Telewolth bin champion
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 2,386
- 6,473
Hata kupanda punda pia ilikua anasa masikini hawakuweza kuafford, tofauti ya kipindi kile na cha sasa huyo Yesu angekuwa zama hizi basi angetumia Rangerover ya mwaka juzi isiyozidi mil200 na sio V8 new model ya zaid ya mil500, hakuna tofauti zote hizo ni anasa.Yesu alitembea ya mguu,na ilipobidi sana alipanda punda.Farasi ilikuwa ni anasa zama hizo,ila skuizi watumishi wanakula tu Bata......smooth.
Yesu hakuwa maskini.Yesu alitembea ya mguu,na ilipobidi sana alipanda punda.Farasi ilikuwa ni anasa zama hizo,ila skuizi watumishi wanakula tu Bata......smooth.
Kwa nini hawajaomba kwa Mungu ili ampatie gari hii? Maana sisi wanatuombea tupate magari,eti tupande mbengu ya kupata gari,nyumba n.k
Na nyama chomaHarafu tuje tupinge waraka wakati viongozi wetu wandamizi wanagonga divai na wao
Utofauti wa wale wa TEC na wengine huanzia hapa!Askofu mkuu mstaafu wa KKKT Dr Shoo amekabidhiwa gari mpya Toyota Landcruiser ya Mwaka 2023 mpya kabisa 0 km iliyonunuliwa kiwandani
Ahadi ya kumnunulia Zawadi ya gari ilitolewa kwenye misa ya shukrani ya Mchungaji Dr Kimaro ambapo Wabunge, Mawaziri, Viongozi wa Dini, Viongozi wa Siasa na Waumini walihudhuria miezi michache iliyopita
Waliohudhuria ibada ya Dr Kimaro ni Pamoja na Waziri wa Fedha Dr Mwigulu Nchemba PhD, mh Halima Mdee, mh Esther Bulaya, mh Sanga, God bless Lema nk..nk
Na katika makabidhiano ya Zawadi ya gari nyumbani kwa askofu Dr Shoo walikuwepo mh Kidiva, mh Sanga, mh Mbowe nk.
Mlale Unono
---
Askofu Mkuu wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT anayemaliza muda wake Dr. Fredrick Shoo leo amekabidhiwa zawadi ya gari jipya aina ya Toyota Land Cruiser GR Sport ikiwa ni ahadi iliyoanza kufanyiwa kazi baada ya mmoja wa Waumini wa KKKT Noah Kadiva kutoa wazo hilo Kanisani Kondeni Matala Kilimanjaro katika ibada ya shukrani ya Mchungaji Dkt. Eliona Kimaro April 23 2023.
Baada ya wazo hilo ambalo lilipokelewa kwa mwitikio mkubwa iliundwa Kamati ya zaidi ya Watu 60 wakiwemo Wabunge, Wanasiasa, Wafanyabiashara na Waumini wa madhehebu mbalimbali wakiwemo wa KKKT na hatimaye leo Dkt. Shoo amekabidhiwa zawadi hiyo nyumbani kwake Mailisita, Moshi Mkoani Kilimanjaro.
Noah Kadiva amesema gari hilo Land Cruiser GR SPORT la mwaka 2023 (zero Kilometer) limenunuliwa
Tafuta hela sio ukituona na hela nyingi unabwabwaja tuwape maskini.. basi nawewe hiyo hela uliyonunulia bando ungewapa maskiniPumbavu.... Unafiki, , upuuzi...
Dini ni kivuli cha unafiki na uzandiki, nadhani huyo mzee wangempongeza tu kwa shukran pekee badala yake fedha za kununulia hilo gari la bei kubwa wangekusanya hizo pesa kusaidia wagonjwa na wahitaji mbalimbali nchini.
Ndio yale yale waumini wanakufa njaa kwa kuyatolea hayo matepeli(wachungaji) na kuaminishwa wataombewa na kubarikiwa na Mungu wakat huo huo hayo matapeli(wachungaji) yakipata shida yanataka kuchangiwa na fedha ked kede.
Ifike mahala watanzania waelewe hilo jambo japo linauma, ukiona humo hata walioshiriki hiyo ibada ni wapigaji+wanafiki watupu.
Note: kuna vichaa watasema nisiwapangie matumizi, hakuna cha kupangiwa wangetaka kumpa zawadi huyo tapeli basi wangetoa nje ya kanisa na kivuli cha dini.
Sasa Magu hapa anaingiaje?Huyo kapewa na wanasiasa hasa waliomchukia JPM maana mzee alimvhukia sana JPM jumlisha na ukabila basi ikawa balaa.
Askofu mkuu mstaafu wa KKKT Dr Shoo amekabidhiwa gari mpya Toyota Landcruiser ya Mwaka 2023 mpya kabisa 0 km iliyonunuliwa kiwandani
Ahadi ya kumnunulia Zawadi ya gari ilitolewa kwenye misa ya shukrani ya Mchungaji Dr Kimaro ambapo Wabunge, Mawaziri, Viongozi wa Dini, Viongozi wa Siasa na Waumini walihudhuria miezi michache iliyopita
Waliohudhuria ibada ya Dr Kimaro ni Pamoja na Waziri wa Fedha Dr Mwigulu Nchemba PhD, mh Halima Mdee, mh Esther Bulaya, mh Sanga, God bless Lema nk..nk
Na katika makabidhiano ya Zawadi ya gari nyumbani kwa askofu Dr Shoo walikuwepo mh Kidiva, mh Sanga, mh Mbowe nk.
Mlale Unono
---
Askofu Mkuu wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT anayemaliza muda wake Dr. Fredrick Shoo leo amekabidhiwa zawadi ya gari jipya aina ya Toyota Land Cruiser GR Sport ikiwa ni ahadi iliyoanza kufanyiwa kazi baada ya mmoja wa Waumini wa KKKT Noah Kadiva kutoa wazo hilo Kanisani Kondeni Matala Kilimanjaro katika ibada ya shukrani ya Mchungaji Dkt. Eliona Kimaro April 23 2023.
Baada ya wazo hilo ambalo lilipokelewa kwa mwitikio mkubwa iliundwa Kamati ya zaidi ya Watu 60 wakiwemo Wabunge, Wanasiasa, Wafanyabiashara na Waumini wa madhehebu mbalimbali wakiwemo wa KKKT na hatimaye leo Dkt. Shoo amekabidhiwa zawadi hiyo nyumbani kwake Mailisita, Moshi Mkoani Kilimanjaro.
Noah Kadiva amesema gari hilo Land Cruiser GR SPORT la mwaka 2023 (zero Kilometer) limenunuliwa
Hii nchi bado tuna fikra za kimasikini sana aisee. Sasa mtu watu wamemchangia gar mbona kitu kidogo sana. Hiv mnajua hapo Kenya mwanasiasa mchovu kabisa hakosi bl 15 za ktz!!?. Hiv vitu tunashangaa coz tumezungukwa na umasikin sana so tunaona ajabu lakin hili ni jambo dogo sana hasa kwa waumin wa kilutheri kwa utoaji.Askofu mkuu mstaafu wa KKKT Dr Shoo amekabidhiwa gari mpya Toyota Landcruiser ya Mwaka 2023 mpya kabisa 0 km iliyonunuliwa kiwandani
Ahadi ya kumnunulia Zawadi ya gari ilitolewa kwenye misa ya shukrani ya Mchungaji Dr Kimaro ambapo Wabunge, Mawaziri, Viongozi wa Dini, Viongozi wa Siasa na Waumini walihudhuria miezi michache iliyopita
Waliohudhuria ibada ya Dr Kimaro ni Pamoja na Waziri wa Fedha Dr Mwigulu Nchemba PhD, mh Halima Mdee, mh Esther Bulaya, mh Sanga, God bless Lema nk..nk
Na katika makabidhiano ya Zawadi ya gari nyumbani kwa askofu Dr Shoo walikuwepo mh Kidiva, mh Sanga, mh Mbowe nk.
Mlale Unono
---
Askofu Mkuu wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT anayemaliza muda wake Dr. Fredrick Shoo leo amekabidhiwa zawadi ya gari jipya aina ya Toyota Land Cruiser GR Sport ikiwa ni ahadi iliyoanza kufanyiwa kazi baada ya mmoja wa Waumini wa KKKT Noah Kadiva kutoa wazo hilo Kanisani Kondeni Matala Kilimanjaro katika ibada ya shukrani ya Mchungaji Dkt. Eliona Kimaro April 23 2023.
Baada ya wazo hilo ambalo lilipokelewa kwa mwitikio mkubwa iliundwa Kamati ya zaidi ya Watu 60 wakiwemo Wabunge, Wanasiasa, Wafanyabiashara na Waumini wa madhehebu mbalimbali wakiwemo wa KKKT na hatimaye leo Dkt. Shoo amekabidhiwa zawadi hiyo nyumbani kwake Mailisita, Moshi Mkoani Kilimanjaro.
Noah Kadiva amesema gari hilo Land Cruiser GR SPORT la mwaka 2023 (zero Kilometer) limenunuliwa
We unafikiri masikin na wahtaj wanaisha. Au umesahau jibu la Yesu.Pumbavu.... Unafiki, , upuuzi...
Dini ni kivuli cha unafiki na uzandiki, nadhani huyo mzee wangempongeza tu kwa shukran pekee badala yake fedha za kununulia hilo gari la bei kubwa wangekusanya hizo pesa kusaidia wagonjwa na wahitaji mbalimbali nchini.
Ndio yale yale waumini wanakufa njaa kwa kuyatolea hayo matepeli(wachungaji) na kuaminishwa wataombewa na kubarikiwa na Mungu wakat huo huo hayo matapeli(wachungaji) yakipata shida yanataka kuchangiwa na fedha ked kede.
Ifike mahala watanzania waelewe hilo jambo japo linauma, ukiona humo hata walioshiriki hiyo ibada ni wapigaji+wanafiki watupu.
Note: kuna vichaa watasema nisiwapangie matumizi, hakuna cha kupangiwa wangetaka kumpa zawadi huyo tapeli basi wangetoa nje ya kanisa na kivuli cha dini.
Is this news? So what to a starving man in the far village?Askofu mkuu mstaafu wa KKKT Dr Shoo amekabidhiwa gari mpya Toyota Landcruiser ya Mwaka 2023 mpya kabisa 0 km iliyonunuliwa kiwandani
Ahadi ya kumnunulia Zawadi ya gari ilitolewa kwenye misa ya shukrani ya Mchungaji Dr Kimaro ambapo Wabunge, Mawaziri, Viongozi wa Dini, Viongozi wa Siasa na Waumini walihudhuria miezi michache iliyopita
Waliohudhuria ibada ya Dr Kimaro ni Pamoja na Waziri wa Fedha Dr Mwigulu Nchemba PhD, mh Halima Mdee, mh Esther Bulaya, mh Sanga, God bless Lema nk..nk
Na katika makabidhiano ya Zawadi ya gari nyumbani kwa askofu Dr Shoo walikuwepo mh Kidiva, mh Sanga, mh Mbowe nk.
Mlale Unono
---
Askofu Mkuu wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT anayemaliza muda wake Dr. Fredrick Shoo leo amekabidhiwa zawadi ya gari jipya aina ya Toyota Land Cruiser GR Sport ikiwa ni ahadi iliyoanza kufanyiwa kazi baada ya mmoja wa Waumini wa KKKT Noah Kadiva kutoa wazo hilo Kanisani Kondeni Matala Kilimanjaro katika ibada ya shukrani ya Mchungaji Dkt. Eliona Kimaro April 23 2023.
Baada ya wazo hilo ambalo lilipokelewa kwa mwitikio mkubwa iliundwa Kamati ya zaidi ya Watu 60 wakiwemo Wabunge, Wanasiasa, Wafanyabiashara na Waumini wa madhehebu mbalimbali wakiwemo wa KKKT na hatimaye leo Dkt. Shoo amekabidhiwa zawadi hiyo nyumbani kwake Mailisita, Moshi Mkoani Kilimanjaro.
Noah Kadiva amesema gari hilo Land Cruiser GR SPORT la mwaka 2023 (zero Kilometer) limenunuliwa
Acheni kumchafua Baba AskofuKwa kweli sielewi, kuunga mkono DP world na kupewa rushwa waziwazi hawaoni aibu?!
Wewe ni nani hadi uwapangie cha kufanya?Pumbavu.... Unafiki, , upuuzi...
Dini ni kivuli cha unafiki na uzandiki, nadhani huyo mzee wangempongeza tu kwa shukran pekee badala yake fedha za kununulia hilo gari la bei kubwa wangekusanya hizo pesa kusaidia wagonjwa na wahitaji mbalimbali nchini.
Ndio yale yale waumini wanakufa njaa kwa kuyatolea hayo matepeli(wachungaji) na kuaminishwa wataombewa na kubarikiwa na Mungu wakat huo huo hayo matapeli(wachungaji) yakipata shida yanataka kuchangiwa na fedha ked kede.
Ifike mahala watanzania waelewe hilo jambo japo linauma, ukiona humo hata walioshiriki hiyo ibada ni wapigaji+wanafiki watupu.
Note: kuna vichaa watasema nisiwapangie matumizi, hakuna cha kupangiwa wangetaka kumpa zawadi huyo tapeli basi wangetoa nje ya kanisa na kivuli cha dini.
Sasa hivi hata ukichukuliwa Mume utasingizia DP World.Diuuu ina maana ukute gari limetoka DPW sababu kanisa limewakubali....tunadanganywa ni waumini...kwa lipi hasa Askofu Shoo alichofanya kwenye kanisa au nchi kupewa gari hilo bei kubwa sana....? Muda utaongea .....tusubiri tusiache kuomba wale waombaji kazi ni hiyoo
......nauliza kwa mahaba kwa lipi ? Amelifanyia kanisa ah nchi? Mengine yote siasa humo ndaniSasa hivi hata ukichukuliwa Mume utasingizia DP World.
Fikra za kimaskini zimekutawala sana , Shilingi 400 Million ni nyingi sana kwako na kwangu…wapo watu hizo fedha wananunulia Magari Mahawara hapa hapa Nchini
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app