Waumini Wamzawadia gari mpya Askofu Mkuu Mstaafu wa KKKT Dkt. Shoo

Waumini Wamzawadia gari mpya Askofu Mkuu Mstaafu wa KKKT Dkt. Shoo

Yesu alitembea ya mguu,na ilipobidi sana alipanda punda.Farasi ilikuwa ni anasa zama hizo,ila skuizi watumishi wanakula tu Bata......smooth.
Hata kupanda punda pia ilikua anasa masikini hawakuweza kuafford, tofauti ya kipindi kile na cha sasa huyo Yesu angekuwa zama hizi basi angetumia Rangerover ya mwaka juzi isiyozidi mil200 na sio V8 new model ya zaid ya mil500, hakuna tofauti zote hizo ni anasa.

Alafu mjifunze kutafsiri mambo, Yesu hakuwa masikini, tukemee utapeli wa kidini lkn tusiubariki umasikin kwa kuhalalisha baadhi ya madhaifu ya hao manabii wa biblia kisa wao walikuwa mafukara basi nasie tuwe mafukara.
 
Yesu alitembea ya mguu,na ilipobidi sana alipanda punda.Farasi ilikuwa ni anasa zama hizo,ila skuizi watumishi wanakula tu Bata......smooth.
Yesu hakuwa maskini.
Vx..ndio mwana punda..km.0 hajapandwa.
Aidha alilipa kodi pia aliwalisha watu mikate na samaki mpaka wakasaza.
Vp we ushawahi walisha watu japo maandazi na dagaa....mpaka wabakishee?😜🤪😜
 
Askofu mkuu mstaafu wa KKKT Dr Shoo amekabidhiwa gari mpya Toyota Landcruiser ya Mwaka 2023 mpya kabisa 0 km iliyonunuliwa kiwandani

Ahadi ya kumnunulia Zawadi ya gari ilitolewa kwenye misa ya shukrani ya Mchungaji Dr Kimaro ambapo Wabunge, Mawaziri, Viongozi wa Dini, Viongozi wa Siasa na Waumini walihudhuria miezi michache iliyopita

Waliohudhuria ibada ya Dr Kimaro ni Pamoja na Waziri wa Fedha Dr Mwigulu Nchemba PhD, mh Halima Mdee, mh Esther Bulaya, mh Sanga, God bless Lema nk..nk

Na katika makabidhiano ya Zawadi ya gari nyumbani kwa askofu Dr Shoo walikuwepo mh Kidiva, mh Sanga, mh Mbowe nk.

Mlale Unono

---
Askofu Mkuu wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT anayemaliza muda wake Dr. Fredrick Shoo leo amekabidhiwa zawadi ya gari jipya aina ya Toyota Land Cruiser GR Sport ikiwa ni ahadi iliyoanza kufanyiwa kazi baada ya mmoja wa Waumini wa KKKT Noah Kadiva kutoa wazo hilo Kanisani Kondeni Matala Kilimanjaro katika ibada ya shukrani ya Mchungaji Dkt. Eliona Kimaro April 23 2023.

Baada ya wazo hilo ambalo lilipokelewa kwa mwitikio mkubwa iliundwa Kamati ya zaidi ya Watu 60 wakiwemo Wabunge, Wanasiasa, Wafanyabiashara na Waumini wa madhehebu mbalimbali wakiwemo wa KKKT na hatimaye leo Dkt. Shoo amekabidhiwa zawadi hiyo nyumbani kwake Mailisita, Moshi Mkoani Kilimanjaro.

Noah Kadiva amesema gari hilo Land Cruiser GR SPORT la mwaka 2023 (zero Kilometer) limenunuliwa
Utofauti wa wale wa TEC na wengine huanzia hapa!

Hiyo pesa ni kubwa sana, kama wangejitolea hata kujenga shule au hospital na kuipa jina lake kwa heshima ya mchango wake katika kanisa, nadhani ingekuwa bora zaidi.

Hapo running cost ya hilo gari ( wese+ service) ni gharama, ambazo pengine waumini watalazimika kuwa sehemu ya wahudumiaji.
 
Tukiwaambia dini ni utapeli mnatuona mashetani ,bado hamjasema[emoji1787][emoji1787]
 
Pumbavu.... Unafiki, , upuuzi...

Dini ni kivuli cha unafiki na uzandiki, nadhani huyo mzee wangempongeza tu kwa shukran pekee badala yake fedha za kununulia hilo gari la bei kubwa wangekusanya hizo pesa kusaidia wagonjwa na wahitaji mbalimbali nchini.

Ndio yale yale waumini wanakufa njaa kwa kuyatolea hayo matepeli(wachungaji) na kuaminishwa wataombewa na kubarikiwa na Mungu wakat huo huo hayo matapeli(wachungaji) yakipata shida yanataka kuchangiwa na fedha ked kede.


Ifike mahala watanzania waelewe hilo jambo japo linauma, ukiona humo hata walioshiriki hiyo ibada ni wapigaji+wanafiki watupu.

Note: kuna vichaa watasema nisiwapangie matumizi, hakuna cha kupangiwa wangetaka kumpa zawadi huyo tapeli basi wangetoa nje ya kanisa na kivuli cha dini.
Tafuta hela sio ukituona na hela nyingi unabwabwaja tuwape maskini.. basi nawewe hiyo hela uliyonunulia bando ungewapa maskini
 
Askofu mkuu mstaafu wa KKKT Dr Shoo amekabidhiwa gari mpya Toyota Landcruiser ya Mwaka 2023 mpya kabisa 0 km iliyonunuliwa kiwandani

Ahadi ya kumnunulia Zawadi ya gari ilitolewa kwenye misa ya shukrani ya Mchungaji Dr Kimaro ambapo Wabunge, Mawaziri, Viongozi wa Dini, Viongozi wa Siasa na Waumini walihudhuria miezi michache iliyopita

Waliohudhuria ibada ya Dr Kimaro ni Pamoja na Waziri wa Fedha Dr Mwigulu Nchemba PhD, mh Halima Mdee, mh Esther Bulaya, mh Sanga, God bless Lema nk..nk

Na katika makabidhiano ya Zawadi ya gari nyumbani kwa askofu Dr Shoo walikuwepo mh Kidiva, mh Sanga, mh Mbowe nk.

Mlale Unono

---
Askofu Mkuu wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT anayemaliza muda wake Dr. Fredrick Shoo leo amekabidhiwa zawadi ya gari jipya aina ya Toyota Land Cruiser GR Sport ikiwa ni ahadi iliyoanza kufanyiwa kazi baada ya mmoja wa Waumini wa KKKT Noah Kadiva kutoa wazo hilo Kanisani Kondeni Matala Kilimanjaro katika ibada ya shukrani ya Mchungaji Dkt. Eliona Kimaro April 23 2023.

Baada ya wazo hilo ambalo lilipokelewa kwa mwitikio mkubwa iliundwa Kamati ya zaidi ya Watu 60 wakiwemo Wabunge, Wanasiasa, Wafanyabiashara na Waumini wa madhehebu mbalimbali wakiwemo wa KKKT na hatimaye leo Dkt. Shoo amekabidhiwa zawadi hiyo nyumbani kwake Mailisita, Moshi Mkoani Kilimanjaro.

Noah Kadiva amesema gari hilo Land Cruiser GR SPORT la mwaka 2023 (zero Kilometer) limenunuliwa

Rangi yake inapendeza
 
Askofu mkuu mstaafu wa KKKT Dr Shoo amekabidhiwa gari mpya Toyota Landcruiser ya Mwaka 2023 mpya kabisa 0 km iliyonunuliwa kiwandani

Ahadi ya kumnunulia Zawadi ya gari ilitolewa kwenye misa ya shukrani ya Mchungaji Dr Kimaro ambapo Wabunge, Mawaziri, Viongozi wa Dini, Viongozi wa Siasa na Waumini walihudhuria miezi michache iliyopita

Waliohudhuria ibada ya Dr Kimaro ni Pamoja na Waziri wa Fedha Dr Mwigulu Nchemba PhD, mh Halima Mdee, mh Esther Bulaya, mh Sanga, God bless Lema nk..nk

Na katika makabidhiano ya Zawadi ya gari nyumbani kwa askofu Dr Shoo walikuwepo mh Kidiva, mh Sanga, mh Mbowe nk.

Mlale Unono

---
Askofu Mkuu wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT anayemaliza muda wake Dr. Fredrick Shoo leo amekabidhiwa zawadi ya gari jipya aina ya Toyota Land Cruiser GR Sport ikiwa ni ahadi iliyoanza kufanyiwa kazi baada ya mmoja wa Waumini wa KKKT Noah Kadiva kutoa wazo hilo Kanisani Kondeni Matala Kilimanjaro katika ibada ya shukrani ya Mchungaji Dkt. Eliona Kimaro April 23 2023.

Baada ya wazo hilo ambalo lilipokelewa kwa mwitikio mkubwa iliundwa Kamati ya zaidi ya Watu 60 wakiwemo Wabunge, Wanasiasa, Wafanyabiashara na Waumini wa madhehebu mbalimbali wakiwemo wa KKKT na hatimaye leo Dkt. Shoo amekabidhiwa zawadi hiyo nyumbani kwake Mailisita, Moshi Mkoani Kilimanjaro.

Noah Kadiva amesema gari hilo Land Cruiser GR SPORT la mwaka 2023 (zero Kilometer) limenunuliwa
Hii nchi bado tuna fikra za kimasikini sana aisee. Sasa mtu watu wamemchangia gar mbona kitu kidogo sana. Hiv mnajua hapo Kenya mwanasiasa mchovu kabisa hakosi bl 15 za ktz!!?. Hiv vitu tunashangaa coz tumezungukwa na umasikin sana so tunaona ajabu lakin hili ni jambo dogo sana hasa kwa waumin wa kilutheri kwa utoaji.
 
Pumbavu.... Unafiki, , upuuzi...

Dini ni kivuli cha unafiki na uzandiki, nadhani huyo mzee wangempongeza tu kwa shukran pekee badala yake fedha za kununulia hilo gari la bei kubwa wangekusanya hizo pesa kusaidia wagonjwa na wahitaji mbalimbali nchini.

Ndio yale yale waumini wanakufa njaa kwa kuyatolea hayo matepeli(wachungaji) na kuaminishwa wataombewa na kubarikiwa na Mungu wakat huo huo hayo matapeli(wachungaji) yakipata shida yanataka kuchangiwa na fedha ked kede.


Ifike mahala watanzania waelewe hilo jambo japo linauma, ukiona humo hata walioshiriki hiyo ibada ni wapigaji+wanafiki watupu.

Note: kuna vichaa watasema nisiwapangie matumizi, hakuna cha kupangiwa wangetaka kumpa zawadi huyo tapeli basi wangetoa nje ya kanisa na kivuli cha dini.
We unafikiri masikin na wahtaj wanaisha. Au umesahau jibu la Yesu.
 
Diuuu ina maana ukute gari limetoka DPW sababu kanisa limewakubali....tunadanganywa ni waumini...kwa lipi hasa Askofu Shoo alichofanya kwenye kanisa au nchi kupewa gari hilo bei kubwa sana....? Muda utaongea .....tusubiri tusiache kuomba wale waombaji kazi ni hiyoo
 
Askofu mkuu mstaafu wa KKKT Dr Shoo amekabidhiwa gari mpya Toyota Landcruiser ya Mwaka 2023 mpya kabisa 0 km iliyonunuliwa kiwandani

Ahadi ya kumnunulia Zawadi ya gari ilitolewa kwenye misa ya shukrani ya Mchungaji Dr Kimaro ambapo Wabunge, Mawaziri, Viongozi wa Dini, Viongozi wa Siasa na Waumini walihudhuria miezi michache iliyopita

Waliohudhuria ibada ya Dr Kimaro ni Pamoja na Waziri wa Fedha Dr Mwigulu Nchemba PhD, mh Halima Mdee, mh Esther Bulaya, mh Sanga, God bless Lema nk..nk

Na katika makabidhiano ya Zawadi ya gari nyumbani kwa askofu Dr Shoo walikuwepo mh Kidiva, mh Sanga, mh Mbowe nk.

Mlale Unono

---
Askofu Mkuu wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT anayemaliza muda wake Dr. Fredrick Shoo leo amekabidhiwa zawadi ya gari jipya aina ya Toyota Land Cruiser GR Sport ikiwa ni ahadi iliyoanza kufanyiwa kazi baada ya mmoja wa Waumini wa KKKT Noah Kadiva kutoa wazo hilo Kanisani Kondeni Matala Kilimanjaro katika ibada ya shukrani ya Mchungaji Dkt. Eliona Kimaro April 23 2023.

Baada ya wazo hilo ambalo lilipokelewa kwa mwitikio mkubwa iliundwa Kamati ya zaidi ya Watu 60 wakiwemo Wabunge, Wanasiasa, Wafanyabiashara na Waumini wa madhehebu mbalimbali wakiwemo wa KKKT na hatimaye leo Dkt. Shoo amekabidhiwa zawadi hiyo nyumbani kwake Mailisita, Moshi Mkoani Kilimanjaro.

Noah Kadiva amesema gari hilo Land Cruiser GR SPORT la mwaka 2023 (zero Kilometer) limenunuliwa
Is this news? So what to a starving man in the far village?
 
Pumbavu.... Unafiki, , upuuzi...

Dini ni kivuli cha unafiki na uzandiki, nadhani huyo mzee wangempongeza tu kwa shukran pekee badala yake fedha za kununulia hilo gari la bei kubwa wangekusanya hizo pesa kusaidia wagonjwa na wahitaji mbalimbali nchini.

Ndio yale yale waumini wanakufa njaa kwa kuyatolea hayo matepeli(wachungaji) na kuaminishwa wataombewa na kubarikiwa na Mungu wakat huo huo hayo matapeli(wachungaji) yakipata shida yanataka kuchangiwa na fedha ked kede.


Ifike mahala watanzania waelewe hilo jambo japo linauma, ukiona humo hata walioshiriki hiyo ibada ni wapigaji+wanafiki watupu.

Note: kuna vichaa watasema nisiwapangie matumizi, hakuna cha kupangiwa wangetaka kumpa zawadi huyo tapeli basi wangetoa nje ya kanisa na kivuli cha dini.
Wewe ni nani hadi uwapangie cha kufanya?

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
 
Diuuu ina maana ukute gari limetoka DPW sababu kanisa limewakubali....tunadanganywa ni waumini...kwa lipi hasa Askofu Shoo alichofanya kwenye kanisa au nchi kupewa gari hilo bei kubwa sana....? Muda utaongea .....tusubiri tusiache kuomba wale waombaji kazi ni hiyoo
Sasa hivi hata ukichukuliwa Mume utasingizia DP World.
Fikra za kimaskini zimekutawala sana , Shilingi 400 Million ni nyingi sana kwako na kwangu…wapo watu hizo fedha wananunulia Magari Mahawara hapa hapa Nchini

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
 
Sasa hivi hata ukichukuliwa Mume utasingizia DP World.
Fikra za kimaskini zimekutawala sana , Shilingi 400 Million ni nyingi sana kwako na kwangu…wapo watu hizo fedha wananunulia Magari Mahawara hapa hapa Nchini

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
......nauliza kwa mahaba kwa lipi ? Amelifanyia kanisa ah nchi? Mengine yote siasa humo ndani
 
Back
Top Bottom