Waungwana naomba mnishtue usingizini, mapenzi haya

Waungwana naomba mnishtue usingizini, mapenzi haya

Hiii yani unamfkiriiiia utazan yupo mwenyewe kwenye hii dunia dawa ya moto ni moto tuuu acpokutafta ucmtafte naww.Mtu anaekupenda lazima apiganie penz wewee ctukaaa usiaibishe wanaume apaaaa
 
Kuna demu mmoja nilikuwa namtafuta mm mara nying,asa nkaona ngoja nijiondoe..nmekaa siku mbili bila kumtafuta,na yy akapiga kimyaa.
Asa jana mishale ya saa mbili usiku,akanitext "mimi naona sikufai,nikutakie maisha mema.pia nashkuru kwa muda wako ulio nipatia"
Nkapiga kimyaaa,mara akaja watsup akaniambia hvo hvo,nkasoma nkakaa kimya.mara akanitext teena,futa vitu vyangu pamoja na namba yangu ya simu,sihitaj mawasiliano na wewe teena.nkasoma halafu nkapiga kimyaaaa!
Mpka saiv hajanitext tena,

Vip wakuu,huyo nimjib au niendelee kupiga kimya?
Umemaliza kazi, piga kimya
 
Wakuu,

Habarini za mapumziko na heka heka za kila siku.

Kuna kitu kinanitatiza mjumbe wenu;

Hivi mwanamke anajisikiaje kuwa anapigiwa simu hapokei, anatumiwa meseji hajibu. Na usipomtafuta, ndo basi hamuwasiliani (yaani hadi umuanze wewe)
Na muda mwingine kwenye What's App meseji zinaonekana zimesomwa kabisa, lakini hajibu ukimlalamikia sana, baadae sana anakwambia neno "pole GENIUSTIN"

Hii tabia inamaanisha nini? Au siku hizi nimeanza kuwa mvulana? Maana hii tabia inaniumiza sana. Wanaume wenzangu na wanawake.

Naombeni mnifafanulie, ili nishtuke usingizini, kikombe hiki nikiepuke.

Nawasilisha.
Tuanze hapa kwanza.....una miaka mingapi? Yaani unashindwa kujitambua kuwa demu ana mchepuko wake na wewe hana haja nawe tena?
 
Boss acha kushusha brand yako unatumaje messeg kwa dem wiki zima we usitume messeg wala kupiga tafta substitute yake iwe kali zaid yake
 
Wahi mapema kujitafutia anaekufaa huyo si wako....
Wanasemaga jiongezeeeee
Hakunaga ubusy kwa unaempenda na kumjali na kama upo lazima utamtaarifu in advance ili asiumie......
Huyo ako na mwingine anaempea attention not you.
Usikawie kufanya maamuzi utaumia maradufu....
nakazia!
 
Action speaks louder than words. Hana interest , you are not her priority
 
kijana punguza kitambi narudia tena punguza maneno mengi mwanamke anampenda mwanaume really ww unamaneno vitendo zero mwisho tafuta pesa hapa mjini
 
Mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...Dah! Yule mwanamke nilimwacha miaka ile ile, ila niling'ang'ania kidogo mpaka akili iliponikaa sawa[emoji23] nikasema inatosha, alinipeleka polisi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Kuna purukushani moja ilitokea, mlango wa sebureni kwake ukavunjika(ilitokea ishu moja, akawa anakimbilia ndani...akafunga mlango chaap, mimi nafika nakuta mlango ndo anauLock, nikapiga teke[emoji23], ukavunjika mbao za chini)

Akaenda kunishtaki polisi[emoji23]...nikashtukia naitwa Dawati la jinsia[emoji23]...nilivyotoka kweny ule mlango wa Dawati la jinsi, akili ikanirudi...sijawahi kumtafuta(ofcoarse kutafutana) wala kumuona hadi leo.

Maisha yamesonga.

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...Dah! Yule mwanamke nilimwacha miaka ile ile, ila niling'ang'ania kidogo mpaka akili iliponikaa sawa[emoji23] nikasema inatosha, alinipeleka polisi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Kuna purukushani moja ilitokea, mlango wa sebureni kwake ukavunjika(ilitokea ishu moja, akawa anakimbilia ndani...akafunga mlango chaap, mimi nafika nakuta mlango ndo anauLock, nikapiga teke[emoji23], ukavunjika mbao za chini)

Akaenda kunishtaki polisi[emoji23]...nikashtukia naitwa Dawati la jinsia[emoji23]...nilivyotoka kweny ule mlango wa Dawati la jinsi, akili ikanirudi...sijawahi kumtafuta(ofcoarse kutafutana) wala kumuona hadi leo.

Maisha yamesonga.

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Jambo jema.
Pole kwa yaliyokukuta na HongeraSana
 
Kama mtu akiniomba ushauri kuhusu mapenzi na wanawake kwa sasa basi jibu rahisi ni kuachana nayo tu.katika vitu vyote basi mapenzi ya sasa ni upuuzi.
 
Mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...Dah! Yule mwanamke nilimwacha miaka ile ile, ila niling'ang'ania kidogo mpaka akili iliponikaa sawa[emoji23] nikasema inatosha, alinipeleka polisi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Kuna purukushani moja ilitokea, mlango wa sebureni kwake ukavunjika(ilitokea ishu moja, akawa anakimbilia ndani...akafunga mlango chaap, mimi nafika nakuta mlango ndo anauLock, nikapiga teke[emoji23], ukavunjika mbao za chini)

Akaenda kunishtaki polisi[emoji23]...nikashtukia naitwa Dawati la jinsia[emoji23]...nilivyotoka kweny ule mlango wa Dawati la jinsi, akili ikanirudi...sijawahi kumtafuta(ofcoarse kutafutana) wala kumuona hadi leo.

Maisha yamesonga.

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Pole na hongera kutoka kwenye hicho kifungo.
 
Mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...Dah! Yule mwanamke nilimwacha miaka ile ile, ila niling'ang'ania kidogo mpaka akili iliponikaa sawa[emoji23] nikasema inatosha, alinipeleka polisi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Kuna purukushani moja ilitokea, mlango wa sebureni kwake ukavunjika(ilitokea ishu moja, akawa anakimbilia ndani...akafunga mlango chaap, mimi nafika nakuta mlango ndo anauLock, nikapiga teke[emoji23], ukavunjika mbao za chini)

Akaenda kunishtaki polisi[emoji23]...nikashtukia naitwa Dawati la jinsia[emoji23]...nilivyotoka kweny ule mlango wa Dawati la jinsi, akili ikanirudi...sijawahi kumtafuta(ofcoarse kutafutana) wala kumuona hadi leo.

Maisha yamesonga.

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Duuh pole sana mkuu[emoji16][emoji16][emoji1787], Ila najua kwa sasa upo na mwingine sasa bila shaka huyu si kama yule.

All in all tunashukuru kwa mrejesho.
 
Back
Top Bottom