mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Nyie endeleeni kutoa fwezaKwa nini hawajaomba kwa Mungu ili ampatie gari hii? Maana sisi wanatuombea tupate magari,eti tupande mbengu ya kupata gari,nyumba n.k
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie endeleeni kutoa fwezaKwa nini hawajaomba kwa Mungu ili ampatie gari hii? Maana sisi wanatuombea tupate magari,eti tupande mbengu ya kupata gari,nyumba n.k
Msafari wa Bi Tozo magari ya aina hii yanakuwepo zaidi ya 20 hamjalalamika kodi zenu zinachezewa.Utofauti wa wale wa TEC na wengine huanzia hapa!
Hiyo pesa ni kubwa sana, kama wangejitolea hata kujenga shule au hospital na kuipa jina lake kwa heshima ya mchango wake katika kanisa, nadhani ingekuwa bora zaidi.
Hapo running cost ya hilo gari ( wese+ service) ni gharama, ambazo pengine waumini watalazimika kuwa sehemu ya wahudumiaji.
Unawapangia watu matumizi ya hela zao na inakuuma kabisa? Huo ni upambavu wa hali ya juuPumbavu.... Unafiki, , upuuzi...
Dini ni kivuli cha unafiki na uzandiki, nadhani huyo mzee wangempongeza tu kwa shukran pekee badala yake fedha za kununulia hilo gari la bei kubwa wangekusanya hizo pesa kusaidia wagonjwa na wahitaji mbalimbali nchini.
Ndio yale yale waumini wanakufa njaa kwa kuyatolea hayo matepeli(wachungaji) na kuaminishwa wataombewa na kubarikiwa na Mungu wakat huo huo hayo matapeli(wachungaji) yakipata shida yanataka kuchangiwa na fedha ked kede.
Ifike mahala watanzania waelewe hilo jambo japo linauma, ukiona humo hata walioshiriki hiyo ibada ni wapigaji+wanafiki watupu.
Note: kuna vichaa watasema nisiwapangie matumizi, hakuna cha kupangiwa wangetaka kumpa zawadi huyo tapeli basi wangetoa nje ya kanisa na kivuli cha dini.
Acha makasiriko ndugu yangu, maisha sio magumu kihivyo.Pumbavu.... Unafiki, , upuuzi...
Dini ni kivuli cha unafiki na uzandiki, nadhani huyo mzee wangempongeza tu kwa shukran pekee badala yake fedha za kununulia hilo gari la bei kubwa wangekusanya hizo pesa kusaidia wagonjwa na wahitaji mbalimbali nchini.
Ndio yale yale waumini wanakufa njaa kwa kuyatolea hayo matepeli(wachungaji) na kuaminishwa wataombewa na kubarikiwa na Mungu wakat huo huo hayo matapeli(wachungaji) yakipata shida yanataka kuchangiwa na fedha ked kede.
Ifike mahala watanzania waelewe hilo jambo japo linauma, ukiona humo hata walioshiriki hiyo ibada ni wapigaji+wanafiki watupu.
Note: kuna vichaa watasema nisiwapangie matumizi, hakuna cha kupangiwa wangetaka kumpa zawadi huyo tapeli basi wangetoa nje ya kanisa na kivuli cha dini.
Mganga hajigangi. Hata hilo ngumu kulielewa??Kwa nini hawajaomba kwa Mungu ili ampatie gari hii? Maana sisi wanatuombea tupate magari,eti tupande mbengu ya kupata gari,nyumba n.k
Huyo kadiva ni country manager wa Toyota Tanzania kama sijakosea,Wamenunua Toyota Tanzania sio kiwandani Mzee.
Gari moja wakanunue kiwandani mzee, hio sio sofa ya Keko furniture.
Moja ya sababu za TEc kuwa wakali ni hofu ya kupoteza eneo Lao karibu na bandari hasa kanisa la St. Joseph.Utofauti wa wale wa TEC na wengine huanzia hapa!
Hiyo pesa ni kubwa sana, kama wangejitolea hata kujenga shule au hospital na kuipa jina lake kwa heshima ya mchango wake katika kanisa, nadhani ingekuwa bora zaidi.
Hapo running cost ya hilo gari ( wese+ service) ni gharama, ambazo pengine waumini watalazimika kuwa sehemu ya wahudumiaji.
Acheni zenu hizo! Chuki tu.Diuuu ina maana ukute gari limetoka DPW sababu kanisa limewakubali....tunadanganywa ni waumini...kwa lipi hasa Askofu Shoo alichofanya kwenye kanisa au nchi kupewa gari hilo bei kubwa sana....? Muda utaongea .....tusubiri tusiache kuomba wale waombaji kazi ni hiyoo
Mkuu, kama Yesu angezaliwa zama zetu, pamoja na miujiza yake yote asingekubalika kwa hawa waabudu mali.Yesu alitembea ya mguu,na ilipobidi sana alipanda punda.Farasi ilikuwa ni anasa zama hizo,ila skuizi watumishi wanakula tu Bata......smooth.
Akili kubwaKwa nini hawajaomba kwa Mungu ili ampatie gari hii? Maana sisi wanatuombea tupate magari,eti tupande mbengu ya kupata gari,nyumba n.k