mwanazuoni mgeni
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 1,944
- 1,726
Acha kupotosha watu... wangap wanatoa hela but still wanagongewaNdio hapo sasa.
Wewe una hangaika wakati yupo ambae akintumia sms anajibu hapo hapo hazipiti hata dakika 2. Hutujui wanawake ndio nakuambia sasa, tujichoka watu basi tunaanza visa aiseee sitopokea simu yako mpaka ukome na uache wewe. Ila mtumie ela tu, atakuheshimu.
Sio kweliSi, unalisifia goma la utete, koloni lako zuri. Mpake urimbo tu, mpe ela atanata hapo kwako milele.
Ingekua pesa ndo suluhisho.....bhas wenye fedha wangekua mademu zao hawaliwi nje.....Vipi pesa huwa unatoa? Au una kazi ya kupiga piga simu na kutuma tuma tu meseji?
Unyanyasaji wa kijinsia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]Msingi mkubwa wa mahusiano ni mawasiliano tena kwa pande zote mbili..kukishakuwa na kutegeana bila sababu za msingi jua kuna tatizo sehemu..... Yani mtu anaku-ignore bila sababu ya maana?? Nao ni unyanyasaji kwa kweli[emoji18]
Pole Mzee, Sasa huyo Demu, unamtoa out hataki kukaa na wewe! Ina maanisha hajawa proud na wewe! Au hataki kukutambulisha kwa wenzake.Wakuu hii kitu sio rahis kama mnavodhani...unampenda mtu afu yeye haonyeshi kukujali inauma sana
Me nimetoka kumpiga kibuti demu kama huyo asubuh ya leo haiwezekan natoka nae out (bar) afu hataki kukaa na mimi
anataka akae na rafik zake tu muda wote...pia nikimtumia msg anachelewa kujibu anaweza kukaa hata dakika 20 ndio akakujibu cha kushangaza hana kazi unayoweza sema inamuweka bize..me nimelivua pendo bwana hata kama moyo unashindwa kukubaliana na maamuz yangu..ipo siku haya maumivu yatakwisha tu
Hahaaa. Sawa ila usifuatilie saaana mana unaweza ukachukua maamuzi ambayo sio na mwisho wa siku unakuta kilichosababisha yote hayo pia sio.Yani tena na kwa dharau anasoma kabisa na zile double tick zina appear
Sasa ubaya uko wapi hapo kumbe hadi kajitetea na ushahidi anao.Anasema "alikuwa mbali na simu"
Tena anasema "ona fulani na fulani wenyewe unaona walinipigia"
Nikiuliza mbona meseji hujajibu anasema "samahani nisamehe"
[emoji134] [emoji24]
Hahaaa. Sawa ila usifuatilie saaana mana unaweza ukachukua maamuzi ambayo sio na mwisho wa siku unakuta kilichosababisha yote hayo pia sio.
Pia mkuu punguza wivu. Lol