Waungwana tuwe na msimamo tusiwe wanafiki.

Waungwana tuwe na msimamo tusiwe wanafiki.

Shida na raha

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
3,773
Reaction score
3,471
Unakuta mtu humu anajifanya mwema kumbe hamna kitu debe tupuu,..
Unaweza kuona mwenzako kaweka thread yake ambayo binafsi ndo alivyo na hajifichi nyuma ya keyboard,,, ili kutaka sifa kama wewe kumbe mnafiki tu.

Ukiona mwenzako anaelezea hisia zake mwache kama alivyo, na wewe tafuta mada ya kwako yenye mafunzo utufundishe hapa. Utakuta mtu akiona mwenzake kasema "Nina nyege nahitaji mtu wa kugegedana na hapa, mwenye uhitaji kama mimi aje pm."

Basi utakuta mijitu mingine inajifanya milokole sijui miustadh kumbe hamna kitu. Tuwe wakweli walio wengi hapa hamna kitu, ni wachache mno ambao hawana haya mambo.

Huko pm laiti ingekua tunaona na sisi wengine kinachoendelea basi hawa wanaojifanya watu wa Mungu wakiwa hapa wangeumbuka.

Demiss
Miss natafuta
Mzigua90
Mambembe
Shunie

Mkiwa na mambo yenu usiogope mtu hapa tiririka maana hapa wengi hatujuani kwa sura wala makabila.
So ukiwa na shida ya fulani hapa jimwage upo huru...
 
Unakuta mtu humu anajifanya mwema kumbe hamna kitu debe tupuu,..
Unaweza kuona mwenzako kaweka thread yake ambayo binafsi ndo alivyo na hajifichi nyuma ya keyboard,,, ili kutaka sifa kama wewe kumbe mnafiki tu.

Ukiona mwenzako anaelezea hisia zake mwache kama alivyo, na wewe tafuta mada ya kwako yenye mafunzo utufundishe hapa. Utakuta mtu akiona mwenzake kasema "Nina nyege nahitaji mtu wa kugegedana na hapa, mwenye uhitaji kama mimi aje pm."

Basi utakuta mijitu mingine inajifanya milokole sijui miustadh kumbe hamna kitu. Tuwe wakweli walio wengi hapa hamna kitu, ni wachache mno ambao hawana haya mambo.

Huko pm laiti ingekua tunaona na sisi wengine kinachoendelea basi hawa wanaojifanya watu wa Mungu wakiwa hapa wangeumbuka.

Demise
Miss natafuta
Mzigua90
Mambembe
Shunie

Mkiwa na mambo yenu usiogope mtu hapa tiririka maana hapa wengi hatujuani kwa sura wala makabila.
So ukiwa na shida ya fulani hapa jimwage upo huru...

Hapo kwenye nyekundu tunasemaga za mwenzio changanya na zako na pia ikitokea kuwa hivyo basi Jf itakuwa haina tofauti na Uwanja wa fujo.
 
Nyingine ni mtu anaweka kisa chake jukwa la chitchat huko inahusu mada husika, mtu anakuja kucomment eti badala mzungumze Tanzania ya viwanda nyinyi mnasema hayo.
Yaani mtu kaona jina la jukwaa ni chitchat yaani porojo.


Mwingine anakuja kwenye post hiyohiyo anajifanya mhariri mara zingatia alama za uandishi mara akuulize upo darasa la ngapi kisa tu uandishi wako


Achana na hayo ya ulokole kuna mijitu humu inajifanya mijuaji kumbe kichwani ni patupu, ilimradi aonekane yupo kisomi
 
Nyingine ni mtu anaweka kisa chake jukwa la chitchat huko inahusu mada husika, mtu anakuja kucomment eti badala mzungumze Tanzania ya viwanda nyinyi mnasema hayo.
Yaani mtu kaona jina la jukwaa ni chitchat yaani porojo.


Mwingine anakuja kwenye post hiyohiyo anajifanya mhariri mara zingatia alama za uandishi mara akuulize upo darasa la ngapi kisa tu uandishi wako


Achana na hayo ya ulokole kuna mijitu humu inajifanya mijuaji kumbe kichwani ni patupu, ilimradi aonekane yupo kisomi
povuu
 
Back
Top Bottom