Waumini wacharazwa fimbo za upako na Mchungaji kanisani ili kupokea Roho Mtakatifu!

Waumini wacharazwa fimbo za upako na Mchungaji kanisani ili kupokea Roho Mtakatifu!

Kupanga ni kuchagua. Wakati hao wanasali kwa jacho machozi, machungu, maumivu na damu, wenzao huku wana sali kilaiiinii kama vile wapo Santorini au visiwa vya Barbados
View attachment 2761518
wakiristo wanakila mbinu yakuibia watu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hawanikukumbatiana kwenda mbele wale nimwendo wabakora vurugu tupu
 
Hivi karibuni Kumeibuka Madhehebu mengi ya kikristo Nchini na hata nje ya nchi ndani ya Afrika yakijinasibu kwamba yanagawa upako kwa kutumua vifaa walivyokuwa navyo wengine wakitumua mawe (Jiwe jeupe la upako), wengine udongo, wengine busu, wengine mafuta na maji ya upako.

Hata hivyo hivi karibuni nchi za jirani (siko exactly ni sehemu gani ila nahisi ni Kongo kutokana na lugha niliyoisikia na sehemu kanisa lilipoandikwa kuwepo ) kumeibuka mchungaji ambaye huwacharaza waumini wake fimbo barabara, huku akiwaahidi kupokea upako baada ya macharazo hayo.

Sijui ni kuwa tumeacha misingi ya Dinu au watu wmekosa Akili? Au ndio vile husema kuwa Dini ni Imani isiyoweza kuhusisha akili?

wakiristo wengi wajinga sana aibuyao hii
 
MWINGINE HUYU YALIMKUTA HUKO KIGOMA KAKUTANA NA GABRIEL 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

 
Mchungaji yuko sahihi kabisa, mtu mzima mwenye akili zako huwezi kupelekeshwa km mjinga usiye na misimamo.
Tena awatandike fimbo za kutosha na zikiisha tumsaidie kumletea nyingine
 
Wapumbavu sana hao
Kuna wengine nimeona mchungaji kapanda juu ya mti eti anapaa anaenda mbinguni kidogo kutalii
Yaani wanamuimbia kwa shangwe apae ila clip haionyeshi mwisho wake 😄
Au mpaka picha na wengi ni wanawake ndio wajinga zaidi

Huku wengine kuna clip watu wanachapa maiti ikiwa kwenye sanduku
Screenshot_20230922_114610_WhatsApp~2.png
 
Mbona alishapatikana wewe unaishi wapi? Yupo Paul Mckenzie aliwafukia km wote
Swala la Paul macknzie me naona Kuna Utata mwingi sana Tena sio kidogo Cuz ni vigumu Sana kukuta Mchungaji kama huyo mwenye kanisa changa....
Lisilo kuu kama haya Roman,Lutheran na mengine Kuwa na Waumini zaidi ya 500.....Naona hilo ni Swala la national security Huenda alikuwa na Watumishi hawzidi 100 na huenda waliokufa walikuwa chini ya 30 ila kuna Swala halijakaa sawa kwa Uchunguzi wa haraka haraka
 
Hivi karibuni Kumeibuka Madhehebu mengi ya kikristo Nchini na hata nje ya nchi ndani ya Afrika yakijinasibu kwamba yanagawa upako kwa kutumua vifaa walivyokuwa navyo wengine wakitumua mawe (Jiwe jeupe la upako), wengine udongo, wengine busu, wengine mafuta na maji ya upako.

Hata hivyo hivi karibuni nchi za jirani (siko exactly ni sehemu gani ila nahisi ni Kongo kutokana na lugha niliyoisikia na sehemu kanisa lilipoandikwa kuwepo ) kumeibuka mchungaji ambaye huwacharaza waumini wake fimbo barabara, huku akiwaahidi kupokea upako baada ya macharazo hayo.

Sijui ni kuwa tumeacha misingi ya Dinu au watu wmekosa Akili? Au ndio vile husema kuwa Dini ni Imani isiyoweza kuhusisha akili?

Daaa hii hatari
 
Back
Top Bottom