Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Em nambie nikanisa gan lililoenea pande nyingi duniani zaid ya RC, nyie hua mpo mijin kupiga pesa zasadaka miujiza ndio inayowaponza hadi mnadanganywa namanabii wauongo kwamiujiza fake, eti kanisa laufufuo nauzima wakat tangu linajengwa had halijafufua hata panyabuku mmoja
nakubaliana na wewe kuhusu kuenea. kanisa la RC limeenea kila mahali . hata hivyo ni ajabu kwamba hadi leo halijabadilisha maisha ya watu kiroho, linaabudisha dini na watu hawamwoni Mungu kupitia hilo kanisa.
 
nakubaliana na wewe kuhusu kuenea. kanisa la RC limeenea kila mahali . hata hivyo ni ajabu kwamba hadi leo halijabadilisha maisha ya watu kiroho, linaabudisha dini na watu hawamwoni Mungu kupitia hilo kanisa.
Wanaabudu kimazoea
 
Kanisa la Roma lina miaka 2000 toka limeanzishwa.

Hivi mtu mwenye umrinwa miaka 2000 atabishana nini na mtu aliyeanzisha karne ya 20?

Kanisa la Roma limewekeza kwenye elimu ndo maana wana shule na vyuo vikuu vya kutosha nchi nzima.

Afya
Kanisa la Roma lina hospital na dispensary nchi nzima.

Fedha
Kanisa la Roma lina Mkombozi bank. Kanisa la Roma ni taasisi imara na kongwe kabisa.

Waumini wake ni sehemu ya taasisi kwa hiyo hawana muda wa kuanza kujibizana na walokole ni kupoteza energy.
Unataka Kusema kuwa CCM hatakiwi kujibishana na Kina Chadema?!!!
 
Catholic Church lina waamini 1.3 bilioni! Sasa wewe hiyo imani yako na Kanisa Katoliki nani anatangaza injili?

Tena kwa kukusaidia waamini wengi makanisa yenu ni ex Catholics yaani tayari walishahubiriwa injili! Leteni takwimu Muslims au natives mliowatoa kwenye dini zao za miungu na kuja huko! Mmebanana Sinza na Kinondoni kwenye mishe sio [emoji23].

Wewe unafikiri bila Kanisa Katoliki kusafisha njia uarabuni na nchi kama uchina mngetia timu nyie? Kwa negotiation power gani? Huko dini ndio sheria, unafikiri utaingia tu bwana Yesu asifiwe wakuache? Jesus alijua huu ulimwengu needs strong church with strong institutions to conquer this evil world.

Kanisa limepita kwenye ups and downs za kibinadamu lakini lipo tu! Mimi na wewe tutaondoka but the church of the Lord will be there till end of times.
Catholic Church as an Instituition iko Strong sana, but hapa tunaongelea LEGITIMACY ya CATHOLIC FAITH kama sehemu ya UKRISTO na BIBLIA ikiwa ndo KIELELEZO, kuwa na idadi kubwa YA WAUMINI siyo kigezo cha PERFECTION ya IMANI maana Mungu haangalii WINGI bali hutazama MIOYO ya hao watu walio wengi. ( Mathayo 7:13-14, 1 Samweli 16:7)

Kama ni namba ndo Usahihi wa Imani basi kuna Waislam karibia Bilioni 1.9, kwahiyo kwa maneno yako tuseme ISLAM ndo imani ya walio kwenye njia ya haki.
 
Nini kipimo cha usahihi? Wewe umewahi ku challenge unachoamini? Umewahi kutafiti vizuri ( Acha zile seminar zenu za makuzi kiroho) historia ya Kanisa? Historia ya Bible? Imani ya mababa wa awali wa Kanisa walau Karne ya kwanza na pili? Ibada zao? Tatifi huko ulipo, tafuta facts kupitia sites rasmi za Kanisa Katoliki, ukiweza Lutheran n.k walau makanisa yenye at least 500 years.

Tatizo umeona mchungaji wako anatoa pepo kwa jina la Yesu, ujumbe wake ni kutoka kwenye biblia tu! Ukaamini pia mafundisho yao juu ya imani zingine. Ukaamua facts zipo huko na imani zingine ukaamini za uongo.

Nimewahi kuhudhuria hizo seminar Ufufuo na Uzima, lengo kuona bases za facts zao lakini ilikuwa aibu! Hapo nilibaki kumuuliza Mungu, why such lies anaziacha zijenge ngome kwa watu wake.

Kwa ufupi wengi mnawaamini watumishi sababu ya ile nguvu mnayoamini anayo na kupitia kibali hicho mnaamini anasema kweli ya Mungu! Na vile anaweka na mistari ya biblia mnajua ndio ukweli wenyewe! Private interpretation, Very dangerous!
Kipimo cha Usahihi wa Imani ni Mwongozo wa Imani husika ambayo kwa Ukristo ni Biblia.
Uta-challenge Imani pale unapokutana na Majaribu.
Kweli kabisa hata hawa wenye majina makubwa hapa mjini si wote wako kwenye USAHIHI ( Mathayo 24: 4 - 28)

Hata nawe ulichoandika hapo ni PRIVATE INTERPRETATION according to kile ulichoaminishwa...
 
Maandiko ya Biblia yalishakuwepo ila Roman Catholic ndilo kanisa lililochukua maandishi hayo kuyachambua kwa umakini kuyaunganisha na kutengeneza kitu kinaitwa Biblia ambayo ndiyo unayoifahamu wewe sasa.Ni sawa na ukawa haufahamu kuwa kuna kitu kinaitwa gari.Ila akaja mtu akakuonyesha na akakufundisha kutumia gari hilo.
Kama usipojali mkuu unaweza kutumwagia hapa huo mchakato wa kuunda biblia ulifanyika vipi na ulifanywa na mapadri, maparoko au maaskofu gani wa Kikatoliki kwa majina kabisa. Naamini kama nikweli utawapata kwa maana Katoliki ni kanisa lililo makini saana ktk kuweka kumbukumbu.
Natanguliza shukurani.
 
Kanisa la Roma lina miaka 2000 toka limeanzishwa.

Hivi mtu mwenye umrinwa miaka 2000 atabishana nini na mtu aliyeanzisha karne ya 20?

Kanisa la Roma limewekeza kwenye elimu ndo maana wana shule na vyuo vikuu vya kutosha nchi nzima.

Afya
Kanisa la Roma lina hospital na dispensary nchi nzima.

Fedha
Kanisa la Roma lina Mkombozi bank. Kanisa la Roma ni taasisi imara na kongwe kabisa.

Waumini wake ni sehemu ya taasisi kwa hiyo hawana muda wa kuanza kujibizana na walokole ni kupoteza energy.
Hii miradi yote ya kanisa katoliki uliyoorodhesha inawanufaisha nini wakatoliki Tanzania?

Nipe mfano hai.
 
Kanisa la Roma lina miaka 2000 toka limeanzishwa.

Hivi mtu mwenye umrinwa miaka 2000 atabishana nini na mtu aliyeanzisha karne ya 20?

Kanisa la Roma limewekeza kwenye elimu ndo maana wana shule na vyuo vikuu vya kutosha nchi nzima.

Afya
Kanisa la Roma lina hospital na dispensary nchi nzima.

Fedha
Kanisa la Roma lina Mkombozi bank. Kanisa la Roma ni taasisi imara na kongwe kabisa.

Waumini wake ni sehemu ya taasisi kwa hiyo hawana muda wa kuanza kujibizana na walokole ni kupoteza energy.
Yote yanasadifu kuwa Roma haikujengwa kwa siku moja.
 
Habari za wakati huu wapendwa

Katika dini zote au madhehebu yote au makanisa yote hakuna kanisa au waumini ambao wanaongoza kupigwa vita na kusemwa vibaya kama wakatoliki.

Ukienda kwenye mikusanyiko ya waislamu wanaopondwa ni wakatoliki ukienda kwenye mikutano ya injili ya walokole wanaopondwa na kusimangwa ni wakatoliki lakini huwezi kusikia wakijibizana na mtu.

Tangu nizaliwe hadi sasa sijawahi kusikia wala kuona wakatoliki wameandaa mkutano wa injili kuponda au kusimanga dini kinzani au dhehebu kinzani.

Isipokuwa wao mafundisho yao kwa watoto wa kimunio ya kwanza na kipaimara yamejikita katika kuufahamu ukatoliki na kuuelewa vizuri ndio maana ukikuta mkatoliki ameiva kabisa kwenye mafundisho huwezi ukamkuta anatetereshwa kwa mambo ya kijinga.

Wakatoliki wengi wao wamepewa mioyo ya uvumilivu ndio maana wanasimangwa sana kuhusu ubaya madhaifu yao lakini bado wapo imara na wameendelea kushikilia imani yao.

Huwezi ukakuta wakatoliki wanashawishi watu wahamie dini yao kwa kuwaambia madhaifu ya dini kinzani huwezi kukuta wakatoliki wapo mtaani wanahubiri au kwenye mabasi kisha kuwaambia watu watoe sadaka huwezi kukuta hiyo.

Ushauri wangu kwa dini na madhehebu mengine ni bora katika mafundisho yenu mjikite katika kuwaambia watu mazuri ya dini na madhehebu yenu ili kama mtu akivutiwa na mafundisho yenu awafate bila kuchafua dini za wenzenu.

Maana unaweza ukachafua dini/dhehebu la mwenzio siku na lako likija kuchafuliwa usianze kupaniki na kuanza kuleta maandamano ya kufunga barabara kwa kusema dini /dhehebu lako limechafuliwa.

Najua yapo mengi sana yanaongelewa huko mtaani kila dhehebu likisema ubaya wa dhehebu kinzani na wote ni mashahidi.
Kama wote lengo letu kufinga mbinguni muache afike kwa njia anayotaka yeye usimpangie njia ya kupita afike mbinguni.

Nilichogundua asilimia kubwa wanaohubiri kwa kuwachafua wenzao anataka wapate waumini tu ili SADAKA ziongezeke hakuna kingine.
[emoji363]

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Maandiko ya Biblia yalishakuwepo ila Roman Catholic ndilo kanisa lililochukua maandishi hayo kuyachambua kwa umakini kuyaunganisha na kutengeneza kitu kinaitwa Biblia ambayo ndiyo unayoifahamu wewe sasa.
Kimsingi uko sahihi kabisaaa wala hakuna Ubishi...na hao RC wako sahihi kumuabudu mungu wao! wala hakuna mutu anawasema vibaya wala kuwaponda tatizo ni wao wana jistukia kwa matendo yao kuwa wanapondwa!!

Hasa hali inakuwa mbaya zaidi ni pale Uongozi wa Roma chini ya Mfalme Constatine alivo wavuruga na kuwafanyia ukatili mkubwa Mana bii na Mitume halisi wa Mungu palee Rome akiwemo mtume Paul!

Hali hii Ya kikatili dhidi ya Mitume inawasumbua sana wana RC akiwemo Mleta mada!! hawataki kutulia kila siku kulialia tuuu!! kuwa hawapendwi!! wanapondwa wao ndo kanisa Mama Dunia nzima nk!

Miungu ipo imetajwa na Manabii kwenye Biblia takatifu! hata Mungu anaijua ipo!! Mfano mungu wa wafilist ni Baal, huyu bana aliwasaidia kumkamata Adui yao mkubwa ''Samsoni'' na kumuadhibu vikali sana.

mnalijua hilo sisemi sana hapo! mungu Osilis! (Misri ya kale)! huyu aliwasaidia Wa misri kuwa tumikisha km wana watumwa wale wana wa Israel kwa miaka 400!! ebu fikiria alivo kuwa na power!!

haya kuna mungu Olympio wa wagiriki nk! na hao miungu wapo mpaka leo! sasa na kesho! watu wanaabudu kivyao vyao tangu zama shida iko wapi??? mnajistukia buuure tu!!

Mfano mungu wa waislamu anaitwa ALAH!! huyu bana hafanani na kitu chochote Duniani yeye ni wa pekee!! na Mtume MSW! Ni mtumishi wake mwaminifu! hakuna ubishi kwa hilo! anawasaidi wao km walivyo saidiwa Waftlist!

Tatizo lina kuja kuwa ni nyie wenyewe akiwemo mleta mada ndo mna kiherehere cha wafuata fuata wenye miungu yao!! hamtaki kutuliza vinyeo vyenu hivo!! km ka mungu kako kankusaidia shida iko wapi??

Humu Duniani watu tupo tofauti tofauti Tangu zama za kale kuna uzzao wa kina Cain! tunao wengi tu!! kuna Uzao wa Seth tunao humu! tena wengine mnazaliwa nao kwenye familia zenu kabisaa lkn hawana Nafsi!

Yaani unaona kabisa huyu ndugu yangu hajatimia huko up stairs kulingana na matendo yake tu yanakupa Hint! Maajabu yanakuja weye unasali na kamungu kako lkn ...

bado eti unawaza Mungu wa Sabato!! basi nenda kajiunge hukooooooo!! umalize kiu yako!!..kujiunga ni bure tu si uajribu tu uone utamu wa kuwa ndani ya Yesu wa ukweli???

Achana na yule yesu wa Vatican!! yule ni wa watawala wazungu wa vatican wao wako sahihi!! eti kakijana ka kizungu!! karembooo!! kana vindevu hivi;

hivi hujiulizi yule kijana kweli aliwezaje kubeba msalaba! mlaini vile?? hata zile Bakora za Askari wa Kirumi sijui aliwezaje kuzimudu!! wazungu wanvyopendana vile??

Tafadhali sana Msitusumbue humu JF! mnajza saver za JF bure tu! moderator sijui wamelala!! Eb Max nipe ajira hapo Jf niwe nawapiga pin watu km hawa!
 
Kimsingi uko sahihi kabisaaa wala hakuna Ubishi...na hao RC wako sahihi kumuabudu mungu wao! wala hakuna mutu anawasema vibaya wala kuwaponda tatizo ni wao wana jistukia kwa matendo yao kuwa wanapondwa!!

Hasa hali inakuwa mbaya zaidi ni pale Uongozi wa Roma chini ya Mfalme Constatine alivo wavuruga na kuwafanyia ukatili mkubwa Mana bii na Mitume halisi wa Mungu palee Rome akiwemo mtume Paul!

Hali hii Ya kikatili dhidi ya Mitume inawasumbua sana wana RC akiwemo Mleta mada!! hawataki kutulia kila siku kulialia tuuu!! kuwa hawapendwi!! wanapondwa wao ndo kanisa Mama Dunia nzima nk!

Miungu ipo imetajwa na Manabii kwenye Biblia takatifu! hata Mungu anaijua ipo!! Mfano mungu wa wafilist ni Baal, huyu bana aliwasaidia kumkamata Adui yao mkubwa ''Samsoni'' na kumuadhibu vikali sana.

mnalijua hilo sisemi sana hapo! mungu Osilis! (Misri ya kale)! huyu aliwasaidia Wa misri kuwa tumikisha km wana watumwa wale wana wa Israel kwa miaka 400!! ebu fikiria alivo kuwa na power!!

haya kuna mungu Olympio wa wagiriki nk! na hao miungu wapo mpaka leo! sasa na kesho! watu wanaabudu kivyao vyao tangu zama shida iko wapi??? mnajistukia buuure tu!!

Mfano mungu wa waislamu anaitwa ALAH!! huyu bana hafanani na kitu chochote Duniani yeye ni wa pekee!! na Mtume MSW! Ni mtumishi wake mwaminifu! hakuna ubishi kwa hilo! anawasaidi wao km walivyo saidiwa Waftlist!

Tatizo lina kuja kuwa ni nyie wenyewe akiwemo mleta mada ndo mna kiherehere cha wafuata fuata wenye miungu yao!! hamtaki kutuliza vinyeo vyenu hivo!! km ka mungu kako kankusaidia shida iko wapi??

Humu Duniani watu tupo tofauti tofauti Tangu zama za kale kuna uzzao wa kina Cain! tunao wengi tu!! kuna Uzao wa Seth tunao humu! tena wengine mnazaliwa nao kwenye familia zenu kabisaa lkn hawana Nafsi!

Yaani unaona kabisa huyu ndugu yangu hajatimia huko up stairs kulingana na matendo yake tu yanakupa Hint! Maajabu yanakuja weye unasali na kamungu kako lkn ...

bado eti unawaza Mungu wa Sabato!! basi nenda kajiunge hukooooooo!! umalize kiu yako!!..kujiunga ni bure tu si uajribu tu uone utamu wa kuwa ndani ya Yesu wa ukweli???

Achana na yule yesu wa Vatican!! yule ni wa watawala wazungu wa vatican wao wako sahihi!! eti kakijana ka kizungu!! karembooo!! kana vindevu hivi;

hivi hujiulizi yule kijana kweli aliwezaje kubeba msalaba! mlaini vile?? hata zile Bakora za Askari wa Kirumi sijui aliwezaje kuzimudu!! wazungu wanvyopendana vile??

Tafadhali sana Msitusumbue humu JF! mnajza saver za JF bure tu! moderator sijui wamelala!! Eb Max nipe ajira hapo Jf niwe nawapiga pin watu km hawa!
Mbona makasiriko kama mtumishi wa umma

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Zero. Yani kuna majitu hadi saa hizi yanaaamini conspiracy theories, Constantine alikuwa nani labda kwenye kanisa? Bwege kweli. Get your facts straight.
Kimsingi uko sahihi kabisaaa wala hakuna Ubishi...na hao RC wako sahihi kumuabudu mungu wao! wala hakuna mutu anawasema vibaya wala kuwaponda tatizo ni wao wana jistukia kwa matendo yao kuwa wanapondwa!!

Hasa hali inakuwa mbaya zaidi ni pale Uongozi wa Roma chini ya Mfalme Constatine alivo wavuruga na kuwafanyia ukatili mkubwa Mana bii na Mitume halisi wa Mungu palee Rome akiwemo mtume Paul!

Hali hii Ya kikatili dhidi ya Mitume inawasumbua sana wana RC akiwemo Mleta mada!! hawataki kutulia kila siku kulialia tuuu!! kuwa hawapendwi!! wanapondwa wao ndo kanisa Mama Dunia nzima nk!

Miungu ipo imetajwa na Manabii kwenye Biblia takatifu! hata Mungu anaijua ipo!! Mfano mungu wa wafilist ni Baal, huyu bana aliwasaidia kumkamata Adui yao mkubwa ''Samsoni'' na kumuadhibu vikali sana.

mnalijua hilo sisemi sana hapo! mungu Osilis! (Misri ya kale)! huyu aliwasaidia Wa misri kuwa tumikisha km wana watumwa wale wana wa Israel kwa miaka 400!! ebu fikiria alivo kuwa na power!!

haya kuna mungu Olympio wa wagiriki nk! na hao miungu wapo mpaka leo! sasa na kesho! watu wanaabudu kivyao vyao tangu zama shida iko wapi??? mnajistukia buuure tu!!

Mfano mungu wa waislamu anaitwa ALAH!! huyu bana hafanani na kitu chochote Duniani yeye ni wa pekee!! na Mtume MSW! Ni mtumishi wake mwaminifu! hakuna ubishi kwa hilo! anawasaidi wao km walivyo saidiwa Waftlist!

Tatizo lina kuja kuwa ni nyie wenyewe akiwemo mleta mada ndo mna kiherehere cha wafuata fuata wenye miungu yao!! hamtaki kutuliza vinyeo vyenu hivo!! km ka mungu kako kankusaidia shida iko wapi??

Humu Duniani watu tupo tofauti tofauti Tangu zama za kale kuna uzzao wa kina Cain! tunao wengi tu!! kuna Uzao wa Seth tunao humu! tena wengine mnazaliwa nao kwenye familia zenu kabisaa lkn hawana Nafsi!

Yaani unaona kabisa huyu ndugu yangu hajatimia huko up stairs kulingana na matendo yake tu yanakupa Hint! Maajabu yanakuja weye unasali na kamungu kako lkn ...

bado eti unawaza Mungu wa Sabato!! basi nenda kajiunge hukooooooo!! umalize kiu yako!!..kujiunga ni bure tu si uajribu tu uone utamu wa kuwa ndani ya Yesu wa ukweli???

Achana na yule yesu wa Vatican!! yule ni wa watawala wazungu wa vatican wao wako sahihi!! eti kakijana ka kizungu!! karembooo!! kana vindevu hivi;

hivi hujiulizi yule kijana kweli aliwezaje kubeba msalaba! mlaini vile?? hata zile Bakora za Askari wa Kirumi sijui aliwezaje kuzimudu!! wazungu wanvyopendana vile??

Tafadhali sana Msitusumbue humu JF! mnajza saver za JF bure tu! moderator sijui wamelala!! Eb Max nipe ajira hapo Jf niwe nawapiga pin watu km hawa!
 
Imani sahihi ni kumuabudu Mungu katika roho na kweli huku ukijiepusha na ibada za sanamu.

Kuwa na masanamu yaliyojaa makanisani mwenu ni ibada ya kishetani.

Kumuamini Mariam ni ibada ya kishetani. Mariam anaitwa Malkia wa Mvinguni katika Ukatoliki. Hii title ya Malkia wa Ulimwengu imekatazwa kutumika katika Biblia.

Yeremia 7:18
[18]Watoto huokota kuni, na baba zao huwasha moto, na wanawake hukanda unga, ili kumfanyizia mikate malkia wa mbinguni, na kuwamiminia miungu mingine sadaka za kinywaji, wapate kunikasirisha mimi.

Vile vile ukisoma Yeremia 44 :17-19

17 Lakini bila shaka tutalitimiza kila neno lililotoka katika vinywa vyetu, kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, kama tulivyotenda sisi, na baba zetu, na wafalme wetu, na wakuu wetu, katika miji ya Yuda, na katika njia kuu za Yerusalemu; maana wakati huo tulikuwa na chakula tele, na kufanikiwa, wala hatukuona mabaya. 18Lakini tulipoacha kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, tumepungukiwa na vitu vyote; na kuangamizwa kwa upanga, na kwa njaa. 19 Nasi tulipomfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, je! Tulimwandalia mikate, ili kumwabudu, na kummiminia mimiminiko, waume zetu wasipokuwapo?

Hizo ndizo ibada za sanamu zinazokatazwa.
Ee Bikira Maria Malkia wa amani, Utuombee [emoji120]
 
Halafu Roman Catholic ni kwaajili ya Italy tu. Mmakonde, Mmachinga, Mmsai, Mchagga au Mnyakyusa na Catholic wapi na wapi !.Umewahi kuona au kusikia Pope Mwafrika au Mungu wa wa Catholic ni Mungu kwaajili ya wazungu pekee yake.
Catholic = Universal

Bikira Maria Mama wa huruma Utuombee [emoji120]
 
Roma ni Italia. Waingereza, wajerumani, wagiriki, wahispaniola, na hata wahindi na wachina nao hawahusiki na Catholic.

Na wao wakatafute Mungu wao.
Catholic = Universal

Bikira Maria mama wa mkombozi utuombee [emoji120]
 
Hata shetani naye ni mkongwe na anamiradi lukuki ambayo hata Yesu aliambiwa akimsujudia atapewa..pia shetani ana taasisi na wengi wanadamu yawezekana hata wewe mtoa mada ni mwanachama mwaminifu..hivyo kaa kutulia huna hoja katika hili.

Kimsingi rc wameharibu ukristo kwa kuchanganya tamaduni za kipangani.

#MaendeleoHayanaChama
Ukristo = Ukatoliki
Ukatoliki = Ukristo

Bikira Maria mama mwombezi wetu Utuombee [emoji120]
 
Hii miradi yote ya kanisa katoliki uliyoorodhesha inawanufaisha nini wakatoliki Tanzania?

Nipe mfano hai.
Manufaa makubwa sana
Nimesoma shule ya seminary mwanzo mwisho nimesoma chuo pale SAUT nimetibiwa pale Bugando kubwa zaidi ninapata huduma bora kabisa za kiroho katika Kanisa langu!
 
Back
Top Bottom