Wauza chapati tuwape maua yao, wanatuokoa sana sisi mabachela

Wauza chapati tuwape maua yao, wanatuokoa sana sisi mabachela

kiredio Jr

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2024
Posts
989
Reaction score
1,843
Hapa town kwa sasa kila kona hawa jamaa wapo, wanapika chapati nzuri na napenda sana namna wanavyo pika na kugeuza chapati kwa madoido.

hqdefault_1.jpg

Wanatuokoa sana sisi mabachelor, kwa 500/= tu unachukua chapati ya uhakika, sio zile za mama lishe ambazo ni nyepesi kama vitambaa.

Wanaofanya biashara hii wengi ni vijana wakiwa kama kundi, napenda ninunue kwao ili niwasapot katika biashara zao.

Big up sana kwa vijana wote walio ungana na kufanya hii biashara naamini inawalipa vizuri kwani wateja ni wengi sana kwa sasa.

Hapa nipo njiani narudi home na nitapita sehemu nipate zangu mbili tu, na kasupu kamato ka utumbo hapo nimeimaliza siku kibingwa kabisa.
 
Back
Top Bottom