Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
hahahah. ajichanganyeNi kama unataka kufukuza paka halafu badala ya kufuga mbwa ukaamua kufuga mbuziπ
Wakati wa kuomba kazi kila mtu mikono huwa nyuma subiri apate kazi anaanza hadi kuchelewa na kujibu nyodo wasimamizi wake.Wanaijua shida, kwasabb kucha kutwa kiguu na njia, jua na mvua ni vyao.
Ukimuoa mwanamke wa hivi, ukamuweka ndani akanza kula akiwa kivulini utanishukuru.
Thubutu,Wauza mbogamboga ndiyo wanawake wa kuoa
Wanakuwa na hakili sana unakuta na acheza michezo akai kzembeWanaijua shida, kwasabb kucha kutwa kiguu na njia, jua na mvua ni vyao.
Ukimuoa mwanamke wa hivi, ukamuweka ndani akanza kula akiwa kivulini utanishukuru.
Wako kashaacha kuuza au bdo anaendeleaWanaijua shida, kwasabb kucha kutwa kiguu na njia, jua na mvua ni vyao.
Ukimuoa mwanamke wa hivi, ukamuweka ndani akanza kula akiwa kivulini utanishukuru.
Au unamaanisha "Wote sio?"Sio wote.
Mkuu umeongea kweli na Mimi nakazia hapo shida sio kipimo Cha tabia njemaKati ya mambo niliyojifunza, shida sio kipimo cha tabia njema, muwekee mazingira ambayo hizo shida hazitokuwepo ujue tabia yake
MwaWanaijua shida, kwasabb kucha kutwa kiguu na njia, jua na mvua ni vyao.
Ukimuoa mwanamke wa hivi, ukamuweka ndani akanza kula akiwa kivulini utanishukuru.
Mwanamke asikupende Kwa sababu umemtia kwenye shida.Utamfanya Aishi kama mtumwa.Akupende tu kutoka moyoni.Wanaijua shida, kwasabb kucha kutwa kiguu na njia, jua na mvua ni vyao.
Ukimuoa mwanamke wa hivi, ukamuweka ndani akanza kula akiwa kivulini utanishukuru.
Ni kama unataka kufukuza paka halafu badala ya kufuga mbwa ukaamua kufuga mbuziπ