Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Imani sahihi ni kumuabudu Mungu katika roho na kweli huku ukijiepusha na ibada za sanamu.

Kuwa na masanamu yaliyojaa makanisani mwenu ni ibada ya kishetani.

Kumuamini Mariam ni ibada ya kishetani. Mariam anaitwa Malkia wa Mvinguni katika Ukatoliki. Hii title ya Malkia wa Ulimwengu imekatazwa kutumika katika Biblia.

Yeremia 7:18
[18]Watoto huokota kuni, na baba zao huwasha moto, na wanawake hukanda unga, ili kumfanyizia mikate malkia wa mbinguni, na kuwamiminia miungu mingine sadaka za kinywaji, wapate kunikasirisha mimi.

Vile vile ukisoma Yeremia 44 :17-19

17 Lakini bila shaka tutalitimiza kila neno lililotoka katika vinywa vyetu, kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, kama tulivyotenda sisi, na baba zetu, na wafalme wetu, na wakuu wetu, katika miji ya Yuda, na katika njia kuu za Yerusalemu; maana wakati huo tulikuwa na chakula tele, na kufanikiwa, wala hatukuona mabaya. 18Lakini tulipoacha kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, tumepungukiwa na vitu vyote; na kuangamizwa kwa upanga, na kwa njaa. 19 Nasi tulipomfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, je! Tulimwandalia mikate, ili kumwabudu, na kummiminia mimiminiko, waume zetu wasipokuwapo?

Hizo ndizo ibada za sanamu zinazokatazwa.
Unaturudisha huko huko
 
Mbona makasiriko kama mtumishi wa umma

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Thatha mie! nikasirike nini?? wkt nyie ndo mnalia lia kuwa wenzenu wa yesu mzungu wanawatuhumu??...mie nawaelimisha Bure!! kuwa yesu mzungu wa RC kamwe hatakuja kuwanyakua! mtasubiri sana!!

mie nawasaidia bure! bado mnaniona, eti nina makasiriko pwiiiii!
 
Umepotea ndugu
sanaaaa!! yaani watu km huyo ndo kabisaaa!! watastukia wenzao tunarudi kutoka mbinguni!! kula Bata tunakuja kukata maviwanja tu! tuna miliki tunawasukuma hukoooo!! mabonde kwinama!! wanasubiria kupigwa kiberiti!
 
Zero. Yani kuna majitu hadi saa hizi yanaaamini conspiracy theories, Constantine alikuwa nani labda kwenye kanisa? Bwege kweli. Get your facts straight.
Mkiguswa basi ndo hivo mnakuwaga na mihasira km yote! emkooo!! na bado tutawapa za uso tuu mpaka mtie akili kenge nyie!! alikuwa nani? si ukasome unataka nani akumezeshe vya bure??

hapa unapewa njia tuu!! ukafie mbele na kayesu kenu hako kazungu tuta kapiga mitama mnooo! wee subiri tu si utakuwepo ndo utaona hatufai!
 
Manufaa makubwa sana
Nimesoma shule ya seminary mwanzo mwisho nimesoma chuo pale SAUT nimetibiwa pale Bugando kubwa zaidi ninapata huduma bora kabisa za kiroho katika Kanisa langu!
Hiki ni kipimo halisi cha mtu mjinga na asiyejitambuwa, nieleze ni huduma gani katika hizo ulizoorodhesha ulipata bure?
 
Imani sahihi ni kumuabudu Mungu katika roho na kweli huku ukijiepusha na ibada za sanamu.

Kuwa na masanamu yaliyojaa makanisani mwenu ni ibada ya kishetani.

Kumuamini Mariam ni ibada ya kishetani. Mariam anaitwa Malkia wa Mvinguni katika Ukatoliki. Hii title ya Malkia wa Ulimwengu imekatazwa kutumika katika Biblia.

Yeremia 7:18
[18]Watoto huokota kuni, na baba zao huwasha moto, na wanawake hukanda unga, ili kumfanyizia mikate malkia wa mbinguni, na kuwamiminia miungu mingine sadaka za kinywaji, wapate kunikasirisha mimi.

Vile vile ukisoma Yeremia 44 :17-19

17 Lakini bila shaka tutalitimiza kila neno lililotoka katika vinywa vyetu, kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, kama tulivyotenda sisi, na baba zetu, na wafalme wetu, na wakuu wetu, katika miji ya Yuda, na katika njia kuu za Yerusalemu; maana wakati huo tulikuwa na chakula tele, na kufanikiwa, wala hatukuona mabaya. 18Lakini tulipoacha kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, tumepungukiwa na vitu vyote; na kuangamizwa kwa upanga, na kwa njaa. 19 Nasi tulipomfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, je! Tulimwandalia mikate, ili kumwabudu, na kummiminia mimiminiko, waume zetu wasipokuwapo?

Hizo ndizo ibada za sanamu zinazokatazwa.
Unakariri mafungu mzee...Sanamu zilitumika katika mambo mengi tu usikariri..
 
Habari za wakati huu wapendwa

Katika dini zote au madhehebu yote au makanisa yote hakuna kanisa au waumini ambao wanaongoza kupigwa vita na kusemwa vibaya kama wakatoliki.

Ukienda kwenye mikusanyiko ya waislamu wanaopondwa ni wakatoliki ukienda kwenye mikutano ya injili ya walokole wanaopondwa na kusimangwa ni wakatoliki lakini huwezi kusikia wakijibizana na mtu.

Tangu nizaliwe hadi sasa sijawahi kusikia wala kuona wakatoliki wameandaa mkutano wa injili kuponda au kusimanga dini kinzani au dhehebu kinzani.

Isipokuwa wao mafundisho yao kwa watoto wa kimunio ya kwanza na kipaimara yamejikita katika kuufahamu ukatoliki na kuuelewa vizuri ndio maana ukikuta mkatoliki ameiva kabisa kwenye mafundisho huwezi ukamkuta anatetereshwa kwa mambo ya kijinga.

Wakatoliki wengi wao wamepewa mioyo ya uvumilivu ndio maana wanasimangwa sana kuhusu ubaya madhaifu yao lakini bado wapo imara na wameendelea kushikilia imani yao.

Huwezi ukakuta wakatoliki wanashawishi watu wahamie dini yao kwa kuwaambia madhaifu ya dini kinzani huwezi kukuta wakatoliki wapo mtaani wanahubiri au kwenye mabasi kisha kuwaambia watu watoe sadaka huwezi kukuta hiyo.

Ushauri wangu kwa dini na madhehebu mengine ni bora katika mafundisho yenu mjikite katika kuwaambia watu mazuri ya dini na madhehebu yenu ili kama mtu akivutiwa na mafundisho yenu awafate bila kuchafua dini za wenzenu.

Maana unaweza ukachafua dini/dhehebu la mwenzio siku na lako likija kuchafuliwa usianze kupaniki na kuanza kuleta maandamano ya kufunga barabara kwa kusema dini /dhehebu lako limechafuliwa.

Najua yapo mengi sana yanaongelewa huko mtaani kila dhehebu likisema ubaya wa dhehebu kinzani na wote ni mashahidi.
Kama wote lengo letu kufinga mbinguni muache afike kwa njia anayotaka yeye usimpangie njia ya kupita afike mbinguni.

Nilichogundua asilimia kubwa wanaohubiri kwa kuwachafua wenzao anataka wapate waumini tu ili SADAKA ziongezeke hakuna kingine.
Hatuhubiri dini Bali tunamhubiri Yesu
 
Kanisa la Roma lina miaka 2000 toka limeanzishwa.

Hivi mtu mwenye umrinwa miaka 2000 atabishana nini na mtu aliyeanzisha karne ya 20?

Kanisa la Roma limewekeza kwenye elimu ndo maana wana shule na vyuo vikuu vya kutosha nchi nzima.

Afya
Kanisa la Roma lina hospital na dispensary nchi nzima.

Fedha
Kanisa la Roma lina Mkombozi bank. Kanisa la Roma ni taasisi imara na kongwe kabisa.

Waumini wake ni sehemu ya taasisi kwa hiyo hawana muda wa kuanza kujibizana na walokole ni kupoteza energy.
Endelea kuamini ukatoliki na mafundisho potofu. Sisi tunamwamini Yesu.
 
Roman Catholic church then akaja bwana Luther akaanzisha kkkt (Lutheran church) kwa sababu alkataaa kufuata mafunzo ya RC church then wachek Morovian church hawana difference sana na RC ayo ndo makanisa makubwa duniani Lutheran ilibase in America,RC in Italy then Morovian in Britain lakini source ya all church ni RC church iliopo pale Vatican City Rome ambyo Iko treated as inchi inside Italy

Sasa awa mwamposa,sjui T A G all wanachofanya ni kutfta pesa ndo maan weng wanafnya miijuza ya kununua nguvu hzo toka uko Nigeria and Ghana ambako ni kama center ya all mystic powers

Anyways tusiongee mengi Kila mtu na Imani ake wether ni mkirstu ama muislamu ama msabato deal nayo kivyako
 
Back
Top Bottom