushoga ni fresh tu. Huku wakiendelea kushikilia msimamo kuwa kuuloa wake zaidi ya wawili ni dhambi.
 
hatuongei ili kuwakashifu, hatuongei ili kuwadharau, hatuongei ili kuwatukana, tunaongea ili kuwasaidia mfumbuke macho pengine mtaponya roho zenu.

1. Kanisa aliloanzisha Paulo/Pwetro au mitume wowote wale, halifanani kabisa na ukatoliki, kwasababu makanisa ya mitume yalitembea na Nguvu za Mungu. Yesu alipopaa aliwaelekeza wanafunzi wake kwamba enenedi mkawafanya mataifa yote kuwa wanafunzi wangu, mkiwabatiza kwa JIna la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu, na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuri ninyi, na tazama mimi nipo pamoja nany hata ukamilifu wa dahari. mojawapo ya mafundisho ya Yesu ni kwamba, wakati wa kuhubiri injili tunatakiwa kuponya wagonjwa, kufufua wafu, kutakasa wenye ukoma, na tunatakiwa kufanya hivyo bure bila malipo.(ndio maana siku zote napinga wachungaji wanaotoza waumini ili wawaone au kuuza bidhaa kama njia ya kuwaona).

hakuna padre wala askofu wala papa wa kiroma mwenye uwezo wa kuponya wagonjwa, kufufua wafu au kutakasa wenye ukoma. hakuna padre wala yeyote wa aina hiyo anayetembea na Nguvu za Mungu kwasababu ili uwe nazo lazima ujazwe Roho Mtakatifu ambaye wakatoliki wanampinga, wanakataa kujazwa Roho na kunena kwa Lugha.

kanisa la kwanza, lilelile ambalo ndio kina Paulo na Petro walilijenga kule St.Peter Roma Italia, walizingatiwa uongozi wa Roho na kuomba kwa Jina la Yesu, hawajawahi kuomba kwa Maria au Mtakatifu yosefu n.k, pia katika vitabu vyote vya manabii mitume walifanya reference, hautakuja kukuta vitabu kama vya Maccabean n.k,

We unaamini kuna kanisa linaweza kufufua mtu[emoji52][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji16] au kipofu kuona?! Si wakatoliki sio walokole hamna anaeweza hilo please acheni uwo ujinga
 
sio kwa mwaka jana tu, katika historia yote, katoliki alishawahi kutokea mtu akafanya hivyo? hahaha, the vise versa may not be true. cha muhimu ni kuwepo na imani ya aina hiyo kwenye misingi ya dini. na kwa walokole, watu wengi tu wameponywa na wamefufuliwa.

We ukifa pia wataweza kukufufua[emoji3][emoji1787][emoji1787]?! Dunia ina wajinga wengi sana
 
Wewe ungekuwa nchi za kiislam wangesha kuchinja

Unampinga mpaka Allah , Alie watuma majini ni nani?

Koran 64:1

Acha kuruka ruka jibu
Kwa nini Allah alitengeneza masanamu

Koran 64:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, na madeste makubwa kama mahodhi, na masufuria makubwa yasiyo ondolewa mahala pake. Enyi watu wa Daudi! Fanyeni kazi kwa kushukuru. Ni wachache katika waja wangu wanao shukuru
Ushaanza kuchanganyikiwa hadi namba za aya unazichanganya. Chukua jibu kwenye biblia. Ninaenda sawa. Kuna kafiri alikuwa chizi kuliko wewe na ameelewa

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
 
Wagalatia 3:13
Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
Jambo hili lilifanyika kusudi ile baraka aliyopewa Abrahamu iwashukie watu wa mataifa mengine kwa njia ya Kristo, na ili kwa imani, tumpokee yule Roho ambaye Mungu alituahidia.
 
Synagogues ni nini?

Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at...


Ni vyema mjini maswali na sio kuanza kuangalia jinsi gani mtapotosha
Huyu kafiri kidogo hayuko sawa. Kuna aya ya biblia ameshindwa kufafanua zaidi ya mwezi sasa hata kwa uongo wao wa kanisani. Hapa amebaki kulazimisha tafsiri zake.
Mokiti
 
Hakuna lililobadilishwa ila wewe ma mchungaji wako ndio mmebadilisha
Mtawa Peter Damiani kwenye karne ya 11 alibadili kusali "Baba yetu uliye mbinguni" 150 kwa siku akaamuru zisaliwe "salamu Maria" 150 kwa siku. Na hapo ndo likawa chimbuko la kusali rozali kanisani kumuomba eti Maria atuombee wakati hiyo siyo kazi yake.

Mbona mengi tuu yamebadilishwa mkuu na hayakuwepo kwenye kanisa la kwanza la mitume.
 
Wakatoliki wenzangu, binafsi nimefanya sana midahalo na hawa wenzetu muda mrefu. Ni bora ufanye mjadala na Muislam kuliko hawa wenzetu! Maana mnaweza kujadiliana pale kwenye msingi wa tofauti.

Hawa utakesha bure! Wabishi wote hata humu mambo mengi wamesimuliwa wakaamini sababu kuna mistari ya biblia walipewa! HAKUNA aliyefanya utafiti binafsi na hata wakija kwenye mijadala hawaji kutafuta ukweli zaidi kubishania kile walichoaminishwa.

Ushauri wangu: Ukiona mtu anatija ya kujadiliana nae na anatafuta kweli jadiliana nae kwa heshima. Otherwise msijisumbue kuwaelewesha! Vibwagizo vya comments zao ni rahisi sana na hoja ni zile zile. Achaneni nao mtapoteza muda!

Hata sasa moja ya sababu hamuoni Kanisa Katoliki linanyanganyana waamini ni msingi wa uinjilishaji wake. Mwenye nia ya kutafuta kweli atahubiriwa kweli, lakini si kushawishi! Hivyo mjadala wenye tija ambao pia una sifa za uinjilishaji ni kwa wale wenye nia ya kutafuta kweli. Otherwise msipoteze muda kubishana na wabishi wa dini.

Kaka hujanijibu bado swali langu
Misingi ya ubatizo wa kunyunyiza kama inavyofanywa na kanisa katoliki Ilianza lini?
Kwa nini iwe tofauti na alivyofanya Bwana wetu Yesu Kristo
 
Wakatoliki wenzangu, binafsi nimefanya sana midahalo na hawa wenzetu muda mrefu. Ni bora ufanye mjadala na Muislam kuliko hawa wenzetu! Maana mnaweza kujadiliana pale kwenye msingi wa tofauti.

Hawa utakesha bure! Wabishi wote hata humu mambo mengi wamesimuliwa wakaamini sababu kuna mistari ya biblia walipewa! HAKUNA aliyefanya utafiti binafsi na hata wakija kwenye mijadala hawaji kutafuta ukweli zaidi kubishania kile walichoaminishwa.

Ushauri wangu: Ukiona mtu anatija ya kujadiliana nae na anatafuta kweli jadiliana nae kwa heshima. Otherwise msijisumbue kuwaelewesha! Vibwagizo vya comments zao ni rahisi sana na hoja ni zile zile. Achaneni nao mtapoteza muda!

Hata sasa moja ya sababu hamuoni Kanisa Katoliki linanyanganyana waamini ni msingi wa uinjilishaji wake. Mwenye nia ya kutafuta kweli atahubiriwa kweli, lakini si kushawishi! Hivyo mjadala wenye tija ambao pia una sifa za uinjilishaji ni kwa wale wenye nia ya kutafuta kweli. Otherwise msipoteze muda kubishana na wabishi wa dini.
Huna hoja wewe ndiyo maana unakimbia na kuacha maneno ya kutafuta huruma. Hakuna wa kukuonea huruma hapa kama hutaki kuipokea kweli. Na ndivyo hua mlivyo kama mwanzisha uzi alivyosema, sababu ni kwamba hamna hoja ndo maana mnakimbia.
 
Wakatoliki wenzangu, binafsi nimefanya sana midahalo na hawa wenzetu muda mrefu. Ni bora ufanye mjadala na Muislam kuliko hawa wenzetu! Maana mnaweza kujadiliana pale kwenye msingi wa tofauti.

Hawa utakesha bure! Wabishi wote hata humu mambo mengi wamesimuliwa wakaamini sababu kuna mistari ya biblia walipewa! HAKUNA aliyefanya utafiti binafsi na hata wakija kwenye mijadala hawaji kutafuta ukweli zaidi kubishania kile walichoaminishwa.

Ushauri wangu: Ukiona mtu anatija ya kujadiliana nae na anatafuta kweli jadiliana nae kwa heshima. Otherwise msijisumbue kuwaelewesha! Vibwagizo vya comments zao ni rahisi sana na hoja ni zile zile. Achaneni nao mtapoteza muda!

Hata sasa moja ya sababu hamuoni Kanisa Katoliki linanyanganyana waamini ni msingi wa uinjilishaji wake. Mwenye nia ya kutafuta kweli atahubiriwa kweli, lakini si kushawishi! Hivyo mjadala wenye tija ambao pia una sifa za uinjilishaji ni kwa wale wenye nia ya kutafuta kweli. Otherwise msipoteze muda kubishana na wabishi wa dini.
Nashukuru Kwa ushauri wako.
Binafsi nimeshajutoa kwenye huu mjadala usio na tija.
 
Kazi kweli kweli.

Kwa hiyo mchungaji kawafundisha kwamba pale alipoinuliwa nyoka wa Shaba waisrael walikuwa wanamwabudu yule nyoka badala ya Mungu?

Au walikuwa wanaabudu nyoka na Mungu Kwa wakati mmoja?.

Ile Sanamu ya Nyoka ndio ilikuwa Mungu wao kipindi hicho wakawa wanaabudu?.

Tuliza ubongo uone upotovu wenu ulipo.
Kwa hiyo jamaa hapa kwenye picha anaabudu msalaba au anamuabudu Mungu au anaabudu vyote kwa mpigo.
Nauliza kwa wema tuu mkuu, samahani saaana kama takua nimekukosea.
JamiiForums1584242306.jpg
 
Ushaanza kuchanganyikiwa hadi namba za aya unazichanganya. Chukua jibu kwenye biblia. Ninaenda sawa. Kuna kafiri alikuwa chizi kuliko wewe na ameelewa

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
Inamaana hujakariri kama kasuku Koran , mapan kisai ndo kaja kukujulisha , maana haijabadilika

Jibu swali kwa nini Allah alitengeneza masanamu?
 
Huyu kafiri kidogo hayuko sawa. Kuna aya ya biblia ameshindwa kufafanua zaidi ya mwezi sasa hata kwa uongo wao wa kanisani. Hapa amebaki kulazimisha tafsiri zake.
Mokiti
Ni vyema ujibu swali ndio turudi kwenye maswali Yako , Mimi nimekuuliza toka juzi

Kwa nini unabusu jiwe?
Kwa nini Allah alitengeneza masanamu?

Jibu alafu uliza swali, kama hujui sema sijui tuendelee
 
Back
Top Bottom