Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Nasadiki kwa kanisa moja Takatifu Katoliki la Mitume[emoji120]
View attachment 2154437
More than 2000 years preaching the gospel and only Church living Jesus's prophecy ...."Now I say to you that you are Peter (which means ‘rock’), and upon this rock I will build my church, and all the powers of hell will not conquer it."
 
Halafu Roman Catholic ni kwaajili ya Italy tu. Mmakonde, Mmachinga, Mmsai, Mchagga au Mnyakyusa na Catholic wapi na wapi !.Umewahi kuona au kusikia Pope Mwafrika au Mungu wa wa Catholic ni Mungu kwaajili ya wazungu pekee yake.

Naona wazee wa mkanisa ya All Nations aka synagogue church of all nations SCOAN aka OCOAN Omega church of all nations nk nk mkitetea mtetea wakati mikusanyiko yenu ni ya wamakonde,wamachinga ,wamasai, wachagaa wpi n api.
 
Na ndo ilivyo mzee.
Hii nchi tu rais yoyote akitoka upande wa imani ya kikristu lazima awe mkatoliki
Anzia Nyerere,mkapa hadi JPM.
Kwenye deep state RC wamejichomeka vilivyo.

KALENDA UNAYOTUMIA INAITWA GREGORIAN CALENDAR ILIANZISHWA NA POPE GREGORY WA VATICAN.

Taasisi imara inachangiwa h na kudumu muda mrefu pia.

Huwezi fananisha kanisa katoliki na dini za walokole..

Muulize tu Leo tarehe ngapi
 
Mwee! So to you RC stands for regional commissioner? Nilikwambia historically and officially kuwa kadinali ni askofu wa Roma au papa ni askofu mkuu wa Roma utaelewa kweli?
Ndio naelewa kuwa papa ni askofu wa Roma pia ni raisi wa Vatican na ni supreme pottif
 
More than 2000 years preaching the gospel and only Church living Jesus's prophecy ...."Now I say to you that you are Peter (which means ‘rock’), and upon this rock I will build my church, and all the powers of hell will not conquer it."
Kanisa litazidi kusonga mbele sababu limejengwa kwenye misingi imara na waumini wake hawayumbishwi na maneno ya nje.

Upendo ndio amri kuu tuliyopewa, nasi twaiendeleza kwa kuwapenda wengine bila kuwakejeli/kuwaponda regardless dini/madhehebu yao sababu tunaamini Mungu ni mmoja.
 
Muulize tu Leo tarehe ngapi
Wapo wanaosali Jumamosi kupitia Gregory Calender ila wanaona mapapa kama mapepo hivi [emoji23][emoji23][emoji23], ipo siku, ipo siku watajua hata Bible ni Catholic book watazimia [emoji23][emoji23]
 
Haya maneno tumeshaambiwa sana na walokole,wasabato lakini kwanini haya mantiki yoyote kwa wakatoliki?
Ni kwa sababu ya msingi imara wa imani uliojengwa kwenye mioyo yetu.
Sibishii uimara wa imani ndugu yangu - nahoji kama imani ni sahihi ama ilipotoshwa kabla hujakutana nayo.
Naamini imani imara ni ile unayochagua ukubwani kwa uelewa wako, sio ile uliobatizwa utotoni wakati hujachagua mwenyewe. Ndani ya imani ulimobatizwa, kutafakari sio dhambi - hapo ndipo unaumini sahihi. Siamini mchungaji atakupeleka mbinguni, kila mtu na hukumu yake - hata mchungaji (binadamu)
 
Sibishii uimara wa imani ndugu yangu - nahoji kama imani ni sahihi ama ilipotoshwa kabla hujakutana nayo.
Naamini imani imara ni ile unayochagua ukubwani kwa uelewa wako, sio ile uliobatizwa utotoni wakati hujachagua mwenyewe. Ndani ya imani ulimobatizwa, kutafakari sio dhambi - hapo ndipo unaumini sahihi. Siamini mchungaji atakupeleka mbinguni, kila mtu na hukumu yake - hata mchungaji (binadamu)
Binadamu unahoji kuhusu usahihi wa mungu? Itajulikana mbele kwa mbele twenty two (twende tu)
 
Sibishii uimara wa imani ndugu yangu - nahoji kama imani ni sahihi ama ilipotoshwa kabla hujakutana nayo.
Naamini imani imara ni ile unayochagua ukubwani kwa uelewa wako, sio ile uliobatizwa utotoni wakati hujachagua mwenyewe. Ndani ya imani ulimobatizwa, kutafakari sio dhambi - hapo ndipo unaumini sahihi. Siamini mchungaji atakupeleka mbinguni, kila mtu na hukumu yake - hata mchungaji (binadamu)
Nini kipimo cha usahihi? Wewe umewahi ku challenge unachoamini? Umewahi kutafiti vizuri ( Acha zile seminar zenu za makuzi kiroho) historia ya Kanisa? Historia ya Bible? Imani ya mababa wa awali wa Kanisa walau Karne ya kwanza na pili? Ibada zao? Tatifi huko ulipo, tafuta facts kupitia sites rasmi za Kanisa Katoliki, ukiweza Lutheran n.k walau makanisa yenye at least 500 years.

Tatizo umeona mchungaji wako anatoa pepo kwa jina la Yesu, ujumbe wake ni kutoka kwenye biblia tu! Ukaamini pia mafundisho yao juu ya imani zingine. Ukaamua facts zipo huko na imani zingine ukaamini za uongo.

Nimewahi kuhudhuria hizo seminar Ufufuo na Uzima, lengo kuona bases za facts zao lakini ilikuwa aibu! Hapo nilibaki kumuuliza Mungu, why such lies anaziacha zijenge ngome kwa watu wake.

Kwa ufupi wengi mnawaamini watumishi sababu ya ile nguvu mnayoamini anayo na kupitia kibali hicho mnaamini anasema kweli ya Mungu! Na vile anaweka na mistari ya biblia mnajua ndio ukweli wenyewe! Private interpretation, Very dangerous!
 
Unaposema tuu ya kua Biblia ni kitabu kilichobuniwa na Wakatoliki najua na kuhakikisha bila shaka uelewa wako wa Biblia ni mdogo saana. Wewe mtu vipi asee yaani akina Yohana walifukuziwa kisiwani Patmo wakavuviwa maandiko halafu wewe uje useme eti maandiko ya biblia yalibuniwa na Wakatoliki hawa niwajuao wanywa chimpumu, Balimi na Safari lager. Jaribu kua siriazi basi mkuu
Hao kina Yohana waliofukuzwa kisiwani Patmo hiyo story ungeijulia wapi kama sio Wakatoliki kuchambua na kupangilia vizuri na kuandaa Biblia?
 
Nini kipimo cha usahihi? Wewe umewahi ku challenge unachoamini? Umewahi kutafiti vizuri ( Acha zile seminar zenu za makuzi kiroho) historia ya Kanisa? Historia ya Bible? Imani ya mababa wa awali wa Kanisa walau Karne ya kwanza na pili? Ibada zao? Tatifi huko ulipo, tafuta facts kupitia sites rasmi za Kanisa Katoliki, ukiweza Lutheran n.k walau makanisa yenye at least 500 years.

Tatizo umeona mchungaji wako anatoa pepo kwa jina la Yesu, ujumbe wake ni kutoka kwenye biblia tu! Ukaamini pia mafundisho yao juu ya imani zingine. Ukaamua facts zipo huko na imani zingine ukaamini za uongo.

Nimewahi kuhudhuria hizo seminar Ufufuo na Uzima, lengo kuona bases za facts zao lakini ilikuwa aibu! Hapo nilibaki kumuuliza Mungu, why such lies anaziacha zijenge ngome kwa watu wake.

Kwa ufupi wengi mnawaamini watumishi sababu ya ile nguvu mnayoamini anayo na kupitia kibali hicho mnaamini anasema kweli ya Mungu! Na vile anaweka na mistari ya biblia mnajua ndio ukweli wenyewe! Private interpretation, Very dangerous!
Ndo na challenge ivo ... na wala sifuati maseminar ni mimi na utafiti wangu. Kitabu kinachotuhusu ni Biblia, ndo iwe basis ya majadiliano kuhusiana na imani inayosema inafuata kitabu na dini hiyo

1647542517006.jpeg



Niambie - Katekisimo imebadili amri za bibliani kwa nini? Usitumie hisia, tafiti...

1647543052779.jpeg
 
Hao kina Yohana waliofukuzwa kisiwani Patmo hiyo story ungeijulia wapi kama sio Wakatoliki kuchambua na kupangilia vizuri na kuandaa Biblia?
Unachanganya habari za kabla kanisa katoliki kuzaliwa... Kwani alomfukuza Yohana alikuwa nani, si ni warumi kabla ya kuamrishwa kuwa wakatoliki... usisahau historia ya warumi kunyanyasa na kuua mitume na wakristo wa mwanzoni - hawakuwa wakristo. Ni wapagani walolazimishwa kubadili dini na mfalme Constantine kwa nia zake binafsi wala sio kwa kuokoka. Wapagani ghafla wakristo, kuna vitu waliingiza kanisani...
 
Hao kina Yohana waliofukuzwa kisiwani Patmo hiyo story ungeijulia wapi kama sio Wakatoliki kuchambua na kupangilia vizuri na kuandaa Biblia?
Kwa hiyo ndugu Paroko unataka kunambia maandiko ya Biblia takatifu yamebuniwa na Waromani Katholiki? Hicho ndicho nimekihoji kulingana na alivyo sema ndugu hapo
 
Kwa hiyo ndugu Paroko unataka kunambia maandiko ya Biblia takatifu yamebuniwa na Waromani Katholiki? Hicho ndicho nimekihoji kulingana na alivyo sema ndugu hapo
Paroko muabudu sanamu kubwa la bikira maria mama wa Mungu hahahaaaa hawa jamaa hovyo sana
 
Kwa hiyo ndugu Paroko unataka kunambia maandiko ya Biblia takatifu yamebuniwa na Waromani Katholiki? Hicho ndicho nimekihoji kulingana na alivyo sema ndugu hapo
Maandiko ya Biblia yalishakuwepo ila Roman Catholic ndilo kanisa lililochukua maandishi hayo kuyachambua kwa umakini kuyaunganisha na kutengeneza kitu kinaitwa Biblia ambayo ndiyo unayoifahamu wewe sasa.Ni sawa na ukawa haufahamu kuwa kuna kitu kinaitwa gari.Ila akaja mtu akakuonyesha na akakufundisha kutumia gari hilo.
 
Maandiko ya Biblia yalishakuwepo ila Roman Catholic ndilo kanisa lililochukua maandishi hayo kuyachambua kwa umakini kuyaunganisha na kutengeneza kitu kinaitwa Biblia ambayo ndiyo unayoifahamu wewe sasa.Ni sawa na ukawa haufahamu kuwa kuna kitu kinaitwa gari.Ila akaja mtu akakuonyesha na akakufundisha kutumia gari hilo.
Muongo mkubwa acha kupotosha umma
 
1647545970644.jpeg


hadi leo hii, google kanisa katoliki (uongozi) limeua wanadamu wangapi wapinzani ama kulazimisha uumini ulotungwa na mrumi ... utakuta ni zaidi ya milioni 50... ndio maana ya mstari wa 6
 
Sibishii uimara wa imani ndugu yangu - nahoji kama imani ni sahihi ama ilipotoshwa kabla hujakutana nayo.
Naamini imani imara ni ile unayochagua ukubwani kwa uelewa wako, sio ile uliobatizwa utotoni wakati hujachagua mwenyewe. Ndani ya imani ulimobatizwa, kutafakari sio dhambi - hapo ndipo unaumini sahihi. Siamini mchungaji atakupeleka mbinguni, kila mtu na hukumu yake - hata mchungaji (binadamu)

Kwanza na declare of interest. Kuwa moja ya jambo la maana Mungu alinifanyia ni kuzaliwa ndani ya familia ya kanisa la Roma.
Limenisaidia sana kukua na kuwa karibu na Mungu.

Kwa hiyo hoja ya kubatizwa mapema naiunga mkono na wanangu pia na kizazi changu pia kitafanya hivyo.

Ningekuwa sisaport imani hii ningekuwa nimeshaamchana nayo na kukimbia kqwnye madhehebu mengine.

Kwa hiyo naomba nihitimisje hivi kama imani ya RC siyo dhabiti kwako upo sahihi. Endelea kushikilia hapohapo unapoamini sasa.

Regardless ni dini ghani tupo ila mwisho wa siku homo sapiens anahitaji jambo fulani la kuamini. Hii ndo imemsaidia biandamu kuwa na mafanikio jaya tuliyoko nayo katika hii universe.
 
Kwanza na declare of interest. Kuwa moja ya jambo la maana Mungu alinifanyia ni kuzaliwa ndani ya familia ya kanisa la Roma.
Limenisaidia sana kukua na kuwa karibu na Mungu.

Kwa hiyo hoja ya kubatizwa mapema naiunga mkono na wanangu pia na kizazi changu pia kitafanya hivyo.

Ningekuwa sisaport imani hii ningekuwa nimeshaamchana nayo na kukimbia kqwnye madhehebu mengine.

Kwa hiyo naomba nihitimisje hivi kama imani ya RC siyo dhabiti kwako upo sahihi. Endelea kushikilia hapohapo unapoamini sasa.

Regardless ni dini ghani tupo ila mwisho wa siku homo sapiens anahitaji jambo fulani la kuamini. Hii ndo imemsaidia biandamu kuwa na mafanikio jaya tuliyoko nayo katika hii universe.
Kwa maono yako huyu homo sapien unaamini ni sokwe... mm sikutokea kwa masokwe ... niliumbwa OG

Kama umeridhia endelea kuwa kondoo
 
Back
Top Bottom