Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha na leo jioni napita pale karibu na kwetu,kuna jamaa yeye anapika hizi chapati ila kajiongeza na supu ya utumbo buku 2 kibakuli kinajaa...Hapa town kwa sasa kila kona hawa jamaa wapo, wanapika chapati nzuri na napenda sana namna wanavyo pika na kugeuza chapati kwa madoido.
Wanatuokoa sana sisi mabachelor, kwa 500/= tu unachukua chapati ya uhakika, sio zile za mama lishe ambazo ni nyepesi kama vitambaa.
Wanaofanya biashara hii wengi ni vijana wakiwa kama kundi, napenda ninunue kwao ili niwasapot katika biashara zao.
Big up sana kwa vijana wote walio ungana na kufanya hii biashara naamini inawalipa vizuri kwani wateja ni wengi sana kwa sasa.
Hapa nipo njiani narudi home na nitapita sehemu nipate zangu mbili tu, na kasupu kamato ka utumbo hapo nimeimaliza siku kibingwa kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unamkuta mkaka anakakitambi kumbe amejaza chapati
Hiyo imekuwa kama sheria, sijui nani alianzishaHivi nani aligunduaga Chai na chapati mbili?
Usisahau kukamulia ndimu na kuweka pilipiliUmenikumbusha na leo jioni napita pale karibu na kwetu,kuna jamaa yeye anapika hizi chapati ila kajiongeza na supu ya utumbo buku 2 kibakuli kinajaa...
Waolewaji wapo mkoa gan daslam hii ya manzese na mabibo au makumbusho wa mabrazamen wauza simuAcheni ubahiri, get married!!
Muda badoAcheni ubahiri, get married!!
Baas sawa!!Muda bado
Kuna sehemu inaitwa Loliondo maeneo ya Tandale chapati 200, Supu 500, Maharage 300 bakuli kula pale yataka moyo 🤣🤣🤣Chapati ukiweka mbele ya macho kama uko posta unaona hadi mbezi.
Na chapati zinazo pikwa na wanaume ndy huwa nzuri zaidiHayo ndo maisha yetu sisi waswahili,Kam ww wakishua tupishe kidogo maan hv vitu ni adimu pande flani hv,afu majina maaruf ya watoa huduma hizi:
Kwa wanawake;-akina mam Amina&swaumu
Kwa wanaume;akina ommy na ramadhan
Tena kasupu ka buku ..loh, safi kabisa. Vijana hao kweli wanafanya vemaHapa town kwa sasa kila kona hawa jamaa wapo, wanapika chapati nzuri na napenda sana namna wanavyo pika na kugeuza chapati kwa madoido.
Wanatuokoa sana sisi mabachelor, kwa 500/= tu unachukua chapati ya uhakika, sio zile za mama lishe ambazo ni nyepesi kama vitambaa.
Wanaofanya biashara hii wengi ni vijana wakiwa kama kundi, napenda ninunue kwao ili niwasapot katika biashara zao.
Big up sana kwa vijana wote walio ungana na kufanya hii biashara naamini inawalipa vizuri kwani wateja ni wengi sana kwa sasa.
Hapa nipo njiani narudi home na nitapita sehemu nipate zangu mbili tu, na kasupu kamato ka utumbo hapo nimeimaliza siku kibingwa kabisa.
Na wapo available kila kona ya jijiTena kasupu ka buku ..loh, safi kabisa. Vijana hao kweli wanafanya vema
Bakuli zipoje mkuu?Kuna sehemu inaitwa Loliondo maeneo ya Tandale chapati 200, Supu 500, Maharage 300 bakuli kula pale yataka moyo 🤣🤣🤣
Kama uko Dar pita ujionee 🤣🤣🤣Bakuli zipoje mkuu?
Yaani mtu akintajia tu mihogo nahs kama uchizi natamani hapo hapo niipate. Hapa nishawaza wapi ntapata mihogo mizuri mibichi ninunue nkaange mwenyewe. Maana mihogo ina mburo siku umeitamani ndio unapata mibaya mpaka inakutumbukia nyongoMixer masharo waajiriwa hasa bank na kampuni za simu.
Wanajifanya hawana appetite kumbe ndio mkombozi wa tumbo hasa tarehe za kati ya mwezi.