Mzaleee
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,069
- 3,899
Moshi to Mwanza....Mwanza to Sengerema hapa nauli ni kama elf nne.Kutoka moshi napanda gari ngapi kufika hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moshi to Mwanza....Mwanza to Sengerema hapa nauli ni kama elf nne.Kutoka moshi napanda gari ngapi kufika hapo
Kama utakuja sasa hivi nitakupeleka mashineni ukakusanye kutoka Kwa wakulima wanao leta kukoboa ila kama utakuja mwezi wa tatu nitakuuzia mchele wangu mpya ambao hautopungua tani 5.
Bei huko ipoje kiongoziWauza mchelee msimuu ndo huu sas kwa ka da ziwa shinyng,kahama etc