Waumini wa kikristo mnafuata muongozo gani? Nijibu maswali haya

Waumini wa kikristo mnafuata muongozo gani? Nijibu maswali haya

Kabla ya hoja zako. Tambua hata huo uislamu ulianzishwa na Wakatoliki. Madhehebu yote uyaonayo ni matawi ya ukatoliki. Ukatoliki ndio umeitunza Biblia na Ukristo.
Thus Quran imekopi zaburi, torat na injili toka kwenye Biblia.
 
Msalaba ni alama au ishara ya Kikristo inayowakilisha kifo na ufufuo wa Yesu Kristo. Hata hivyo, haijulikani iwapo wanafunzi wa Yesu walivaa au kuvaa msalaba baada ya kifo chake. Ni kweli kwamba baada ya Yesu kufa, aliwaachia mama yake na wanafunzi wake, lakini hakuna ushahidi wa kihistoria unaothibitisha iwapo walivaa au kuvaa misalaba. Msalaba kama ishara ya Kikristo ilianza kutumiwa na Wakristo wa baadaye kama ishara ya imani yao katika Yesu Kristo.

Leo nina majibu konki. Uliza lingine?😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅🙂
Upo vizuri kwenye dini ungekuwa haujaolewa ningekupa zawadi ya kukuoa
 
Unataka kufananisha Biblia na vitabu vya hadithi?...
Unataka kufananisha maisha ya Kristo na mbakaji wa watoto wadogo?...

Endelea kumfata asiyejua aendako na wala hajui hukumu yake siku ya kiama.
 
Biblia ni nini?
Neno wa Mungu anaongea na watu wake, kizazi na kizazi.

Nabii gani aliyepokea hiyo biblia au kuletewa hiyo biblia
Siyo kitabu, ni uhusiano wa Mungu na wanadamu aliowaumba... kizazi na kizazi, tangu kuumbwa kwa dunia.

Injili ni kitabu cha wakina nani? Na yesu alitumwa kwa Mataifa mangapi ili akafikishe ujumbe?
Injili ni habari njema iliyoletwa na Masihi na Kristu - Mungu Mwana, Mungu nafsi ya pili, Mungu-mtu.

Yesu alisujudu , wewe mkristo unayedai unamfuata yesu kristo unasujudu? na kama husujudu unafuata nini kwa yesu alichokifanya?
Kumfuata Kristu ni kuishi amri kuu ya upendo.

Yesu alioa? Kama akuoa wewe mbona unaoa?
Kuna miito ya aina tatu:
  • Wito wa kwanza sote tumeitwa kuwa watakatifu
  • Wito wa utume - daraja takatifu, ndoa, maisha pekee (single life)
  • Wito wa huduma - kazi

Kristu aliamua kuishi useja kama wito wake wa utume.

Yesu akuvaa msalaba je, we mkristo unavaa msalaba Shingoni kwa andiko gani? Au kwa kumfuata nani?
Msalaba ni ishara ya upendo. Kwamba njia pekee ya kutufikisha mbinguni ni kuiuishi upendo.

Kipimo kikubwa cha upendo ni kuwa tayari kutoa maisha yetu kwa ajili ya wengine kama alivyofanya pale msalabani.

Huo ni Ukristu.

Kama unamashaka kuhusu Mtume Mohammad sio mtume wa mwisho na Qur'an sio katiba ya Mungu ili ikatuongoze Waanadamu, mbona unakubali zaburi na torati? Unakifahamu kilichoandikwa kwa torati na zaburi?
Usijifunze Biblia kwa kutumia Quran, ama vice versa. Usijifunze Ukristu kwa kutumia Uislam.
 
Yesu ndo kafanya watu wavae msalaba. Alisulubishwa msalabani.
Wanavaa ili kukumbuka mateso ya Yesu.
Imeandikwa katika Kutoka 20: 4
Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini ya dunia, Usivisujudie wala kuvitumikia, kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao, nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao na kizishika amri zangu.
 
Neno wa Mungu anaongea na watu wake, kizazi na kizazi.


Siyo kitabu, ni uhusiano wa Mungu na wanadamu aliowaumba... kizazi na kizazi, tangu kuumbwa kwa dunia.


Injili ni habari njema iliyoletwa na Masihi na Kristu - Mungu Mwana, Mungu nafsi ya pili, Mungu-mtu.


Kumfuata Kristu ni kuishi amri kuu ya upendo.


Kuna miito ya aina tatu:
• Wito wa kwanza sote tumeitwa kuwa watakatifu
• Wito wa utume - daraja takatifu, ndoa, maisha pekee (single life)
• Wito wa huduma - kazi

Kristu aliamua kuishi useja kama wito wake wa utume.


Msalaba ni ishara ya upendo. Kwamba njia pekee ya kutufikisha mbinguni ni kuiuishi upendo.

Kipimo kikubwa cha upendo ni kuwa tayari kutoa maisha yetu kwa ajili yawengine kama alivyofanya pale msalabani.

Huo ni Ukristu.


Usijifunze Biblia kwa kutumia Quran, ama vice versa. Usijifunze Ukristu kwa kutumia Uislam.
Hakuna ulichojibu. Unajua maana ya kupata elimu usiogope kujifunza.
 
1. Biblia iliandikwa na waandishi mbalimbali katika muda wa karibu miaka 1500 hadi 1600 na kwa lugha mbalimbali za asili za waandishi hao. Kwa mfano, Agano la Kale liliandikwa kwa Kiebrania na Kidani, na Agano Jipya liliandikwa kwa Kigiriki. Tafsiri ya Biblia kwa lugha ya Kiswahili ilianza mwaka 1880 na imekuwa ikiendelea hadi leo, ikiwa na toleo nyingi za Kiswahili kama vile Union, Neno, Tafsiri ya Ulimwengu wa Leo na nyingine nyingi.

Biblia ni mkusanyo wa vitabu vitakatifu ambavyo vina historia na mafundisho ya dini ya Ukristo. Inajumuisha vitabu 66 vya Agano la Kale na Jipya, ambavyo vinasimulia hadithi za uumbaji, historia ya Israeli, maisha ya Yesu Kristo, mafundisho yake, na kazi za mitume wake.

Biblia haikuandikwa na nabii mmoja, badala yake ilikusanya maandishi kutoka kwa waandishi mbalimbali wa kipindi cha miaka 1500 hadi 1600. Waandishi hao walikuwa ni pamoja na manabii, wataalamu wa dini, wafalme, na watu wa kawaida. Kwa hivyo, hakuna nabii mmoja aliyepokea Biblia yote au kuletewa Biblia yote.

Injili ni kitabu kinachoelezea maisha na mafundisho ya Yesu Kristo, na kinajulikana pia kama "Evangelia" kwa lugha ya Kigiriki. Injili nne za Agano Jipya zinaitwa Mathayo, Marko, Luka, na Yohana. Yesu alitumwa kwa Wayahudi na hakutumwa kwa mataifa, lakini baada ya ufufuo wake, mitume wake walianza kusambaza ujumbe huo kwa mataifa yote duniani.
Achana nao, usibishane nao kwanza Yesu Kristo na Nabii Isa bin Maryam ni watu wawili tofauti.
 

Attachments

  • Screenshot_20230405-145844.png
    Screenshot_20230405-145844.png
    135.1 KB · Views: 3
Back
Top Bottom