Waungwana naomba mnishtue usingizini, mapenzi haya

Waungwana naomba mnishtue usingizini, mapenzi haya

Haya ndo mambo tunayokataa humu wanaume kila siku... unauliza nini hapo sasa?
 
[emoji2][emoji2][emoji2] Kuna mtu alishawahi kuja kupost humu kuwa anaomba ushauri njia za kuachana na mtu anayempenda, naona kwako sasa inafanyika practically
 
Najua utakua umepungua uzito,umepunguza ufanisi wa kazi zako au masomo endapo ni mwanafunzi,huli, hulali, huwazi chanel mpya za pesa na kadhalika ila kwa ushauri acha ujinga wa kujipendekeza kwani mapenzi ni pande mbili zinazoshibana na kulingana hisia,kukumbukana na hata mioyo huwa inawasiliana.Chukua kalamu uorodheshe faida unazopata kwa huo uhusiano halafu fuata na mambo yasiyokufurahisha na kama utaona faida ni nyingi endelea na kata mawasiliano endapo huoni faida. Na kama unampenda sana mpe muda arekebishe hizo kasoro na endapo mpaka muda ulompa bado yako vilevile piga chini na uwe na msimamo. Wanawake wa namna huyo hupenda sana kujirudi akishaona ndo anaachwa USIJIROGE KURUDIANA MAANA HATOBADILIKA.
 
Najua utakua umepungua uzito,umepunguza ufanisi wa kazi zako au masomo endapo ni mwanafunzi,huli, hulali, huwazi chanel mpya za pesa na kadhalika ila kwa ushauri acha ujinga wa kujipendekeza kwani mapenzi ni pande mbili zinazoshibana na kulingana hisia,kukumbukana na hata mioyo huwa inawasiliana.Chukua kalamu uorodheshe faida unazopata kwa huo uhusiano halafu fuata na mambo yasiyokufurahisha na kama utaona faida ni nyingi endelea na kata mawasiliano endapo huoni faida. Na kama unampenda sana mpe muda arekebishe hizo kasoro na endapo mpaka muda ulompa bado yako vilevile piga chini na uwe na msimamo. Wanawake wa namna huyo hupenda sana kujirudi akishaona ndo anaachwa USIJIROGE KURUDIANA MAANA HATOBADILIKA.
Shukrani mkuu kwa ushauri Maridhawa. Niko na Implement Ushauri wote, NimeStop kuwasiliana naye.
 
Hajanicheki asee...ngoja,Tuendelee na Movie.
Daah,polee saana mkuu.najua mateso unayopitia,binafs ni muhanga ktk hlo.niliwah pitia hyo hali mwaka 2015 mwez wa 12.sito sahau..yaan unajikuta unataman ufe kabisa,huon umuhimu wa maisha,huwez kula vizur wala kulala vzuri.muda wote unakumbuka zile good moments.binafsi nilichanganyikiwa kabisa,hata kuoga nilikuwa siogi..ilipelekea hata kuharibu issue kadhaa kazini kwangu.namshukuru Mungu nilivuka salama,nawashukuru wadau wa jamii forums walinitia saana Moyo.unaweza cheki nyuz zangu humu,ukifungua profile yangu halafu angalia thread inayosema "nipo njia panda"
Na mrejesho wake.
Kiukweli baada ya kuushinda ule mtihan,hakuna kiumbe yeyote wa kike anayeniletea jeuri maishan mwangu,..sio watu wa kuwaamn hata siku moja.tuishi nao kwa akili mno
 
Kuna demu mmoja nilikuwa namtafuta mm mara nying,asa nkaona ngoja nijiondoe..nmekaa siku mbili bila kumtafuta,na yy akapiga kimyaa.
Asa jana mishale ya saa mbili usiku,akanitext "mimi naona sikufai,nikutakie maisha mema.pia nashkuru kwa muda wako ulio nipatia"
Nkapiga kimyaaa,mara akaja watsup akaniambia hvo hvo,nkasoma nkakaa kimya.mara akanitext teena,futa vitu vyangu pamoja na namba yangu ya simu,sihitaj mawasiliano na wewe teena.nkasoma halafu nkapiga kimyaaaa!
Mpka saiv hajanitext tena,

Vip wakuu,huyo nimjib au niendelee kupiga kimya?
Mkuu huyo usimjubu kaa kmya hvo hvo...nw atakua ana umua sanaaa japo hakutak ila kutokumjib tu n pigo tosha.
Ukimjibu tu umekidh matakwa yake...pga kmya bossss!! Usithubutuuu!! Kumjibu
 
Back
Top Bottom