Kuna jamaa yangu alikuwa na tatzo kama lako..asa akamwambia mpenz wake kuwa kwanin hamtafut had amtafute yeye na kwanin hamjibu text,akijibu anajibu kwa kusua sua.Anasema "alikuwa mbali na simu"
Tena anasema "ona fulani na fulani wenyewe unaona walinipigia"
Nikiuliza mbona meseji hujajibu anasema "samahani nisamehe"
[emoji134] [emoji24]
Shukran kwa ushaur mkuuMkuu huyo usimjubu kaa kmya hvo hvo...nw atakua ana umua sanaaa japo hakutak ila kutokumjib tu n pigo tosha.
Ukimjibu tu umekidh matakwa yake...pga kmya bossss!! Usithubutuuu!! Kumjibu
..kuna mmoja amenifanyia kama wewe nimemute kimya,..akituma sms sijibu,akipiga simu dipokei,..watsapp kimya...Asante Mzee mzima, Hapa JF imekuwa ndo mfariji wangu wa haya maamuzi magumu ninayokwenda kuyafanya.
..series ya2 hiyo,..Nimekubali, Nipo kwenye Kulifanyia Kazi.
Sijamtafuta tangu asubuhi nilipomtumia Meseji ya Morning, na Alikuja kunijibu Mchana.
Sijamtumia tena, na yeye hajanitafuta tena. Wacha Movie iendelee.
...mboro zenu wewe na Asprin..na, je, umeelewa na haya yote au unataka kuwa kama Nicodemu?π
Kusoma alama za nyakati hujui mkuu... Ina maana hata picha nayo huioni mbona ipo so "well painted" to be vividly visualized hata kwa asiye na uoni huru au hata ambaye uoni wake upo ndani ya "jela" ya mapenzi au "mahabusu" ya "mahaba" picha hii anaweza kuiona bila wasiwasi mkuu... Amka toka usingizini osha uso wako kwa maji yanaitwa "reality" kuondoa hilo tongotongo zito la "huba" lilitoweka wingu zito kwenye "uoni" wako!!Wakuu,
Habarini za mapumziko na heka heka za kila siku.
Kuna kitu kinanitatiza mjumbe wenu;
Hivi mwanamke anajisikiaje kuwa anapigiwa simu hapokei, anatumiwa meseji hajibu. Na usipomtafuta, ndo basi hamuwasiliani (yaani hadi umuanze wewe)
Na muda mwingine kwenye What's App meseji zinaonekana zimesomwa kabisa, lakini hajibu ukimlalamikia sana, baadae sana anakwambia neno "pole GENIUSTIN"
Hii tabia inamaanisha nini? Au siku hizi nimeanza kuwa mvulana? Maana hii tabia inaniumiza sana. Wanaume wenzangu na wanawake.
Naombeni mnifafanulie, ili nishtuke usingizini, kikombe hiki nikiepuke.
Nawasilisha.
Basis sawa,,, cc genestiunhata hivyo siyo ngumu kama unavyoona
Kumbe kurboto no muhenga ?;Hahhaha.Inabidi twende Pm, Tukajuane vizuri.
Maono ya Mhenga hatuwezi kuyatupilia mbali[emoji39] .
Kaushaaa...ishatoka hio!!!Kuna demu mmoja nilikuwa namtafuta mm mara nying,asa nkaona ngoja nijiondoe..nmekaa siku mbili bila kumtafuta,na yy akapiga kimyaa.
Asa jana mishale ya saa mbili usiku,akanitext "mimi naona sikufai,nikutakie maisha mema.pia nashkuru kwa muda wako ulio nipatia"
Nkapiga kimyaaa,mara akaja watsup akaniambia hvo hvo,nkasoma nkakaa kimya.mara akanitext teena,futa vitu vyangu pamoja na namba yangu ya simu,sihitaj mawasiliano na wewe teena.nkasoma halafu nkapiga kimyaaaa!
Mpka saiv hajanitext tena,
Vip wakuu,huyo nimjib au niendelee kupiga kimya?
Hahahahah, i like the first type.KUNA AINA MBILI ZA WANAWAKE (Kulingana na mwitikio wao baada ya kujiridhisha anapendwa sana na niyeye tu aliyemteka kumoyo mwanaume fulani)
BAADA YA KUJUA UNAMPENDA SANA NA HUNA UJANJA.
1. Atakayekujali sana na kukufanya mtu wa karibu sana(best friend)
2. Atakayeridhika na kukufanya zoba na usishangae hata ukilazwa wiki nzima usimuone wala usisikie simu yake ya pole Ingawa anakuwa anakupenda sana na ukimwacha anaumia sana.
ndio maana utafiti bado unaendelea juu ya wanawake kujua ni viumbe wa aina gani
ndiyo binti mimi ni muhenga [emoji23][emoji23]Kumbe kurboto no muhenga ?;
Stuka kijana huyo si wako...Wakuu,
Habarini za mapumziko na heka heka za kila siku.
Kuna kitu kinanitatiza mjumbe wenu;
Hivi mwanamke anajisikiaje kuwa anapigiwa simu hapokei, anatumiwa meseji hajibu. Na usipomtafuta, ndo basi hamuwasiliani (yaani hadi umuanze wewe)
Na muda mwingine kwenye What's App meseji zinaonekana zimesomwa kabisa, lakini hajibu ukimlalamikia sana, baadae sana anakwambia neno "pole GENIUSTIN"
Hii tabia inamaanisha nini? Au siku hizi nimeanza kuwa mvulana? Maana hii tabia inaniumiza sana. Wanaume wenzangu na wanawake.
Naombeni mnifafanulie, ili nishtuke usingizini, kikombe hiki nikiepuke.
Nawasilisha.
This is true, i was once in hell baada ya kurudiana na mwanamke kwa kumuonea huruma.Najua utakua umepungua uzito,umepunguza ufanisi wa kazi zako au masomo endapo ni mwanafunzi,huli, hulali, huwazi chanel mpya za pesa na kadhalika ila kwa ushauri acha ujinga wa kujipendekeza kwani mapenzi ni pande mbili zinazoshibana na kulingana hisia,kukumbukana na hata mioyo huwa inawasiliana.Chukua kalamu uorodheshe faida unazopata kwa huo uhusiano halafu fuata na mambo yasiyokufurahisha na kama utaona faida ni nyingi endelea na kata mawasiliano endapo huoni faida. Na kama unampenda sana mpe muda arekebishe hizo kasoro na endapo mpaka muda ulompa bado yako vilevile piga chini na uwe na msimamo. Wanawake wa namna huyo hupenda sana kujirudi akishaona ndo anaachwa USIJIROGE KURUDIANA MAANA HATOBADILIKA.
Ahahahahahhhhahahahh.Balaaa, Unaweza jinyonga.Kuna jamaa yangu alikuwa na tatzo kama lako..asa akamwambia mpenz wake kuwa kwanin hamtafut had amtafute yeye na kwanin hamjibu text,akijibu anajibu kwa kusua sua.
Jamaa akajivika ujasiri akamwambia "au na mimi nisiwe nakutafuta?" Mtoto wa kike akamjibu "tena ukiamua na whatsap niblock au na namna yangu ifute kabisa"
Sawa Mkuu.Kusoma alama za nyakati hujui mkuu... Ina maana hata picha nayo huioni mbona ipo so "well painted" to be vividly visualized hata kwa asiye na uoni huru au hata ambaye uoni wake upo ndani ya "jela" ya mapenzi au "mahabusu" ya "mahaba" picha hii anaweza kuiona bila wasiwasi mkuu... Amka toka usingizini osha uso wako kwa maji yanaitwa "reality" kuondoa hilo tongotongo zito la "huba" lilitoweka wingu zito kwenye "uoni" wako!!
WaooooWaoooooo,asante muhengaa Wang korbotondiyo binti mimi ni muhenga [emoji23][emoji23]
HakupendiWakuu,
Habarini za mapumziko na heka heka za kila siku.
Kuna kitu kinanitatiza mjumbe wenu;
Hivi mwanamke anajisikiaje kuwa anapigiwa simu hapokei, anatumiwa meseji hajibu. Na usipomtafuta, ndo basi hamuwasiliani (yaani hadi umuanze wewe)
Na muda mwingine kwenye What's App meseji zinaonekana zimesomwa kabisa, lakini hajibu ukimlalamikia sana, baadae sana anakwambia neno "pole GENIUSTIN"
Hii tabia inamaanisha nini? Au siku hizi nimeanza kuwa mvulana? Maana hii tabia inaniumiza sana. Wanaume wenzangu na wanawake.
Naombeni mnifafanulie, ili nishtuke usingizini, kikombe hiki nikiepuke.
Nawasilisha.