Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
karibu sana...., mi ntakuwa baba mlezi wenuWaooooWaoooooo,asante muhengaa Wang korboto
Word mkuu mwambie aache kulia liaUkiona mjanja kapendwa jua zuzu katendwa na ukiona zuzu katendwa jua Kuna mjanja kapendwa
Pengine wakati huu unalia huku jf Kuna Mjinga anabembelezwa huko kuwa mwanaume mapenz na uvulana ni vitu viwl tofauti kabsa
Exactly mkuuWord mkuu mwambie aache kulia lia
Anapiga nduru badala ya kufanya maisha mkuuExactly mkuu
Huyu bado mvulana Ndio maana anaimba taarabu ukuAnapiga nduru badala ya kufanya maisha mkuu
Vijana wa kisha maliza 6 au kuisha kwa semista ndio tabu tupu huku jukwaa ni na drama za kulia lia mkuuHuyu bado mvulana Ndio maana anaimba taarabu uku
Tatzo utoto mwingi mkuuVijana wa kisha maliza 6 au kuisha kwa semista ndio tabu tupu huku jukwaa ni na drama za kulia lia mkuu
Sio Mke, Cause bado sijaoa.Huyo ni mkeo au mchepuko?
Penzi unapewa au hupewi?
Kama ni mkeo sina ushauri, kama ni mchepuko na ww kausha tafuta mchepuko mwingine, kama akikutafuta na shida zake kula mzigo kwanza kisha hata kama unaweza kumtatulia kwa muda huo MPE kidate akija kula mzigo endelea kuuchuna.
Basi hayo ni Mafua tu,zingatiaSio Mke, Cause bado sijaoa.
Ni Mchepuko. Ila ndo shida zake hizo nilizozisema juu kule.
Thanks Mkuu, Ujumbe Taken.
Hommie sina kumbukumbu kama file la kajunjumele limeshafika ofisini.
Sawa muhenga Wang cc genistiunkaribu sana...., mi ntakuwa baba mlezi wenu