Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

Habari za wakati huu wapendwa

Katika dini zote au madhehebu yote au makanisa yote hakuna kanisa au waumini ambao wanaongoza kupigwa vita na kusemwa vibaya kama wakatoliki.

Ukienda kwenye mikusanyiko ya waislamu wanaopondwa ni wakatoliki ukienda kwenye mikutano ya injili ya walokole wanaopondwa na kusimangwa ni wakatoliki lakini huwezi kusikia wakijibizana na mtu.

Tangu nizaliwe hadi sasa sijawahi kusikia wala kuona wakatoliki wameandaa mkutano wa injili kuponda au kusimanga dini kinzani au dhehebu kinzani.

Isipokuwa wao mafundisho yao kwa watoto wa kimunio ya kwanza na kipaimara yamejikita katika kuufahamu ukatoliki na kuuelewa vizuri ndio maana ukikuta mkatoliki ameiva kabisa kwenye mafundisho huwezi ukamkuta anatetereshwa kwa mambo ya kijinga.

Wakatoliki wengi wao wamepewa mioyo ya uvumilivu ndio maana wanasimangwa sana kuhusu ubaya madhaifu yao lakini bado wapo imara na wameendelea kushikilia imani yao.

Huwezi ukakuta wakatoliki wanashawishi watu wahamie dini yao kwa kuwaambia madhaifu ya dini kinzani huwezi kukuta wakatoliki wapo mtaani wanahubiri au kwenye mabasi kisha kuwaambia watu watoe sadaka huwezi kukuta hiyo.

Ushauri wangu kwa dini na madhehebu mengine ni bora katika mafundisho yenu mjikite katika kuwaambia watu mazuri ya dini na madhehebu yenu ili kama mtu akivutiwa na mafundisho yenu awafate bila kuchafua dini za wenzenu.

Maana unaweza ukachafua dini/dhehebu la mwenzio siku na lako likija kuchafuliwa usianze kupaniki na kuanza kuleta maandamano ya kufunga barabara kwa kusema dini /dhehebu lako limechafuliwa.

Najua yapo mengi sana yanaongelewa huko mtaani kila dhehebu likisema ubaya wa dhehebu kinzani na wote ni mashahidi.
Kama wote lengo letu kufinga mbinguni muache afike kwa njia anayotaka yeye usimpangie njia ya kupita afike mbinguni.

Nilichogundua asilimia kubwa wanaohubiri kwa kuwachafua wenzao anataka wapate waumini tu ili SADAKA ziongezeke hakuna kingine.
Wejamaa yaan mwanaume mwenzio aanze kusoma maandishi yote ayo.... huna huruma wewe
 
Nilisha hama hilo dhehebu aisee hawana inshu mafundisho na sala zao ni kukaririshwa tu yaani upokee tu na ukubali linalosemwa mengine ni siri yangu.
Huna lolote unalolijua hapa unatumia fake ID sema una siri gani kuhusu Catholics ambayo inakufanya ufe nayo moyoni!
 
Synagogues ni nini?

Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at...


Ni vyema mjini maswali na sio kuanza kuangalia jinsi gani mtapotosha
Hujajibu maswali niliyo kuuliza. Kingine ukisoma aya hakuna tamko wala ishara ya "Synagogues" sasa tutakuuliza hizi habari umezipata wapi.

Kingine cha ziada hiyo inayoitwa "Tafsir Ibn Abbas" haijaandikwa na swahaba Ibn Abbas bali imekusanywa na msomi mmoja aitwae Abuu Tahi Muhammad bin Yaqoub al Fayrouz al Abbad, akaiita "Tanwir al Miqbas min Tafsir Ibn Abbas". Hii Tafsiri si katika Tafsiri za kutegemewe katika Uislamu sababu ina makosa mengi na mambo ya uzushi mengi na miongoni mwa sababu ya kukataliwa Tafsir hii ni chain yake mpaka kufikia kwa Swahaba Abdullah Ibn Abbas haiko sawa bali wengine wanaipinga kabisa.

Nimekuomba utuonyeshe hayo Masanamu katika Msikiti alio kuwa anasali nabii Suleyman, sababu tunaujua.

Kingine ututhibitishie ya kuwa hayo masanamu yalikuwa yanaabudiwa.

Sinagogi ni hekalu. Hoja yako ikowapi ?

Unapo shindwa hoja unakuja na kichaka cha kupotosha. Hakuna kupotosha.
 
Huyu kafiri kidogo hayuko sawa. Kuna aya ya biblia ameshindwa kufafanua zaidi ya mwezi sasa hata kwa uongo wao wa kanisani. Hapa amebaki kulazimisha tafsiri zake.
Mokiti
Hii ndiyo kawaida yake huwa anatafsiri anavyo taka yeye, mwisho wa siku anatokomea kisha anarudi na kitu kile kile. Huyu hana hoja yaani ni dhaifu sana.
 
Halafu Roman Catholic ni kwaajili ya Italy tu. Mmakonde, Mmachinga, Mmsai, Mchagga au Mnyakyusa na Catholic wapi na wapi !.Umewahi kuona au kusikia Pope Mwafrika au Mungu wa wa Catholic ni Mungu kwaajili ya wazungu pekee yake.
Kwanini??
 
Sisi waumini wa kanisa katoliki tunafundishwa tusipoteze muda kubishana.

Kwetu kanisa ninsehemu ya maisha.
Nikihitaji shule bora kwa mwanangu nitampeleka shule ya kanisa.

Naumwa nitakwenda Bugando hospital na nitapata huduma bora za matibabu.

Nikihitaji hudumaa za kibank kwa ajili ya akiba yangu nifungua account mkombozi bank.

Nahitaji ujirani mwema.kupitia jumuiya nitajumuika na waumini wenzangu kupata social service.


Hivi ndivyo ambavyo kanisa Catholic linavyo deal na waumini wake ndo maana hatuna muda wa kuanza kujibizana na muumini wa dhehebu lingine.

Kama uko sahihi ni sawa.
Kama unajua sana biblia ni sawa.
Kama wewe ni mtakatifu ni sawa.
Kama utaenda mbinguni ni sawa pia.
Hatuna muda wa kuanza kuonyeshana nani yupo sahihi na nani hayupo sahihi.

Na kutokubishana na waumini wa madhehebu mengine ndo sababu ya kwanini kanisa hili bado lina nguvu na linawaumini miaka yote.
Acha mawazo mgando!😅
 
Ni vyema ujibu swali ndio turudi kwenye maswali Yako , Mimi nimekuuliza toka juzi

Kwa nini unabusu jiwe?
Kwa nini Allah alitengeneza masanamu?

Jibu alafu uliza swali, kama hujui sema sijui tuendelee
Hakuna cha kuendelea hapa we mfuasi wa Brian Deacon. Hii aya hadi utolee ufafanuzi. Hakuna hata kafiri mmoja aliyejibu au kutoa ufafanuzi. Hiyo nadhani nimeshakujibu Allah ajatengeneza masanamu. Nimeshajibu kwa mara nyingine. Nipe ufafanuzi kuhusu hii verse usikwepe.

1 Wakorintho

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Hujajibu maswali niliyo kuuliza. Kingine ukisoma aya hakuna tamko wala ishara ya "Synagogues" sasa tutakuuliza hizi habari umezipata wapi.

Kingine cha ziada hiyo inayoitwa "Tafsir Ibn Abbas" haijaandikwa na swahaba Ibn Abbas bali imekusanywa na msomi mmoja aitwae Abuu Tahi Muhammad bin Yaqoub al Fayrouz al Abbad, akaiita "Tanwir al Miqbas min Tafsir Ibn Abbas". Hii Tafsiri si katika Tafsiri za kutegemewe katika Uislamu sababu ina makosa mengi na mambo ya uzushi mengi na miongoni mwa sababu ya kukataliwa Tafsir hii ni chain yake mpaka kufikia kwa Swahaba Abdullah Ibn Abbas haiko sawa bali wengine wanaipinga kabisa.

Nimekuomba utuonyeshe hayo Masanamu katika Msikiti alio kuwa anasali nabii Suleyman, sababu tunaujua.

Kingine ututhibitishie ya kuwa hayo masanamu yalikuwa yanaabudiwa.

Sinagogi ni hekalu. Hoja yako ikowapi ?

Unapo shindwa hoja unakuja na kichaka cha kupotosha. Hakuna kupotosha.
Wewe pia umempinga Ibn abas ambae ni Kati ya tafsir zonazoaminika kuliko tafsir yeyote duniani, hii kwa Sunni ndio number moja ndio uje zingine
Ila jibu swali kwa nini Allah alitengeneza masanamu na kuyaweka msikitini

.Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at...
 
Hii ndiyo kawaida yake huwa anatafsiri anavyo taka yeye, mwisho wa siku anatokomea kisha anarudi na kitu kile kile. Huyu hana hoja yaani ni dhaifu sana.
Kuna aya nimempa hadi leo na wenzake atafsiri anavyoweza lakini ameshindwa hadi leo. Ndiyo maana hapa anaruka sarakasi.


1 Wakorintho

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Hakuna cha kuendelea hapa we mfuasi wa Brian Deacon. Hii aya hadi utolee ufafanuzi. Hakuna hata kafiri mmoja aliyejibu au kutoa ufafanuzi. Hiyo nadhani nimeshakujibu Allah ajatengeneza masanamu. Nimeshajibu kwa mara nyingine. Nipe ufafanuzi kuhusu hii verse usikwepe.

1 Wakorintho

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
Alie tengeneza masanamu nani? Na nana Anaya control majini ? Na nani alituma kwa sulieman?

Jibu

Kwa nini unabusu jiwe?
Kwa nini Allah alitengeneza masanamu?
 
Ni vyema ujibu swali ndio turudi kwenye maswali Yako , Mimi nimekuuliza toka juzi

Kwa nini unabusu jiwe?
Kwa nini Allah alitengeneza masanamu?

Jibu alafu uliza swali, kama hujui sema sijui tuendelee
Hiyo nimekanusha kwa mara nyingine. Ulete aya kwa kubold nakupa challenge. Unioneshe wapi Allah katengeneza masanamu. Mi nakujibu hakuna.
Nifafanulie hii aya utakavyo wewe. Nimekupa uwanja mpana. Swali nimekuuliza umeshindwa kujibu
1 Wakorintho

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Hii ndiyo kawaida yake huwa anatafsiri anavyo taka yeye, mwisho wa siku anatokomea kisha anarudi na kitu kile kile. Huyu hana hoja yaani ni dhaifu sana.
Embu jibu kwa nini unabusu jiwe na kwa nini Allah alituma majini yamtengeneze masanamu Suleiman?
Acheni basi longo longo jibuni
 
" Unjilishaji NDIO, Ushawishi HAPANA" Pope Francis

[emoji120]
Yes, ushawishi ni kazi ya wafanyabiashara, ushawishi huleta mengi ikiwemo uongo! If we evangalise and use marketing strategies like we are selling products or service then its against the Gospel and work of God.
 
Alie tengeneza masanamu nani? Na nana Anaya control majini ? Na nani alituma kwa sulieman?

Jibu

Kwa nini unabusu jiwe?
Kwa nini Allah alitengeneza masanamu?
Nimeshakujibu alipewa uwezo wa kuyadhibiti anavyotaka yeye. Na sio majini, kuna watu hadi ndege alikuwa anawatumia.

Walikuwa wakimfanyia alipendalo)...
Quran 34:13

Ndiyo maana hapo imeandikwa walikuwa wanamfanyia vitu ambavyo apendavyo. Usipende kupotosha kijana. Na hiyo kubusu kitu kina tatizo gani kwako?
 
Kwa hiyo jamaa hapa kwenye picha anaabudu msalaba au anamuabudu Mungu au anaabudu vyote kwa mpigo.
Nauliza kwa wema tuu mkuu, samahani saaana kama takua nimekukosea.View attachment 2150217
Kwa yeyote mwenye mapenzi mema kama kweli unataka kujifunza jambo juu ya Ukatoliki tafuta hiki kitabu au nenda YouTube msikilize huyu Author Dr Scott Hahn. Kitakusaidia sana, ila kama hutaki kukutana na kweli achana nacho.

Huyu alikuwa bingwa wa kulipinga Kanisa Katoliki, a Protestant Pastor na hadi leo vitabu vyake vinatumika huko kwenye vyuo vya kichungaji kujenga hoja kinyume na Kanisa Katoliki. Kwasasa ni Mkatoliki, kasome safari yake na mke wake wakiwa wachungaji waliokuwa wakichunga Kanisa kubwa.

Hutaki kujifunza baki na kile ulichonacho juu ya Ukatoliki.
Screenshot_20220314-180227_Chrome.jpg
 
 
Back
Top Bottom