kiredio Jr
JF-Expert Member
- Jul 8, 2024
- 989
- 1,843
- Thread starter
- #41
Hiyo ni kama sheria, kuagiza chapati zaidi ya mbili ni mwiko.Supu na chapati mbili 🔥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni kama sheria, kuagiza chapati zaidi ya mbili ni mwiko.Supu na chapati mbili 🔥
Unapenda kushushia na kitu gani, chai au supu?Hakuna chakula nachokipenda kama chapati,ntavunja milango ya magereza kuzitafuta chapati.Ziwe za maji ,ziwe zakawaida ,ziwe za kurasa mi nachapa tu.Naweza kula chapati mwaka mzimaa.
Mimi nakula na kitu chochote hata kavuu.Ila nikipata rosti maini ,maharage yaliyopikwa vizuri nikashushia na lite moja ya baridiii mnoo.This photo can cure a man's anger &hunger at the same time.Unapenda kushushia na kitu gani, chai au supu?
Sifa ya chapati ipate mpishi mzuri, hasa watu wa pwani ndyo mafundi zaidiMimi nakula na kitu chochote hata kavuu.Ila nikipata rosti maini ,maharage yaliyopikwa vizuri nikashushia na lite moja ya baridiii mnoo.This photo can cure a man's anger &hunger at the same time.
Hahaha kwanini? 😀Saivi wanafunzi wa vyuo wanaiita "komasava"
Ni kama salamu, ukifika chuo asubuhi lazima upite maeneo upate vipande kadhaa vya cassavaHahaha kwanini? 😀
Mapupu tumeanza kula Kiria bar we sijui ulikua wapi,Unaijua supu ya mapupu? Hiyo iko vizuri sana siku ijaribu hutojutia
Mnawaza Kula tu wakati hampendi kulima.Hapa town kwa sasa kila kona hawa jamaa wapo, wanapika chapati nzuri na napenda sana namna wanavyo pika na kugeuza chapati kwa madoido.
Wanatuokoa sana sisi mabachelor, kwa 500/= tu unachukua chapati ya uhakika, sio zile za mama lishe ambazo ni nyepesi kama vitambaa.
Wanaofanya biashara hii wengi ni vijana wakiwa kama kundi, napenda ninunue kwao ili niwasapot katika biashara zao.
Big up sana kwa vijana wote walio ungana na kufanya hii biashara naamini inawalipa vizuri kwani wateja ni wengi sana kwa sasa.
Hapa nipo njiani narudi home na nitapita sehemu nipate zangu mbili tu, na kasupu kamato ka utumbo hapo nimeimaliza siku kibingwa kabisa.
Kipindi nipo Chuo nilikuwa na zunguka sana hapo mabibo mwisho dsm nakula sana chapati nne na maharage Kila sku jioni Asee washukuriwe sana wale vijana na kinamama supuHapa town kwa sasa kila kona hawa jamaa wapo, wanapika chapati nzuri na napenda sana namna wanavyo pika na kugeuza chapati kwa madoido.
Wanatuokoa sana sisi mabachelor, kwa 500/= tu unachukua chapati ya uhakika, sio zile za mama lishe ambazo ni nyepesi kama vitambaa.
Wanaofanya biashara hii wengi ni vijana wakiwa kama kundi, napenda ninunue kwao ili niwasapot katika biashara zao.
Big up sana kwa vijana wote walio ungana na kufanya hii biashara naamini inawalipa vizuri kwani wateja ni wengi sana kwa sasa.
Hapa nipo njiani narudi home na nitapita sehemu nipate zangu mbili tu, na kasupu kamato ka utumbo hapo nimeimaliza siku kibingwa kabisa.
Huku kwetu chapati 300/- tu
Chapati haziivi,sambamba na kula mafuta mabichi na sponji lililounguaUnamkuta mkaka anakakitambi kumbe amejaza chapati
Chapati ukiweka mbele ya macho kama uko posta unaona hadi mbezi.Hizo ni zile ukiangalia katikati unaona upande wa pili
Wengine walime sisi tule, kila mtu a play part yakeMnawaza Kula tu wakati hampendi kulima.
Loyola pale kuna kibar kimoja kinaguest mwanangu kipind hiyo nagonga asubuhi na mapema sambili nawahi Bakuli zitoMapupu tumeanza kula Kiria bar we sijui ulikua wapi,
tukahamia Europa buguruni unaijua,mabibo loyola kwa mama bonge je.
Huko ndo supu mapupu,bandama,kichwa koromei utapata asubuhi kuanzia sa 12.
Na huwezi kumaliza zaidi ya tatu, huwa zinakua na ujazo wa uhakikaUkizipata na Maini rosti yenye pilipili kiasi na Maziwa freshii...!!"Utamu mpaka Kisogoni"
Matumizi ya chapati yamekuwa makubwa kushinda ugaliRASMI SASA CHAPATI NDIYO CHAKULA CHA TAIFA