Waumini Wamzawadia gari mpya Askofu Mkuu Mstaafu wa KKKT Dkt. Shoo

Naam....

Religion is a great problem in africa
 
Angepewa gari zuri tu la gharama ya wastani isizidi 80m, kuna changamoto/shida nyingi sana kwenye jamii hata anayotoka yeye. Katika ela zilizochangwa sehemu kubwa zingeelekezwa kutatua shida mbali mbali. Tena ela yenyewe ya kuchanga, labda ingekuwa ya kwake binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…