Waumini wa Nabii GeorDavie wanamjua Mungu? Wana roho ya kikatili wanaweza kummaliza mtu, tuwaombee

Waumini wa Nabii GeorDavie wanamjua Mungu? Wana roho ya kikatili wanaweza kummaliza mtu, tuwaombee

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Nimeangalia clip ya wanaojitahidi waumini wa GeorDavie au wafanyabiashara soko la Samunge Arusha utagundua binadamu wanapenda kumsingizia Mungu.

Kwanza kwao, tishio la mauaji, as long haligusi watoto wao, siyo shida. Wanaona kama Lema anaigiza kisa kugusa milioni mia moja. Hakuna mcha Mungu anaweza kuweka msaada mbele na Mungu nyuma, watathimini nafsi zao.

Pili, uzuri wa GeorDavie kwao si kuwa mtumishi wa Mungu. Wao kwao ni magari anayotoa na maisha ya kifahari. Waumini wa aina hii sidhani kama wanapata muda wa kusoma Biblia.

Tatu, kwa aina ya mwonekano, siyo waumini wa GeorDavie. Wana sura ambazo zinatokea kwenye viti virefu hivyo uwezekano kanisa na nabii ametumika kama gia kuwasilisha maumivu ya watawala. Next time watafute watu sahihi kwenye maigizo kama haya.

Mwisho, viongozi wa dini jitahidini kuwalinda sana waumini wenu wasiwaingize kwenye migogoro ya kisiasa. Hawa wanasiasa wanaoonekana kuwa upinzani huko Tanzania kesho watakaa viti vya mbele, aidha wakiwa upinzani au wakiwa chama tawala. Taasisi za dini jitenge na wanasiasa.
 
Mnamfuatilia sana Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr. Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Msemaji wa Serikali ya Mbinguni hapa duniani.

Geor Davie ndio Nabii pekee anayetambuliwa na Mungu hapa duniani, hakuna mwingine. Wewe kama unaamini Nabii mwingine yeyote jua imekula kwako, mbinguni utaishia kupasikia redioni.
 
Mnamfuatilia sana Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr. Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Msemaji wa Serikali ya Mbinguni hapa duniani.

Geor Davie ndio Nabii pekee anayetambuliwa na Mungu hapa duniani, hakuna mwingine. Wewe kama unaamini Nabii mwingine yeyote jua imekula kwako, mbinguni utaishia kupasikia redioni.
Nabii au mtumishi wa Mungu Tanzania ambaye anaweza kuaminika ni Christpher Mwakasege tu
 
Mnamfuatilia sana Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr. Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Msemaji wa Serikali ya Mbinguni hapa duniani.

Geor Davie ndio Nabii pekee anayetambuliwa na Mungu hapa duniani, hakuna mwingine. Wewe kama unaamini Nabii mwingine yeyote jua imekula kwako, mbinguni utaishia kupasikia redioni.
Heeeee 😳🤔🙄
Jamani haya makubwa Tena, Dunia Ina mambo jmn khaaa
 
Mnamfuatilia sana Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr. Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Msemaji wa Serikali ya Mbinguni hapa duniani.

Geor Davie ndio Nabii pekee anayetambuliwa na Mungu hapa duniani, hakuna mwingine. Wewe kama unaamini Nabii mwingine yeyote jua imekula kwako, mbinguni utaishia kupasikia redioni.
Wajinga waliwao

Ova
 
Mnamfuatilia sana Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr. Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Msemaji wa Serikali ya Mbinguni hapa duniani.

Geor Davie ndio Nabii pekee anayetambuliwa na Mungu hapa duniani, hakuna mwingine. Wewe kama unaamini Nabii mwingine yeyote jua imekula kwako, mbinguni utaishia kupasikia redioni.
Ulichoandika hapa ni aina nyingine ya kilevi, na ni kibaya sana kwa matumizi ya binadamu, nakushauri ukiache haraka iwezekanavyo.
 
Nimeangalia clip ya wanaojitihita waumini wa Joe Devy au wafanyabiashara soko la Samunge Arusha utagundua binadamu wanapenda kumsingizia Mungu.

Kwanza kwao tishio la mauaji as long haligusi watoto wao siyo shida, wanaona kama Lema anaigiza kisa kagusia milioni Mia moja. Hakuna mcha Mungu anaweza kuweka msaada mbele na Mungu nyuma, watathimini nafsi zao.

Pili, uzuri wa Joe Devy kwao si kuwa mtumishi wa Mungu, wao kwao NI magari anayotoa na maisha ya kifahari. Waumini wa Aina hii sidhani kama wanapata muda wakusoma bible.

Tatu, Kwa Aina ya mwonekano siyo waumini wa Joe Devy, Wana Sura ambazo zinatokea kwenye viti virefu hivyo uwezekano kanisa na Nabii ametummika kama gia kuwasilisha maumivu ya watawala....next time watafute watu sahihi kwenye maigizo kama haya.

Mwisho, viongozi wa Dini jitahidini kuwalinda Sana waumini wenu wasiwaingize kwenye migogoro ya kisiasa. Hawa wanasiasa wanaoonekana to apinzani huko Tanzania kesho watakaa viti vya mbele aidha wakiwa wapinzani au wakiwa chama tawala. Taasisi za Dini jitengene na wanasiasa
"Mtawajua kwa matunda Yao" Mwisho wa kunukuu!
 
Mnamfuatilia sana Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Msemaji wa serikali ya mbinguni hapa Duniani.

Geor Davie ndio nabii pekee anaetambuliwa na Mungu hapa Duniani, hakuna mwingine. Wewe kama unaamini nabii mwingine yeyote jua imekula kwako, mbinguni utaishia kupasikia redioni.
Umeeleweka kwa wanaelewa!
 
Mnamfuatilia sana Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Msemaji wa serikali ya mbinguni hapa Duniani.

Geor Davie ndio nabii pekee anaetambuliwa na Mungu hapa Duniani, hakuna mwingine. Wewe kama unaamini nabii mwingine yeyote jua imekula kwako, mbinguni utaishia kupasikia redioni.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mnamfuatilia sana Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Msemaji wa serikali ya mbinguni hapa Duniani.

Geor Davie ndio nabii pekee anaetambuliwa na Mungu hapa Duniani, hakuna mwingine. Wewe kama unaamini nabii mwingine yeyote jua imekula kwako, mbinguni utaishia kupasikia redioni.
Sishangai Jina lako The Evil Genius!
 
Waebrania 1:1 Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi,

Waebrania 1:2 mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika Mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote, tena kwa yeye aliufanya ulimwengu.

Mungu sasa hivi anasema kupitia Bwana wetu Yesu Kristo. Kwa sasa kuna wachungaji tu. Ukiiona mtu anajitambulisha kama nabii wakati Yesu anajitambulisha kama mchungaji wa kondoo, uwe makini naye.

Mtu wa Mungu kutoka Yuda.
 
 
Eti ukichukua mkopo benki yakupasa ukatoe fungu la kumi (10). Geor Davie na wenzake ni matapeli.
 
Back
Top Bottom