Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

TUPEANE UKWELI KDG LEO HUMU,

Unaweka tangazo lililojitosheleza na kuomb kbsa "alie serious tu ndio aje PM" miguu mirefu anakuja PM Anaaza kukuchatisha weee, mpk unakua bored ila unamjibu kila swali kistaarabu kama mwanaume na kama biashara, akitosheka na maelezo na akikosa tena swali from nowhere tu anapotea bila taarifa, halaf unamwona kwenye wall anachat/comment na midole yake kama mafungu ya tangawizi,
mwingne ashakutia njaa ya kumjb halaf anajib tu "POA" ahhhggggg.....
Mwingne anaweka tangazo na bei kwenye wall, unamfuata PM mmalizane anapandisha bei, au a mute,
Binafsi hua sibembelazagi, ukiniuliza nitakujb, ukikaa kimya nitakaa kimya, sio mtu yupo kimya et na wewe unamuza tena "mbn kimya?", yote kwa yote kwa nini unichoshe ikiwa huna mpng wa kufanya biashara? Au si ufunguke tu kama "sifanyi biashara ila kuna vitu nataka kufaham" halaf uage usepe!, Mwanaume mzima na kidevu kama ukoko wa pilau ya Dua unamjb me mwenzio "POA" kwa maelezo maref halaf unapotea? Mwingne anajua kbsa hata ukimwambia "nakupa hii bidhaa bure njoo uchukue" nauli ya kujia hana lakn miruzi ming kumbe mbwa hana,
halaf nimegundua ukiona maswali maswali mengi ujue hamna kazi hapo ni mapicha picha na ukiona anayeponda bila fact ujue hana hela moyo umetanuka amejaa stress,
Tuache tamaaa, huna hela kaa kimya ipo siku utapata, Mtu kafika bei Muuzie sio masuala ya kubadilisha price tag,
Tuweni serious sio kila sehem tunaleta futuhi

Mwisho kbsa, epuka kubadilishiana namb na mtu humu kama hamjafikia makubaliano ya kufanya biashara, sio mshapeana mawasiliano halaf ndio mnashindwana,
Za kuambia changanya na zako
 
Nina iphone 5 bei laki na sabini maongezi yapo simu og na charger og mwenye uhitaj aje pm faster humu nashindwa tuma picha
 
Offer offer cm aina ya s6 color gold imetumika 4month cm iko vzry haina tatizo lolote lile bei laki 3 na 30 s7edge ina creak kidogo kwa laki 4 na nusu location ilala 32gb
 
**INAUZWA**
Sony Experia Z3
Display 5'2 | ram 3gb
Network 4g | Storage 32gb
Camera 20mp LED Flash
Battery 3100mAh

Price 220k
images.jpeg
 
mzee tecno kila saa kuna toleo jipya, wateja wa tecno ndo wanaongoza kwa route pale Aggrey na likoma, Umetoka kununua Tecno K 9, upo kwenye daladala huko kiwandani washatoa K 9 Spark, unatia miguu home washatoa K 9 Spark Plus, huja anza hata kuinstall whatsapp Washatoa K 9 Spark Plus Air
Kuna utofauti lakini, sio wanatoa toa tu
 
Samsung Galaxy J7, Clean ina miez 5 tangu itolewe dukan, haina tatizo lolote, Kwa kutunza charge hapa ndio usiongee kabisa. Haina tatozo lolote.

Sababu ya kuuza, Nimepata simu nyingine, hivyo kukaa na simu mbil ni mzigo, Siuzi kwa shida, kama upo vizur nichek DM.

Price : 400K tu.

Location Dsm.

Addition. Specifications
5.5" 720x1280 pixels 13MP 1080p 2GB RAM Snapdragon 617 3300mAh
 
Offer offer cm aina ya s6 color gold imetumika 4month cm iko vzry haina tatizo lolote lile bei laki 3 na 30 s7edge ina creak kidogo kwa laki 4 na nusu location ilala 32gb
Daaah mwnang mi nina 250 vipi unaweza niachia s6? 0629795064
 
Offer offer cm aina ya s6 color gold imetumika 4month cm iko vzry haina tatizo lolote lile bei laki 3 na 30 s7edge ina creak kidogo kwa laki 4 na nusu location ilala 32gb
 
Offer ya leo s7edge kwa laki 4 tuu location ilala inacreak kwa chinii krbun
 
Wakuu simu bado hipo Tecno CX imetumika mda wa miezi miwili Tu Kutokana na matatizo yangu simu nazamilia Kuhuza 100000 laki moja Tu Kama uko mbali unatumiwa
Nicheki kwa namba 0743177237
IMG-20181208-WA0042.jpeg
 
Back
Top Bottom