Wauza chapati tuwape maua yao, wanatuokoa sana sisi mabachela

Wauza chapati tuwape maua yao, wanatuokoa sana sisi mabachela

Hakuna chakula nachokipenda kama chapati,ntavunja milango ya magereza kuzitafuta chapati.Ziwe za maji ,ziwe zakawaida ,ziwe za kurasa mi nachapa tu.Naweza kula chapati mwaka mzimaa.
 
Unapenda kushushia na kitu gani, chai au supu?
Mimi nakula na kitu chochote hata kavuu.Ila nikipata rosti maini ,maharage yaliyopikwa vizuri nikashushia na lite moja ya baridiii mnoo.This photo can cure a man's anger &hunger at the same time.
 

Attachments

  • Screenshot_20240820-213433.jpg
    Screenshot_20240820-213433.jpg
    303.2 KB · Views: 2
Mimi nakula na kitu chochote hata kavuu.Ila nikipata rosti maini ,maharage yaliyopikwa vizuri nikashushia na lite moja ya baridiii mnoo.This photo can cure a man's anger &hunger at the same time.
Sifa ya chapati ipate mpishi mzuri, hasa watu wa pwani ndyo mafundi zaidi
 
Hapa town kwa sasa kila kona hawa jamaa wapo, wanapika chapati nzuri na napenda sana namna wanavyo pika na kugeuza chapati kwa madoido.


Wanatuokoa sana sisi mabachelor, kwa 500/= tu unachukua chapati ya uhakika, sio zile za mama lishe ambazo ni nyepesi kama vitambaa.

Wanaofanya biashara hii wengi ni vijana wakiwa kama kundi, napenda ninunue kwao ili niwasapot katika biashara zao.

Big up sana kwa vijana wote walio ungana na kufanya hii biashara naamini inawalipa vizuri kwani wateja ni wengi sana kwa sasa.

Hapa nipo njiani narudi home na nitapita sehemu nipate zangu mbili tu, na kasupu kamato ka utumbo hapo nimeimaliza siku kibingwa kabisa.
Mnawaza Kula tu wakati hampendi kulima.
 
Hapa town kwa sasa kila kona hawa jamaa wapo, wanapika chapati nzuri na napenda sana namna wanavyo pika na kugeuza chapati kwa madoido.


Wanatuokoa sana sisi mabachelor, kwa 500/= tu unachukua chapati ya uhakika, sio zile za mama lishe ambazo ni nyepesi kama vitambaa.

Wanaofanya biashara hii wengi ni vijana wakiwa kama kundi, napenda ninunue kwao ili niwasapot katika biashara zao.

Big up sana kwa vijana wote walio ungana na kufanya hii biashara naamini inawalipa vizuri kwani wateja ni wengi sana kwa sasa.

Hapa nipo njiani narudi home na nitapita sehemu nipate zangu mbili tu, na kasupu kamato ka utumbo hapo nimeimaliza siku kibingwa kabisa.
Kipindi nipo Chuo nilikuwa na zunguka sana hapo mabibo mwisho dsm nakula sana chapati nne na maharage Kila sku jioni Asee washukuriwe sana wale vijana na kinamama supu
Huku kwetu chapati 300/- tu
 
Ukizipata na Maini rosti yenye pilipili kiasi na Maziwa freshii...!!"Utamu mpaka Kisogoni"
 
Mapupu tumeanza kula Kiria bar we sijui ulikua wapi,
tukahamia Europa buguruni unaijua,mabibo loyola kwa mama bonge je.
Huko ndo supu mapupu,bandama,kichwa koromei utapata asubuhi kuanzia sa 12.
Loyola pale kuna kibar kimoja kinaguest mwanangu kipind hiyo nagonga asubuhi na mapema sambili nawahi Bakuli zito
 
Back
Top Bottom