Wauza mchele, weka changamoto zenu hapa tusaidiane kuzitatua

Wauza mchele, weka changamoto zenu hapa tusaidiane kuzitatua

Kwa mimi
Inategemea na aina ya mchele ila sana huwa nachukua grade ya kati ambao nanua kwa 2000 hadi 2100 kilo

Silipi cash nauza nalipa hela

Grade zote zinatembea ila kwa upande wangu nauza sana grade 2

Ndio ukiwa mzuri tani 10 week 3 mpaka mwezi
Kuanzia mwezi wa 10 Moshi wanategemea kuvuna hivyo hupunguza kununua mchele ukiwa bei sawa

mmh bei yako iko chin man shamban tuuh ndo hiyo bei unauzwa ten grade one ni 2200
 
Kwa mimi
Inategemea na aina ya mchele ila sana huwa nachukua grade ya kati ambao nanua kwa 2000 hadi 2100 kilo

Silipi cash nauza nalipa hela

Grade zote zinatembea ila kwa upande wangu nauza sana grade 2

Ndio ukiwa mzuri tani 10 week 3 mpaka mwezi
Kuanzia mwezi wa 10 Moshi wanategemea kuvuna hivyo hupunguza kununua mchele ukiwa bei sawa

na hiyo ya kati ni 2050 mpka 2100 sas ikipig mhesabu ulete mpk boma duuh
 
Kwa mimi
Inategemea na aina ya mchele ila sana huwa nachukua grade ya kati ambao nanua kwa 2000 hadi 2100 kilo

Silipi cash nauza nalipa hela

Grade zote zinatembea ila kwa upande wangu nauza sana grade 2

Ndio ukiwa mzuri tani 10 week 3 mpaka mwezi
Kuanzia mwezi wa 10 Moshi wanategemea kuvuna hivyo hupunguza kununua mchele ukiwa bei sawa
Hapo kwenye kuuza kwanza ndio ulipe huwa nu mbaya sana kwa mustakabari wa anaekupa huo mzigo, mimi huwa naona ni afadhali mtu alipe nusu kisha hiyo nyingine ailete akiuza.
 
Hapo kwenye kuuza kwanza ndio ulipe huwa nu mbaya sana kwa mustakabari wa anaekupa huo mzigo, mimi huwa naona ni afadhali mtu alipe nusu kisha hiyo nyingine ailete akiuza.
Ni mfumo wa biashara wa dunia
Nina zaidi ya miaka 3 sasa kwenye kazi
 
Hapo kwenye kuuza kwanza ndio ulipe huwa nu mbaya sana kwa mustakabari wa anaekupa huo mzigo, mimi huwa naona ni afadhali mtu alipe nusu kisha hiyo nyingine ailete akiuza.
Hata nusu ni mbaya kikubwa cash cash kila mtu akafie mbali
 
Habari wakuu kwa anae hitaji tufanye kazi nimekuja tena shamba mchele huku bado upo chini 1700,1750,1800,1900- super kwa 2000 karibuni
 
Habari wakuu kwa anae hitaji tufanye kazi nimekuja tena shamba mchele huku bado upo chini 1700,1750,1800,1900- super kwa 2000 karibuni
Ni maeneo gani hayo kiongozi...? Ndio wanavuna huko sahizi...?
 
Back
Top Bottom