Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vip boss mbingu ni senta kubwa, usafirishaji vip unapatkana?
Kuanzia week hii moshi tunaanza uvunaji wa mpunga tunategemea msimu ukichanganya huenda mchele ukashuka bei kwa sasa ni 2200 kwa 2300
Karibuni sana moshi kwa mahitaji ya mchele 0718569091
Ndio mashamba ni makubwa
Boma Ilala?Karibuni boma mchele kwa sasa 1900 mpka 2000 supa 2100 mpka 2200
Boma ya maeneo gani Ilala au?Karibuni boma mchele kwa sasa 1900 mpka 2000 supa 2100 mpka 2200
Kigamboni eneo ganiKama utahitaji kwenda kukobolea Dar niambie, tuna mashine nzuri ya kisasa (Latest) ipo pale Kigamboni inatoa mchele umenyooka sana.
TutakujaaWakuu mwezi wa tatu Mwanza wilaya ya Sengerema naanza uvunaji wa mpunga hivo kama Kuna wadau wa biashara ya mchele karibuni Sana.
Kwasasa mchele Kwa bei ya jumla mashineni ni 1800..na unapatikana Kwa wingi tu.Mchele kwa sasa bei gani
Kama utakuja sasa hivi nitakupeleka mashineni ukakusanye kutoka Kwa wakulima wanao leta kukoboa ila kama utakuja mwezi wa tatu nitakuuzia mchele wangu mpya ambao hautopungua tani 5.Mkuu nipe utaratibu nitie Timu
Wanadhani mbinguni [emoji1787][emoji2]Mbingu