[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ee Mungu hii tabia ya auntie isiwe imerithiwa na yule bintiye, hata kama ipo naomba iparalize nienjoy maisha rahisi yasiyo ya mashindano
Mimi ndie.Hommie, huyu ndiye uliyeniambia au nimsubirie mwingine?
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Hehehe sio rahis kama unavyofikiria ,,,cc geniustin njoomnaonaje mkajiunganisha? hamuoni kuwa mnaweza tengeneza best combo?
Maana wenye macho watatazama lakini hawataona, na wenye masikio watasikia lakini hawataelewa...
Huko sahihi kabisa!Ndio hapo sasa.
Wewe una hangaika wakati yupo ambae akintumia sms anajibu hapo hapo hazipiti hata dakika 2. Hutujui wanawake ndio nakuambia sasa, tujichoka watu basi tunaanza visa aiseee sitopokea simu yako mpaka ukome na uache wewe. Ila mtumie ela tu, atakuheshimu.
Hewaala
Changu kikae fent font nichenjue makenikia nitakavyo
wako fresh sana mkuu, nakuhakikishia. acha imani potufu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji39] Kweli eeh! Ngoja niende naye pm,
Ila hilo neno Rombo linanipa ukakasi[emoji23]
hata hivyo siyo ngumu kama unavyoonaHehehe sio rahis kama unavyofikiria ,,,cc geniustin njoo
hewalaaaaaaaaaaaaa........!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Una bahati hajarithi, yeye kwake pesa ni bonus tu.