Shauri yako. We speaking about anayofanyiwa na sio kugongewa. Kugongewa si siri ya ndani,kwanini sh ngapi.Acha kupotosha watu... wangap wanatoa hela but still wanagongewa
Jishaue tuSio kweli
Lol, ushauri bora kabisa huu.Tuma hela wewe.... Tafuta hela kwanza kabla ya kutafuta penzi
Nimesema kupunguza na sio kutokuwa nao kabisa.Mkuu mapenzi bila wivu huo ni uongo
Ww unayaweza?
We humtaki tu huyo mdada wa watu sema tu ukweli.Sasa ndo kila Siku, Majibu hayo hayo.
Khaa![emoji134]
Thanks.Kama unaumia sana na huyo binti haujamtambulisha kwenu, tafuta mwanamke mwingine ndiyo dawa pekee ya tatizo linalokukabili la sivyo utaumia na mwishowe kufanya maamuzi ya hovyo. Kuna asilimia kubwa huyo mwanamke akawa amepata jamaa mwingine..!!!
Hata wa masikini wanaliwa.Ingekua pesa ndo suluhisho.....bhas wenye fedha wangekua mademu zao hawaliwi nje.....
Nimesema kupunguza na sio kutokuwa nao kabisa.
Naam, ukiwa na Hela mbona utawavua sana, huwaoni Harmonize na Harmorapa??Ushauri wa Hela!
Unachofanyiwa ndo ninachofanyiwa mim na huyu bwana ,nimeamua kujitoaWakuu,
Habarini za mapumziko na heka heka za kila siku.
Kuna kitu kinanitatiza mjumbe wenu;
Hivi mwanamke anajisikiaje kuwa anapigiwa simu hapokei, anatumiwa meseji hajibu. Na usipomtafuta, ndo basi hamuwasiliani (yaani hadi umuanze wewe)
Na muda mwingine kwenye What's App meseji zinaonekana zimesomwa kabisa, lakini hajibu ukimlalamikia sana, baadae sana anakwambia neno "pole GENIUSTIN"
Hii tabia inamaanisha nini? Au siku hizi nimeanza kuwa mvulana? Maana hii tabia inaniumiza sana. Wanaume wenzangu na wanawake.
Naombeni mnifafanulie, ili nishtuke usingizini, kikombe hiki nikiepuke.
Nawasilisha.